Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Lakin ukweli utabaki kuwa ukwel tu yeye ni Mzanzibar hlo tunajua na halpngik na litabk kuwa hvyo. japo kama Rais hakutakiwa kusema hvyo[emoji120]
mam ni rizimoko ama nakosea. Kuna kuwa bintMwinyi & mam izimoko MTT wa 0ut wa kayaja. Hii Ina ukweli wadau Kama ndo ivyo Kuna familia fulani wanakula Mema ya Nchi wanaishi Kama wako peponi. Nahitaji Benz la chinichini na huku sio kuwa Ana shida nayo.
 
Safi, bandiko lako limeshiba.
 
Mbona Mheshimiwa Rais kaongea vizuri ila wewe ndiye unalazimisha NONGWA!???.
 
Hatuna Raisi hapo for sure.no wonder kazi yake imekua kufungua makongamano na kuapisha wateule tu.
Huyo ndio rais wako ndugu...utake usitake..yupo ofisini mpaka 2030..
Mama anaupiga mwingi sana, nyie wenye vijiriba vya roho kazi mnayo
Viva Samia
Kazi iendelee..
 
Yes yeye ni mzanzibar. Tumuache Mama afanye kazi. Tutamuhukumu kama akifanya yasiyo haki. Unzanzibar wake sio dhambi na wala sio tatizo. Watanzania tunataka usawa na maendeleo. Sio blah blah zisizo kwisha na kuendekeza wizi wa mali ya umma
Mama mama kwani mamako huyo
 
Maneno na hotuba yako ndeefu haifuti ukweli kua JPM alikuwa mdini,mkabila mbobezi na dikteta.

OVER
 
Ww acha upoyoyo hoja hapa syo kabila bali utaifa.

Yeye kajitambulisha kuwa ni toka taifa la zainzibar ambalo kimsingi halipo, lililopo ni Tanzania, ambao ni muungano wa tanganyika na zanzibar,
Hakuna taifa la zanzibar kama sivereign state bila kuwepo tanganyika.
Angesema yeye mkojani poa ni sawa na kusema mimi msukuma
 
Wazanzibari wanajitambua sana.
Siku zote hawasahau utambulisho wao na maslahi yao! Popote pale walipo!
Tofauti kabisa na watu wa Tanganyika wanaopenda kujimwambafy na kujificha ndani ya JMT!
 
Yaani wewe ni bure kabisa. Ulipaswa ubebe silaha ulinde benki!
 
Yeye "ni MZanzibar", siyo mTanzania"?

Kuna viongozi wengine ndani ya serikali ya Tanzania wanaojitambulisha kuwa wao ni "waLindi, waDodoma, waKigoma", au sehemu yoyote ya Tanzania?

CCM imetufikisha hapa, na ndani ya chama hicho sasa hivi hakuna wenye uwezo wa kututoa kwenye mkanganyiko huu.
 
Kaaah! Unailinganisha Zanzibar na Lindi, Dodoma na Kigoma?
Je, ulishawai kufika nchi ya Zanzibar?
Hujui kuwa Zanzibar wana systems zao kuratibu mambo yao isipokuwa tu yale machache ya "muungano"!
Hujui kuwa wanaweza kujiendesha kwa ufanisi mkubwa bila maujinga ujinga ya Tanganyika?
 
Mtamsema sana mh.Rais ila ndio mjue yeye ndiye RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI......

ENDELEENI kuufukuza upepo......


#NchiKwanza
#KaziInaendelea kwa Kasi &Weledi zaidi
 
Kwa hiyo Zanzibar ni Sawa na Tanga ,Mtwara na Dodoma?!!! Khaaa 😳😳

Fikra za ajabu hizi.....🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…