hela zipo ila ni ushamba kuhudhuria hafla za show off kama hizo
Huna hela bwana weweee....
Nimejua kupitia maandiko yako ya kuyaponda hayo mashindano ya Quran....kwani sisi wa mijini kamwe si wa shamba kuendekeza Udini....
Ukimuona mtu wa mjini halafu ana chuki na mambo ya dini nyingine basi ujue ana haya yafuatayo:
-Hajazaliwa DSM
-Ametoka familia isiyo na elimu
-Ametokea familia ya kishamba naye ni mshamba hata kama amesomea chuo kikuu
-Ametokea familia ya kimaskini kupitiliza iliyosababisha akose malezi bora na kufikia kuwa na POST TRAUMATIC STRESS DISORDER
-Stress za kimaisha zilizomtopea zimemfanya awe anatafuta sehemu ya kuzipunguza(punching bag) Kwa kila asiye na fikra zake.
Classic persons HUWA hawana mbanga hizo....utatukuta tuko katika sherehe za vipaimara na komunio za wanetu nao pia wako nasi katika Maulid na mashindano yetu ya Quran....jioni tuko wote "outings" kama hizi za akina Aziz Ki ha ha ha
Well....
Show offs zipo kwani neno lenyewe linaishi.....
Wewe ni mshamba wa Sitimbi
Cheza na ngedere tu huko mkumbulumbungozo.....