Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Wewe jamaa una nongwa sana.....Huyu bibi ni mbaguzi balaa
Wewe nini kinakuuma?Wewe jamaa una nongwa sana.....
Kwako hakujawahi kutokea kiongozi wa CCM akawa mwema....
Endelea kuufukuza upepo...labda iko siku CDM mtaipata dola kwa staili hiyo ya kupinga ,kuzusha na chuki.... 🤣🤣
Kama hivyo ndivyo basi Nyerere aliyezaliwa 1922 enzi za ukoloni asingejiita Mtanzania na kudumu katika hilo hadi kifo chake!!! Mtu aongee ni Mzanzibari akiwa ndani ya eneo la Zanzibar pekee sio nje ya hapo. La sivyo watu wa jamii zingine wanapotoka kwenda mataifa mengine wasijitambulishe wao wanatokea Tanzania bali kwa mfano Mbena wa Njombe, Mruri wa Mara, Mmanyema wa Kigoma, Mkaguru wa Gairo nkMtu aliyezaliwa Zanzibar mwaka 1960 ni Mzanzibari. Tanzania haikuwepo huo mwaka 1960.
Amesema hana kabla. Kwa hiyo alitakiwa kusema kuwa yeye ni Mtanzania..... Period. Kujiconnect nakule aliko toka ni sawa na kusema mimi ni kabila fulani.Kilichoharibika ni kwa kuwa yeye amejitaja Mzanzibari ?!!!
Mbona hayati JPM(Rip)alikuwa anajitaja kuwa msukuma na anakiongea akiwa kanda ya ziwa?!!!
Tensions zote hizi zisizo na maana ,mantiki na faida ni za kumtengenezea mh.Rais apate tabu kuongoza.....
Kuna siri nitakuja kuitoa hapa mtabaki midomo wazi
Kama JPM vile alivyokuwa hana ubaguzi kikandaTunataka Rais mtanzania siyo mtanganyika wala mzanzibari. Tunataka Rais asiyebagua nchi kikanda, Tunataka Rais anaejivunia Utanzania wake siyo utanganyika wala UZANZIBARI wake.
Tukianza hivyo .wabara wenyewe watabaki wachache.kiasili watanzania wengi ni wahamiaji.Inamaana hujui kua hao Wazanzibari asili yao si bara, ambako watumwa walikua wanachukuliwa na kusafirishwa kupitia Soko la watumwa huko Zanzibar kwenda ughaibuni!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna kiongozi gani mwema kutoka CCM? Mtaje hata mmojaWewe jamaa una nongwa sana.....
Kwako hakujawahi kutokea kiongozi wa CCM akawa mwema....
Endelea kuufukuza upepo...labda iko siku CDM mtaipata dola kwa staili hiyo ya kupinga ,kuzusha na chuki.... [emoji1787][emoji1787]
Lakini hata kwenye huo uislamu unatambua kiongozi mwanamke?Yuko sahihi sanaa,,, sema tuu baadhi yenu hamkupenda uyu mama aongoze nchi sababu ni muisilamu,,,,
Alitakiwa aseme mimi ni MTANZANIA! Lakini kinywa cha mtu husema yaliyojaa moyoni!! Uzanzibari umejitokeza kuwa umejaa moyoni kuliko Utanzania!! Very unfortunate!! Imeshatoka hiyo live!!
Sahihi kabisa and well statedTunataka Rais mtanzania siyo mtanganyika wala mzanzibari. Tunataka Rais asiyebagua nchi kikanda, Tunataka Rais anaejivunia Utanzania wake siyo utanganyika wala UZANZIBARI wake.
Wafuasi wa mwendazake ndio wanalialia mara tunaonewa, mara, tunatumbuliwa,....Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
====
Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...
Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.
Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Sijui kama umeelewa hoja hapaUlitaka aseme ni ngosha au mangi wa kibosho
Mimi binafsi sioni tatizo. Inaonekana wewe ndio wale wale wa lile kundi. Mnatumia kila kisingizio ili kumuharibia sifa rais wetu.Angejitambulisha kwamba yeye ni Mkojani au Mnungwi isingekuwa na tatizo lolote. Ni sawa na ilivyokuwa haina tatizo kwa JPM alivyokuwa akijitambulisha kwamba alikuwa Msukuma. Pamoja na kwamba tulikuwa tunafahamu kwamba JPM alikuwa Mtanganyika, lakini ingeleta kero sana kama kwa siku yoyote angejitambulisha kwamba alikuwa Mtanganyika. Hata Samia kwa kujitambulisha kwamba yeye ni Mzanzibar kakosea na nadhani haina afya kwa taifa. Kujitambulisha kwa kutumia utaifa wetu wa zamani ambao kimsingi ulishakufa siyo vyema sana.
Kamfate huko aheraKama JPM vile alivyokuwa hana ubaguzi kikanda