Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
Hapo asitarajie kusikia kuungwa mkono suala la bandari maana shoo hamumunyi maneno anakupa live .
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805poo
Akakazie hapa Kwa TEC

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1693233897662714215?t=_SiQ6bmRU0nYzI16MoiGjw&s=19
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
wamempa nafasi ya kwenda kutoa tamko walau la kuachana na mkataba huo. walutheran nao kama hawatamuonya, nitashangaa sana.
 
Merhodius Kilaini alivyolamba Mgao wa Escrow alichukuliwa hatua gani ?


Au Rushwa sio kosa kwa kina Kilaini? Issue ya Msingi sio Msimamo ni maadili
Mkuu hili swala tulipaswa tuungane kuishinikiza serikali itangulize maslah ya nchi.tuache ushabiki kwenye mambo ya msingi
 
Askofu Shoo hanaga kazimbovu wala kigugumizi kwenye ukweli... lazima ampe ampetena😀😀😀
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
hao kkt wanasubir sa100 akimalza tu jambo lao, na wao wanaachia waraka wenye mlengo wa tec
 
Merhodius Kilaini alivyolamba Mgao wa Escrow alichukuliwa hatua gani ?


Au Rushwa sio kosa kwa kina Kilaini? Issue ya Msingi sio Msimamo ni maadili
Hata kimaadili kanisa Katoliki linajitahidi sana. Bahati nzuri sisi wengine ni wadau katika ukatoliki na KKKT hivyo tunajua mwenye afadhali ni yupi. KKKT sasahivi wamehama kuihubiri injili bali wanautumia injili kukamua waumini hela. Pia ninasema Katoliki wanajitahidi sana na wapo committed katika mambo mengi ndio maana hata shule zao nyingi za sekondari kila mtu anataka kupeleka mtoto wake, tofauti na shule za KKKT mfano ile ya Morogoro Junior Seminary na nyingine ambazo zipo level moja tu na shule za kata.
 
Siku hiyo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
Siku hiyo awaambie dpw bandari yetu waachane nayo maana wenye mali wamekatalia.
 
Kuna watu wanatapa tapa kama wamefumaniwa.
Bado kwenda kuwa wageni rasmi kwenye madanguro tu.
 
Back
Top Bottom