Rais Samia, Mimi kama mwananchi wako nakushauri kwa mara ya mwisho juu ya polisi, nanawa mikono juu yao

Rais Samia, Mimi kama mwananchi wako nakushauri kwa mara ya mwisho juu ya polisi, nanawa mikono juu yao

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mh Rais Samia

Mimi kama mwananchi wako nakushauri kwa mara nyingine tena ili kusiwe na hatia juu yako Ila ni wazi kabisa polisi wetu wanakuchafulia na kukutia doa utawala wako.

Mpumzushe Sirro msaidie apumzike kwa heshima jeshi la polisi chini yake limechafuka Sana na Askari wengi wanaumizwa na lawama zinazotupiwa jeshi Lao wanaona hawatendewi haki na wanakuwa victimized unnecessary kwasababu ya watu wachache.

Halafu mh rais tuko kwenye dunia inayojali sana professionalism kwanini unaajiri polisi waliofeli kidato cha nne? Ilhali Kuna wasomi kibao mtaani wenye degree na wanafani? Hivi huyu form four failure mpaka astahafu atakuwa ameleta damage kiasi gani kwa jamii iliyostaarabika? Mh rais hawa ndio watavunja watu miguu makusudi watawawekea bangi watu makusudi ili wawabambikie makesi na mambo mengine CHUNGU nzima.

Ni wito wangu kwa wanaomshauri Rais wakati ni Sasa kuilinda hadhi ya serikali na heshima ya rais mnalipwa kwa kazi hiyo. Kesi kama ya mbowe inamtibulia tu rais maji kisimani yawe machafu yasifae kunywa lakini yote hii shida ni polisi kwani hata kama wanatumwa na wanasiasa kufanya wanayoyafanya dhidi ya raia wema hata wao polisi sio smart enough kupanga maishu yasiyoacha alama.

Naishia hapa nimemshauri rais wangu kwa upendo nanawa mikono yangu Kama sitasikikizwa.
 
Kuhusu suala la ajira hususan sifa ukiangalia in all dimensions kuna changamoto. Mosi, sioni degree holders wakibeba mabunduki kwenda kulinda makazi ya viongozi na familia zao; kwenye hili polisi wana hoja ya kuajiri F4.

Pili, polisi ndio wapelelezi, waandaa mashaka, na watoa ushahidi mahakamani. Hili linahitaji weledi wa kisomi so at least degree holders would be appropriate.
 
Kuhusu suala la ajira hususan sifa ukiangalia in all dimensions kuna changamoto. Mosi, sioni degree holders wakibeba mabunduki kwenda kulinda makazi ya viongozi na familia zao; kwenye hili polisi wana hoja ya kuajiri F4.

Pili, polisi ndio wapelelezi, waandaa mashaka, na watoa ushahidi mahakamani. Hili linahitaji weledi wa kisomi so at least degree holders would be appropriate.
Watu wa Diploma ndio waajiriwe.
 
IMG_20210521_232606.jpg
 
Mh rais wa jmt mama yetu ssh Mimi Kama mwananchi wako nakushauri kwa Mara nyingine Tena ili kusiwe na hatia juu yako Ila ni wazi kabisa polisi wetu wanakuchafulia na kukutia doa utawala wako.

Mpumzushe siro msaidie apumzike kwa heshima jeshi la polisi chini yake limechafuka Sana na Askari wengi wanaumizwa na lawama zinazotupiwa jeshi Lao wanaona hawatendewi haki na wanakuwa victimized unnecessary kwasababu ya watu wachache.

Halafu mh rais tuko kwenye dunia inayojali Sana professionalism kwanini unaajiri polisi waliofeli kidato Cha nne? Ilhali Kuna wasomi kibao mtaani wenye degree na wanafani? Hivi huyu form four failure mpaka astahafu atakuwa ameleta damage kiasi gani kwa jamii iliyostaarabika? Mh rais hawa ndio watavunja watu miguu makusudi watawawekea bangi watu makusudi ili wawabambikie makesi na mambo mengine CHUNGU nzima.
Ni wito wangu kwa wanaomshauri Rais wakati ni Sasa kuilinda hadhi ya serikali na heshima ya rais mnalipwa kwa kazi hiyo. Kesi kama ya mbowe inamtibulia tu rais maji kisimani yawe machafu yasifae kunywa lakini yote hii shida ni polisi kwani hata Kama wanatumwa na wanasiasa kufanya wanayoyafanya dhidi ya raia wema hata wao polisi sio smart enough kupanga maishu yasiyoacha alama.
Naishia hapa nimemshauri rais wangu kwa upendo nanawa mikono yangu Kama sitasikikizwa.

Mkuu tangu binafsi nilipofahamu kuwa huenda tunashauri mwenye masikio kama huyu:

IMG_20210829_163746_049.jpg


Niliacha kutoa ushauri.

Ama kwa hakika nilimwelewa sana huyu mwamba:

IMG_20210901_201456_008.jpg


kwa hatua alizochukua ku square holes.

Kama hawana nia ya kujadiliana mezani, milango ipi wameiacha wazi?
 
Lawama zinazotupiwa jeshi la polisi zinawaumiza Sana na kuwavunja moyo polisi wengine wema.
Kuna vijana wazuri sana polisi, tena wana weledi.
Nimeshuhudia nilipoibiwa gari wakati fulani.
Tatizo kubwa polisi wanaoenda shortcuts za kupiga watu na kuwavunja miguu, kwanza ni wale wasio na akili sana.
Pili kukosa vitendea na tatufedha na mafungu ya kufanyia kazi.
Gari langu lilipatikana baada ya kumwaga mpunga wa ufuatiliaji huko na huko.
 
Kuna vijana wazuri sana polisi, tena wana weledi.
Nimeshuhudia nilipoibiwa gari wakati fulani.
Tatizo kubwa polisi wanaoenda shortcuts za kupiga watu na kuwavunja miguu, kwanza ni wale wasio na akili sana.
Pili kukosa vitendea na tatufedha na mafungu ya kufanyia kazi.
Gari langu lilipatikana baada ya kumwaga mpunga wa ufuatiliaji huko na huko.

Ulimwaga mpunga huko na huko wapi mkuu ili na sie yakitukuta kama yaliyokukuta tufanye hivyo hivyo
 
Shida hata akimtoa Sirro bado mambo ni yaleyale, wamepita IGP wengi lakini bado Hali ipo vilevile. Sasa leo ndio useme akitolewa Sirro jeshi litakaa vizuri
 
Mh Rais Samia

Mimi kama mwananchi wako nakushauri kwa mara nyingine tena ili kusiwe na hatia juu yako Ila ni wazi kabisa polisi wetu wanakuchafulia na kukutia doa utawala wako.

Mpumzushe Sirro msaidie apumzike kwa heshima jeshi la polisi chini yake limechafuka Sana na Askari wengi wanaumizwa na lawama zinazotupiwa jeshi Lao wanaona hawatendewi haki na wanakuwa victimized unnecessary kwasababu ya watu wachache.

Halafu mh rais tuko kwenye dunia inayojali sana professionalism kwanini unaajiri polisi waliofeli kidato cha nne? Ilhali Kuna wasomi kibao mtaani wenye degree na wanafani? Hivi huyu form four failure mpaka astahafu atakuwa ameleta damage kiasi gani kwa jamii iliyostaarabika? Mh rais hawa ndio watavunja watu miguu makusudi watawawekea bangi watu makusudi ili wawabambikie makesi na mambo mengine CHUNGU nzima.

Ni wito wangu kwa wanaomshauri Rais wakati ni Sasa kuilinda hadhi ya serikali na heshima ya rais mnalipwa kwa kazi hiyo. Kesi kama ya mbowe inamtibulia tu rais maji kisimani yawe machafu yasifae kunywa lakini yote hii shida ni polisi kwani hata kama wanatumwa na wanasiasa kufanya wanayoyafanya dhidi ya raia wema hata wao polisi sio smart enough kupanga maishu yasiyoacha alama.

Naishia hapa nimemshauri rais wangu kwa upendo nanawa mikono yangu Kama sitasikikizwa.
Wewe shida yako ni Siro TU na wala si jeshi la polisi. Kama una mtu wenu mpigie debe awekwe tu na sio unwamgushie jumba bovu Siro.

Jeshi la polisi miaka na miaka liko hivo na unajua kabisa lina mfumo mbovu na linaendeshwa na siasa hata ukimuweka Arnold Shwazteineger aka Komando John wa Jeni na Rambo hakutakuwa na mabadiliko. Ni mfumo mzima wa Jeshi la polisi na siasa zake.

Unamkumbuka Ernest Mangu sijui mlimtoa Interpol? Alikuja akafanya yake na watu wake mkamtoa akakaa pembeni.

Sasa embu suggest unataka Rais amuweke nani pale panyoke Tanpol?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Lawama zinazotupiwa jeshi la polisi zinawaumiza Sana na kuwavunja moyo polisi wengine wema.
Hatuna polisi tuna policcm na MAJAMBAZI .

Kuwekea watu madawa ya kulevya.

Torture

Kula pesa za watuhumiwa kama yule kingai
 
Wewe shida yako ni Siro TU na wala si jeshi la polisi. Kama una mtu wenu mpigie debe awekwe tu na sio unwamgushie jumba bovu Siro.

Jeshi la polisi miaka na miaka liko hivo na unajua kabisa lina mfumo mbovu na linaendeshwa na siasa hata ukimuweka Arnold Shwazteineger aka Komando John wa Jeni na Rambo hakutakuwa na mabadiliko. Ni mfumo mzima wa Jeshi la polisi na siasa zake.

Unamkumbuka Ernest Mangu sijui mlimtoa Interpol? Alikuja akafanya yake na watu wake mkamtoa akakaa pembeni.

Sasa embu suggest unataka Rais amuweke nani pale panyoke Tanpol?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mkuu pamoja na ubovu wa jeshi la polisi Ila siro kwasasa amefikia climax ya uhovyo kabisa. Nakupa mfano mdogo juzi kasema wao Kama polisi hawana shida na mikutano ya ndani Sasa swali linakuja Kama ndivyo kwanini 100% ya mikutano ya chadema inazuiwa na 100% ya ccm inakubaliwa? Ukiona mkutano wa ndani wa CHADEMA umekubaliwa Basi ni ile iliyotengenezwa na ccm wenyewe kupitia uvccm halafu wanawapa maneno ya kumchafua mbowe na cdm.
 
Inafahamika chadema kwasasa wanapambana na dola sio ccm maana ccm ilishakufa.
 
Kuhusu suala la ajira hususan sifa ukiangalia in all dimensions kuna changamoto. Mosi, sioni degree holders wakibeba mabunduki kwenda kulinda makazi ya viongozi na familia zao; kwenye hili polisi wana hoja ya kuajiri F4.

Pili, polisi ndio wapelelezi, waandaa mashaka, na watoa ushahidi mahakamani. Hili linahitaji weledi wa kisomi so at least degree holders would be appropriate.
Hata unilipe bilioni, siwezi kwenda linda mwasiasa angali amelala na mkewe
 
Back
Top Bottom