yaani wabongo mnashida sana badala ya kuangalia mambo gani ya muhimu anayafanya yaani mmekaa kufuatilia neno kwaneno anayoyasema ilikutafuta kaneno gani amekosea ili mje jukwaani muanze kumsema vibaya mboa hamusiff mambo mazuri anayofanya mbona hamusemi kuwa hapa kakosea angefanya hivi kuhusu mambo ya msingi yaani mnanikimbusha spika alivyokosea kidogo tu bungeni ukawa wimbo