JF ongezeni moderators, inaweza kuwa ni ngumu kuwalipa ila pambaneni mpate wadhamini mpate fedha, Jukwaa lenu linashuka hadhi sana, sababu kubwa ni aina ya Mada zinazoanzishwa
Siku hizi Mlevi yeyote anaweza kuamka na kuja kumwaga pumba zake zinazomjia kichwani jukwaani.
Alichoongea Samia ni tofauti na alichoandika huyu jamaa, yeye kadokoa sentensi moja tu kaimwaga hapa, na wanaokomenti nao ni walewale tu
..Maza anatuhumiwa kupendelea Waznz.
..katikati ya manung'uniko hayo Maza anasema yeye ni Mzanzibari!!
..Na Mznz kutokuwa na kabila haimaanisha kwamba hawezi kuonea kabila fulani.