Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Kwani m

Kwani mimi nimekwambia mayahudi wamemweka yesu kwenye vitabu vyao
Mimi nimekwambia hivyo vitabu mayahudi wameviharibu na sijataja habari za yesu

Issue siyo wewe kusema kwamba vimeharibiwa, suala ni authority ambayo ilithibitisha uharibifu wa nyaraka hizo. Wewe umesema tu, hiyo haiwezi kuchukuliwa kwamba ni sahihi na kweli, kwa sababu hujai qualify kwa uthibitisho wowote.

Pia hoja ya msingi hujasema, uhusiano uliopo kati ya vitabu vya awali na kuruwani/uislam/muhamad
 
Pia hoja ya msingi hujasema, uhusiano uliopo kati ya vitabu vya awali na kuruwani/uislam/muhamad
Uhusiano uliopo ni kuwa hivyo vitabu vimetajwa ndani ya Quran kama vitabu vilivyoteremshwa na Allah kwa mitume wake
Au wewe unao uhusiano gani kati ya biblia na vitabu hivyo
 
Back
Top Bottom