Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Kumbe ni Mzanzibar? Ndio maana hata ndege za ATCL zilipokelewa Zanzibar ingawa sio za Muungano. Duuuuuuh.
 
Mimi chifu mwakatozo ni mzanzibar, nipo kwenye mitala kule Michenzani. Viatu vikubwa hivi havinitoshi. Sikujiandaa. Mtaniponza nitaachika mie.. nye nye nye..!

Hivi Tanzania itaongozwa na watu wasiojiandaa mpaka lini.. Bladifekeni.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====

Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Na udini Mbona hasemi?Nauona umeshamiri sana kwenye teuzi zake.Leo anapo apisha naona imeshikwa kuruani tu.Hata Sofia naona ameshika quruani.Wilaya ya Iringa na Mufindi wame teuliwa wazanzibari.Mbona Zanzibar wanna serikali yao?
 
Mama hana cha chuki kwa wapambe wa JPM wala nini....kila kiongozi lazima aingie na timu anayoona itamsaidia kazi kwa tija na ufanisi kuleta maendeleo ya Taifa. Kama kuna wanaoonekana kumkwaza ni kusogeza pembeni tu. Tumechelewa sana.
 
Kasema tu ukweli,,,

Au amewaza kwa sauti... Tatizo watanzania tunapenda kufarijiwa kipuuzi na ni wagumu kuupokea ukweli...
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====

Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Angesema yeye ni Msukuma kama ilivyokuwa kwa mwendazake ingekuwa sawa?
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====

Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Kwa hiyo yeye sio Mtanzania Bali ni Mzanzibar

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wakati anapewa nafasi nzuri kukemea huu upuuzi wa kikabila, bado anaipoteza fursa hiyo kwa kulembalemba hadi inapoteza maana kabisa, kiasi kwamba anazidi kuchochea tabia hii mbovu ya ukabila inayozidi kuota mizizi kwenye taifa hili.

Anahitaji sana kujifunza namna ya kuwasilisha hotuba zake.

"Communication Skills" zake ni hafifu sana.
 
Tanzania hatuna ukabila, tusipoteze muda kujadili hili. kilichopo ni fair kuwepo kwenye nchi yeyote ya kistaarabu duniani. hakuna nchi yeyote duniani ambayo watu wote hujuhisi sawa, that is just fair. ila inapopitiliza hadi mtu kuchukia mwingine kwa minajili hiyo hapo ndipo tunatakiwa kuweka mjadala. mimi sijaoa kabila langu, nafanya kazi na watu wasio kabila langu, nimesaidiwa sana kufika hapa nilipo na watu ambao hata sio kabila langu, hivyo huwa natreat watu kulingana na yeye anavyonitreat ila sio kwa kabila lake.

kama watz tutajadili hilo, wakenya wafanye nini sasa, waganda wafanye nini, wanyarwanda wafanye nini, warundi wafanye nini,....kule ambako mtu anaona mtu wa kabila fulani bora hata angekufa tu...sisi tumebarikiwa na Mungu, tusiona kama hatuna kitu kizuri mezani wakati kuna watu nchi zingine wanatamani wangekuwa kama sisi. futeni hiyo topic. tupo vizuri tu.
 
kuna watu wanashiriki kumuandalia hotuba za hovyo nae anaingia kichwakichwa.

Jafari Haniu is not SMART.
 
Nani anayemtuhumu? Ila mimi nimezungumzia mleta mada kuchomoa sentensi moja na kuileta hapa badala ya kuleta content nzima! Kuna maelezo alianza nayo yaliyoelekea kutamka yeye ni mzanzibar, MZBR haikuwa main content ya ujumbe aliotaka kuuwakilisha

..sukuma gang wanamtuhumu kuwachomoa ktk nafasi mbalimbali.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Ni lini Watanzania tutaacha kufuata upepo? Kusema yeye ni zanzibar ni kosa? Hivi nani hana asili na kabila? Amesema na mmesikia kuwa yeye hachagui kwa kabila sasa unataka useme yy ni mluguru? Wakati siyo!!!!, jamii ijifunze na mh Raisi ameshasema na ameeleweka mnaotaka kutafuta maana na tafsiri ya alichokisema hamtakipata maana yeye ameshasema
Regards
Raisi wa mtaa
Ini likioza halina spare
Jitafsiri
 
Back
Top Bottom