Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Hivi huo upuuzi huwa una faida gani kwa taifa?
Jambo la mwenzako na lisilokuhusu linakuwaje upuuzi ?!!
JPM alikuwa anahudhuria....Mama anahudhuria....yaani waandazi wa uhudhuriaji wake huko serikalini hawana akili isipokuwa wewe ndiye mwenye akili sana ,si ndio ee???
Acha kujipa UMUHIMU usionao.....
 
Jambo la mwenzako na lisilokuhusu linakuwaje upuuzi ?!!
JPM alikuwa anahudhuria....Mama anahudhuria....yaani waandazi wa uhudhuriaji wake huko serikalini hawana akili isipokuwa wewe ndiye mwenye akili sana ,si ndio ee???
Acha kujipa UMUHIMU usionao.....
Jikite kwenye hoja
 

Jinsi ya kujua ikiwa ubongo wako umetekwa Nyara ?" | Steve Hassan | TEDxBoston​


View: https://m.youtube.com/watch?v=JzSwZpHDAaU

Je! unajua mtu ambaye amebadilika sana katika maadili na imani zao? Je, unadhani inaweza kuwa ilivuruga akili ? Steven Hassan anatoa fomula ya kupima uhalisia wa hatua 4 iliyotengenezwa kwa zaidi ya miaka 45 ya utafiti kuanzia baada ya kuacha ibada ambayo ilimsajili katika udanganyifu bila kunifahamu ...
Source : TEDx Talks
 
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.
Moja ya mgawanyo wa mtu mwenye akili ni uwezo wa kuwa na kumbukumbu.Na kumbukumbu inapimwa kwa uwezo wa kukariri.

Huwezi kukariri kitu kama huna akili.Na wote walioweza kukariri hata nusu ya Quraan huwezi wakuta wakishindwa masoma ya shule.
 
kwanini Quran na biblia zinafanana habari zake ?
Kwasababu zimetokea kwa jamii ya watu wanaoshabihiana.

Hizo dini zinaitwa ABRAHAMIC RELIGIONS
1.ISLAM
2.CHRISTIAN
3.JEWS

Ukitaka dini isikuendeshe nenda ukasome na Mabudha na Hindus utastaajabu na wao wanastori zinashabihiana na za hao mapacha watatu.
 
Moja ya mgawanyo wa mtu mwenye akili ni uwezo wa kuwa na kumbukumbu.Na kumbukumbu inapimwa kwa uwezo wa kukariri.

Huwezi kukariri kitu kama huna akili.Na wote walioweza kukariri hata nusu ya Quraan huwezi wakuta wakishindwa masoma ya shule.
Ume highlight ujinga. Ukiona mtoto wako anakariri madaftari nukta hadi nukta ujue umezaa kilaza
 
Kwani yesu alikuwa mkristo-nasara kufuata kitabu cha Injili ?!!
ISSA NDIYO ALIYE PEWA INJILI KWA MUJIBU WA UISLAMU HIVYO YEYE NI DARAJA BAINA YA UYAHUDI KUELEKEA UNASWARA HIVYO KWA MUJIBU WA UISLAMU MANASWARA NI WATU WA MTUME ISSA WAFUATAO KITABU CHA INJILI AMBACHO NI MAAGIZO YA MUNGU YA MWISHO KABLA YA HUO MSAHAFU WA MUHAMMAD JE KABLA YA MUHAMMAD KUPEWA UTUME NA KUPEWA MSAHAFU JE ALIKUWA ANA FUATA MUONGOZO WA MUNGU WA INJILI MAANA NDIYO MAAGIZO YA MUNGU YA MWISHO KABLA YA MSAHAFU ...KAMA ALIFUATA INJILI BASI MUHAMMAD ALIKUWA MNASWARA KISHA NDIYO AKAFIKA DARAJA YA UTUME NA KUPEWA UTUME NA MSAHAFU ....KAMA SIVYO BASI KUNA WALAKINI KUHUSU UCHAMUNGU WA MUHAMMAD KABLA YA KUFIKISHA MIAKA 40 YAANI 39 KWENDA CHINI ? NA KAMA NI HIVYO WANAOSEMA MUHAMMAD KATOKEWA NA SHETANI MAPANGONI WAPI SAHIHI.
 

Attachments

  • Screenshot_20250219-213414_Lite.jpg
    Screenshot_20250219-213414_Lite.jpg
    256.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250219-213540_Lite.jpg
    Screenshot_20250219-213540_Lite.jpg
    276.5 KB · Views: 2
nani ahangaike kuzuia mambo ya kipuuzi kama hayo? Endeleeni kubumbazika wakati wengine wanafanya mambo ya maana kuhifadhi sayansi na teknolojia

Miafrika bana, wakati watu wanakusanyika ili kuhifadhi AI, ML, BChain, Crypto Currency etc, sisi tunakusanyika kukariri maandishi ambayo hata kuongeza ujuzi wa namna ya kujitegemea na kutatua changamoto zinazotuzunguka hayawezi
 
Kwa sababu vimeteremshwa na Allah kwa mitume wake ambao wanafikisha dini yake kwa watu

Vizuri kwa kujibu. Lakini hakuna uhusiano wowote uliouonesha kati ya uislam na vitabu hivyo. Kwa maana msingi wa uislam ni kuruwan. Na kuruwan haikuweko kabla ya nabii muhamad. Hivyo uislam pia haukuwepo. Uhusiano bado hauko wazi. Ni wa kufikirika
 
Miafrika bana, wakati watu wanakusanyika ili kuhifadhi AI, ML, BChain, Crypto Currency etc, sisi tunakusanyika kukariri maandishi ambayo hata kuongeza ujuzi wa namna ya kujitegemea na kutatua changamoto zinazotuzunguka

Vizuri kwa kujibu. Lakini hakuna uhusiano wowote uliouonesha kati ya uislam na vitabu hivyo. Kwa maana msingi wa uislam ni kuruwan. Na kuruwan haikuweko kabla ya nabii muhamad. Hivyo uislam pia haukuwepo. Uhusiano bado hauko wazi. Ni wa kufikirika
Sasa wewe unataka nikuonyeshe uhusiano gani au wewe utanionyesha uhusiano gani wa hivyo vitabu na ukristo
 
Back
Top Bottom