Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Wewe ni Mpumbavu wa kilokole, unayedhani unajua mengi kumbe kichwa kitupu tu.
Walokole ni wapumbavu wenzio hao .....wewe unajua hata kazi za wale masister kwenye kanisalako lq kihuni 🌈🌈🌈😁😁😁😁
 
Hivyo vitabu nilivyovitaja mimi ni maneno ya Mwenyezimungu na si ya wanadamu kama hilo agano la kale

Sasa hiyo ni kulingana na uelewa wako na itikadi yako.

Mbali na hayo issue hapa tunataka kujua uhusiano uliopo kati ya vitabu ulivyovitaja hapo na uislam/kuruwan/muhamad. Nipe aya chache kutoka vitabu hivyo zinazomtaja muhamad kwamba atakuja
 
Sasa hiyo ni kulingana na uelewa wako na itikadi yako.

Mbali na hayo issue hapa tunataka kujua uhusiano uliopo kati ya vitabu ulivyovitaja hapo na uislam/kuruwan/muhamad. Nipe aya chache kutoka vitabu hivyo zinazomtaja muhamad kwamba atakuja
Hivyo vitabu kwa sasa havipo maana viliharibiwa kwa kupunguzwa na kuongezwa maneno na wayahudi kwa hiyo sasa tunatumia Quran tu lakini imethibitishwa kuwa vitabu hivyo vilimtaja Muhammad
Maana hata wewe hivyo vitabu huvifahamu!!!
 
Hivyo vitabu kwa sasa havipo maana viliharibiwa kwa kupunguzwa na kuongezwa maneno na wayahudi kwa hiyo sasa tunatumia Quran tu lakini imethibitishwa kuwa vitabu hivyo vilimtaja Muhammad
Maana hata wewe hivyo vitabu huvifahamu!!!

Bro unaongea vitu vya kufikirika. Mamlaka gani ilithibitisha kwamba vitabu hivyo viliharibiwa. Na tena kwamba jina la muhamad liliondolewa. Na kitu ambacho unapaswa ujue, mayahudi na dini yao hawamkubali Yesu. Je wangekubali kumuweka Yesu katika vitabu vyao, mtu ambaye walikuwa hawamkubali mpaka wakamuua?
 
Kwani m
Bro unaongea vitu vya kufikirika. Mamlaka gani ilithibitisha kwamba vitabu hivyo viliharibiwa. Na tena kwamba jina la muhamad liliondolewa. Na kitu ambacho unapaswa ujue, mayahudi na dini yao hawamkubali Yesu. Je wangekubali kumuweka Yesu katika vitabu vyao, mtu ambaye walikuwa hawamkubali mpaka wakamuua?
Kwani mimi nimekwambia mayahudi wamemweka yesu kwenye vitabu vyao
Mimi nimekwambia hivyo vitabu mayahudi wameviharibu na sijataja habari za yesu
 
Moja ya mgawanyo wa mtu mwenye akili ni uwezo wa kuwa na kumbukumbu.Na kumbukumbu inapimwa kwa uwezo wa kukariri.

Huwezi kukariri kitu kama huna akili.Na wote walioweza kukariri hata nusu ya Quraan huwezi wakuta wakishindwa masoma ya shule. kwa
Hakika ...

Mmojawapo ni mimi....nilihifadhi nikiwa na miaka 15 na ikaniwezesha kuunoa vyema ubongo wangu.....
 
hela zipo ila ni ushamba kuhudhuria hafla za show off kama hizo
Huna hela bwana weweee....

Nimejua kupitia maandiko yako ya kuyaponda hayo mashindano ya Quran....kwani sisi wa mijini kamwe si wa shamba kuendekeza Udini....

Ukimuona mtu wa mjini halafu ana chuki na mambo ya dini nyingine basi ujue ana haya yafuatayo:
-Hajazaliwa DSM
-Ametoka familia isiyo na elimu
-Ametokea familia ya kishamba naye ni mshamba hata kama amesomea chuo kikuu
-Ametokea familia ya kimaskini kupitiliza iliyosababisha akose malezi bora na kufikia kuwa na POST TRAUMATIC STRESS DISORDER
-Stress za kimaisha zilizomtopea zimemfanya awe anatafuta sehemu ya kuzipunguza(punching bag) Kwa kila asiye na fikra zake.

Classic persons HUWA hawana mbanga hizo....utatukuta tuko katika sherehe za vipaimara na komunio za wanetu nao pia wako nasi katika Maulid na mashindano yetu ya Quran....jioni tuko wote "outings" kama hizi za akina Aziz Ki ha ha ha

Well....

Show offs zipo kwani neno lenyewe linaishi.....

Wewe ni mshamba wa Sitimbi
Cheza na ngedere tu huko mkumbulumbungozo.....
 
Hivyo vitabu kwa sasa havipo maana viliharibiwa kwa kupunguzwa na kuongezwa maneno na wayahudi kwa hiyo sasa tunatumia Quran tu lakini imethibitishwa kuwa vitabu hivyo vilimtaja Muhammad
Maana hata wewe hivyo vitabu huvifahamu!!!
Muhammad SAW anatajwa kwenye Injili ya Yohana Mtakatifu kama " Nabii Yule" 🐼

Yohana 1:21
 
Muhammad SAW anatajwa kwenye Injili ya Yohana Mtakatifu kama " Nabii Yule" 🐼

Yohana 1:21
Jonijo mkazi mwenzangu wa Mikocheni uwe na kiasi basi....dini na wanadini wenye akili na heshima ya utu wao hawafiki kuambiana maneno makali....kwani kila mtu anaweza kuongea maneno makali isipokuwa tu waungwana hawaongei maneno makali kwani waungwana huheshimu na kuthamini sana IMANI ZA WENGINE....
 
Kila siku humu huwa nasema hawa watu ni wajinga, Bado mnabisha?
Kila siku useme na tukusikilize kwa kuwa wewe ni nani ?!!

Acha kujipa umuhimu kwa mambo ya wengine wasio wewe....huo nao ni ukichaa !!
 
Jonijo mkazi mwenzangu wa Mikocheni uwe na kiasi basi....dini na wanadini wenye akili na heshima ya utu wao hawafiki kuambiana maneno makali....kwani kila mtu anaweza kuongea maneno makali isipokuwa tu waungwana hawaongei maneno makali kwani waungwana huheshimu na kuthamini sana IMANI ZA WENGINE....
Ukiusoma ukoo wa Yesu kwa Upande wa mama yaani Bikira Mariam ndio utamkuta Muhammad SAW kule mbele

Ila ukiusoma kwa Upande wa akina Daudi na Yusuf humuoni kwa Urahisi πŸ˜€πŸ˜€
 
Ukiusoma ukoo wa Yesu kwa Upande wa mama yaani Bikira Mariam ndio utamkuta Muhammad SAW kule mbele

Ila ukiusoma kwa Upande wa akina Daudi na Yusuf humuoni kwa Urahisi πŸ˜€πŸ˜€
Unafanya maskhara nami sipendi kufanya maskhara katika imani za dini haswa dini za wenzangu.... maskhara huwa nafanya katika mambo mengine tu.....

Weka hapa aya za maagano mawili (kale & Injili) zinazomtaja mtume Muhammad SAW katika ukoo wa Yesu kupitia kwa mama bikira Mariam (amani na rehema zi juu yake)....
 
Unafanya maskhara nami sipendi kufanya maskhara katika imani za dini haswa dini za wenzangu.... maskhara huwa nafanya katika mambo mengine tu.....

Weka hapa aya za maagano mawili (kale & Injili) zinazomtaja mtume Muhammad SAW katika ukoo wa Yesu kupitia kwa mama bikira Mariam (amani na rehema zi juu yake)....
Nimekupa Injili ya Yohana 1:21 hutaki

Sasa hata ukoo wa Yesu na unashindwa kuupata kwenye Surat Mariam?

Mtafute Sheikh Alhad Mussa Salum akupe darsa!
 
Kila siku useme na tukusikilize kwa kuwa wewe ni nani ?!!

Acha kujipa umuhimu kwa mambo ya wengine wasio wewe....huo nao ni ukichaa !!
Ukichaa wangu hauondoi uhalisia/ukweli kuwa nyinyi ni wajinga.
 
Back
Top Bottom