Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Sijui umeelewa alichoongea mkuu ,unafahamu maana ya kibali? Unajua kama Kuna watu wanamiliki bastora Kwa kibali maalumu, ?
Unaonaga raia Wanakamatwa Kwa kuua wanyama pori kiholela lakini Kwa kibali wanaruhusiwa unakwenda unalipia unachotaka kufanya kama unashida na nyama ya swala unalipia hiko kibali unakwenda kuwinda kulingana na gharama na idadi ya kibali ukicholipia kwahyo huwez jua yamkini ameua akiwa na kibali hakukurupuka ?

Unaanza kuuliza faida Gani inapatikana Kwani lengo la kuweka kibali ni nini si Ili iingize foreign currency/ pesa za ndani kawaida ambayo ndio yanakuza Pato la taifa au unajua mbuga za wanyama na hifadhi Kwa ujumla zipo kwaajili ya kuwaangalia wanyama tu ?

Na Inshort huyo mzungu sio mjinga aue bila kibali halaf apost world wide, Kaa ukijua atakuwa kapata kibali Kwa mamlaka husika hawakurupuki kufanya vitu hao.
 
Matunda ya The Royal Tour hayo wenyewe wanajipongeza.

 
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Hakuna mahala mzungu amehujumu uchumi,TAWA wamesema anawinda kihalali na ana kibali na leseni.

Wawindaji wako wengi tuu sio huyo pekee.Labda swali la kuniuliza Je hata Hawa wanyama ambao Wana sifa za upekee kama huyu mkubwa zaidi Duniani Walitakiwa kuvunwa?
 
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Kwa Uzito wa huyo mamba.. Jamaa amewezaje kumpandisha hapo juu... apewe hongera zake kwa kwel
 
BNongwa ni Mamba Mkubwa😀😀😀
Shida sio kibali...
Mamba wa kuvunja World record kumbukeni.
 
Kiukweli mimi binafsi nililipenda lile zaidi. Kuna watu wanajiita shetani na majina mengine ya ajabu kabisa sijui shida ilikuwa wapi kwenye hiyo user name?

Je ulijaribu kuwauliza ni kwanini? Au je walikwambia sababu ya kulibadili?

Maana nafahamu na hata founder wetu Maxence Melo , huwa anahakikisha hata ukifungiwa na sababu ya kufanya hivyo unajulishwa pia nafasi ya kujitetea.
Nilijaribu kufungua threads za malalamiko na kumtag mello threads zilifutwa zote walibadili nikakuta KIBUDEE nikaona bora yaishe nikabidili tena hili la KIBU DEE MKANDAJI
 
Daaah!!!
Unajiona unajua Sana 🤣🤣🤣🤣 nijicheke maana huna u GT hata kidunchu.. kisa forum upo upo tu..

Sasa hao si uwaulize moderators au?
Nilishakuuliza kutaka kujua wewe asili yako ni wapi maana kiswahili chako kina walakini, au we ni miongoni mwa familia ya DAB ambaye anasemwa kuwa anao rafiki wenye asili ya nje!
 
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Tusijidanganye kwamba ameamua kumuua huyo mamba bıla ya kuwa na kibali.huyu alichokifanya kibaya ni kutokuwa na roho ya kujali hasa mazingira na miaka ambayo huyo mnyama ameishi leo unakatiza uhai wake kwa ukatili kisa ni kibali unacho,huu ni ukatili japo hawezi fanywa lolote maana amepewa kibali.
 
Mzungu amelipia kumuua huyo Mamba, nchi zote duniani zenye mbuga za wanyama kuna malipo ya uwindaji, na kila mnyama ana bei yake, kuna baadhi ya wanyama ambao idadi yao inapunguzwa na kuna idadi zao zinalindwa. Pili Tanzania kuna mpango wa muda sasa wa kupunguza idadi ya mamba, kwa sababu wamekuwa wengi sana na hatari kwa wananchi, na kwa bahati mbaya wawindaji wengi hawataki kuwinda mamba.
 
Back
Top Bottom