Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Jana tarehe 01.07.2022 aliandika makala Kwenye gazeti la mwananchi yenye kichwa Cha habari miaka 30 tangu turejee katika mfumo wa vyama vingi.
Katika makala hiyo mhe Rais ameandika mambo mengi yenye masrahi mapana na ustawi wa nchi yetu kwa ujumla.Binafisi ninafurahishwa sana na dhamira njema ya Rais wetu mpendwa hasa alipotaja 4R.Lakini hofu yangu kwa dhamira njema ya Rais wetu mpendwa ni maadui wa hizi 4R ndani ya chama Chama chake Cha CCM.
Ndani ya chama chake mheshimiwa Rais Kuna wahafidhina wasiotaka , Reconciliation (Maridhiano), Resiliency (uvumilivu),Reforms (Mabadiliko) na Wala Rebuilding(kujenga upya).
Hawa wahafidhina wataweza kumkwamisha mhe Rais kuweka legacy ambayo itaandikwa kwa wino wa dhahabu katika nchi yetu na hautafutika kamwe vizazi na vizazi.Baada ya kusema haya mwenyezi Mungu akutie nguvu mhe Rais ili uweze kuvuka salama vizingiti vilivyo mbele yako.Kazi iendelee.

We should be smart enough not to fall for this political chicanery!
 
Mimi Kwenye gazeti nimesoma by Samia Suluhu Hassan.Hata ikiwa kaandikiwa lkn ameridhia yeye mwenyewe hiyo ni nia na dhamira njema yake.
Kiujumla rais Samia ana nia njema na kwa kuwa nchi haijengwi na mtu mmoja basi na tumsaidie kutimiza hiyo nia njema. Ni wajibu wetu sote kuijenga nchi yetu.
 
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Jana tarehe 01.07.2022 aliandika makala Kwenye gazeti la mwananchi yenye kichwa Cha habari miaka 30 tangu turejee katika mfumo wa vyama vingi.
Katika makala hiyo mhe Rais ameandika mambo mengi yenye masrahi mapana na ustawi wa nchi yetu kwa ujumla.Binafisi ninafurahishwa sana na dhamira njema ya Rais wetu mpendwa hasa alipotaja 4R.Lakini hofu yangu kwa dhamira njema ya Rais wetu mpendwa ni maadui wa hizi 4R ndani ya chama Chama chake Cha CCM.
Ndani ya chama chake mheshimiwa Rais Kuna wahafidhina wasiotaka , Reconciliation (Maridhiano), Resiliency (uvumilivu),Reforms (Mabadiliko) na Wala Rebuilding(kujenga upya).
Hawa wahafidhina wataweza kumkwamisha mhe Rais kuweka legacy ambayo itaandikwa kwa wino wa dhahabu katika nchi yetu na hautafutika kamwe vizazi na vizazi.Baada ya kusema haya mwenyezi Mungu akutie nguvu mhe Rais ili uweze kuvuka salama vizingiti vilivyo mbele yako.Kazi iendelee.
You are talking shit(mavi ya ng'ombe) wewe ni shithole(tundu la kinyesi) mnakera bana kufanya uchawa wakati uyu mama anazidi kuharibu maisha ya watanzania
 
You are talking shit(mavi ya ng'ombe) wewe ni shithole(tundu la kinyesi) mnakera bana kufanya uchawa wakati uyu mama anazidi kuharibu maisha ya watanzania
Mimi sijaona wapi Mama kaharibu maisha ya watanzanja
 
Hivi mtoa mada unaamini kabisa aliyoyaandika uyu Mama kweli yatatekelezwa chini ya CCM hii tunayoifahamu?CCM hii hii si ndiyo ilivuruga mchakato wa katiba mpya kwa kugeuza Bunge la Katiba kuwa kama caucus ya chama na Samia akiwa Makamu Mwenyekiti?Mwambieni Maridhiano ya kweli ni kuhakikisha gharama za maisha zinakuwa chini, masikini Hana muda na hayo makolokolo ya 4R.
 
You are talking shit(mavi ya ng'ombe) wewe ni shithole(tundu la kinyesi) mnakera bana kufanya uchawa wakati uyu mama anazidi kuharibu maisha ya watanzania
Haya ni maoni yako, nazani wewe unaweza kuanzisha Uzi wa kulaumu kama unaona hivyo lkn kwangu Mimi mhe Rais anafanya makubwa
 
... Mh. Samia is certainly intelligent than her predecessor. Maguvu yasiyo na sababu; matusi, dharau, majivuno, kejeli, kujiona, kujisikia, kujisifu, kiburi, etc. hana ila mambo yanaenda vizuri ukiacha changamoto za gharama za maisha ambazo nyingi contributor mkubwa alikuwa predecessor.
Mungu akubariki.umeongea vizuri
 
4R
Maridhiano; ya nani na nani, kwenye issues gani?

Uvumilivu; nani avumilie, avumilie nini?

Mabadiliko; yapi, wapi, kwaajili ya nini?

Kujenga upya; kipi, kwa muda gani, muendelezo wake utakuaje asipokuwepo?

Bei za vitu zikoje mtaani huko, mwaka wa fedha mpya umeanza? Huku kwetu Sembe imeongezeka bei kwa sh 2,000 kwenye 10kg.
Usile Sembe, sio chakula kizuri kwa afya.
 
Bimkubwa aka Bibi Tozo bin Vasco da Gama ajue wasomi wamejaa tz asitutoe kwenye mada. Atujengee SGR iishe haraka na Nyerere Dam viishe tujikwamue , hatuhitaji sijui 4R zake hazina faida kwa public zina faida kwake kupunguza kelele za wapinzani, 4R zake hazituletei ugali kitaa!

But nampongeza sana Chief Hangaya kwa Royo Tua idea na kufufua mchakato wa katiba, for these two agenda she was extra smart, royal and modern.big up sana Madame.
 
Akiyatekekeza hayo ataweka kumbukumbu nzuri
 
Miaka yote nilikuwa upinzani Ila mama amejua kuni change mind! Kwa Sasa mi Ni team mama not ccm
 
Back
Top Bottom