JF ongezeni moderators, inaweza kuwa ni ngumu kuwalipa ila pambaneni mpate wadhamini mpate fedha, Jukwaa lenu linashuka hadhi sana, sababu kubwa ni aina ya Mada zinazoanzishwa
Siku hizi Mlevi yeyote anaweza kuamka na kuja kumwaga pumba zake zinazomjia kichwani jukwaani.
Alichoongea Samia ni tofauti na alichoandika huyu jamaa, yeye kadokoa sentensi moja tu kaimwaga hapa, na wanaokomenti nao ni walewale tu
😂😂😂😂 Dah Uraisi mgumu sana,mimi sijaona alichokosea,ingawa anaonyesha chuki ya wazi kabisa kwa Magu,na nafikiri kuna watu wamemshtua kwamba unaharibu sasa anaanza kujikoshaRais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
Nani anayemtuhumu? Ila mimi nimezungumzia mleta mada kuchomoa sentensi moja na kuileta hapa badala ya kuleta content nzima! Kuna maelezo alianza nayo yaliyoelekea kutamka yeye ni mzanzibar, MZBR haikuwa main content ya ujumbe aliotaka kuuwakilisha..Maza anatuhumiwa kupendelea Waznz.
..katikakati ya manung'uniko hayo Maza anasema yeye ni Mzanzibari!!
..Na Mznz kutokuwa na kabila haimaanisha kwamba hawezi kuonea kabila fulani.
We nawe ndiyo wale wale sukuma gang ni akina nani hao? Acheni huu utopolo!Wewe ni moja kati ya watu wapuuzi humu. Nyerere alikikubali kizanaki na kukiongea hadharani. Maghufuli jukwaani alikuwa akihutubia live kisukuma . Hatukuwahi kukuona wala kukusikia ukihoji [emoji102].
Bora hata huyo Samia kasema ukweli. Licha ya kuwa mZanzibari hapendi ukanda. Tuondolee usukumagang hapa [emoji107]
MaCCM akili zao hazina akil.CCM Ina vituko
Nyie ndo mnamuharibia huyo Bibi,watu wanahisi mnatumwa naye kumbe mnajituma wenyeweWewe ni moja kati ya watu wapuuzi humu. Nyerere alikikubali kizanaki na kukiongea hadharani. Maghufuli jukwaani alikuwa akihutubia live kisukuma . Hatukuwahi kukuona wala kukusikia ukihoji [emoji102].
Bora hata huyo Samia kasema ukweli. Licha ya kuwa mZanzibari hapendi ukanda. Tuondolee usukumagang hapa [emoji107]
Hujaelewa alichosema, nenda shule kidogo utaelewa. Acha kuhisi hisi wewe, Mwache rais wetu afache kazi, acheni mambo ya sukuma gangs.Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
Ndio anatawala tanzania,si uende burundi!Sasa kama ni Mzanzibar si akatawale huko kwao Zanzibar?!
Samia ni Mtanzania na ndicho alipaswa atamke.
Na utopolo ni kitu gani kama si upuuzi ?!We nawe ndiyo wale wale sukuma gang ni akina nani hao? Acheni huu utopolo!
Pole kwa ban mzeeKwahiyo yeye ni mshelisheli?
Wanawake wa Tanga tayari wanatembea vifua mbele.Na sisi Wenyeji wa Tanga tulio sababisha kuzaliwa kwa jina la nchi yetu ya Tanganyika, tunaruhusiwa kutembea vifua mbele kama kuku walio nyonyolewa?
Shida inaweza isionekane,ila imejificha.Shida iko wapi hapo
Kwa hiyo kuwa Kiongozi kunaondoa U-Zanzibar wake?Yeye ni kiongozi wa ujumla wa Watanzania.
Kipindi Maghufuli akipiga campaign kwa kisukuma mlihoji ?!Nyie ndo mnamuharibia huyo Bibi,watu wanahisi mnatumwa naye kumbe mnajituma wenyewe
Una kichwa cha kazi gani?Wangekuwa wachache hivyo msingehangaika kila siku kuwakomoa kwa matozo kwenye bundle zao
Mutapata shida wewe na nani?Mama plz usianzishe vita na wasukuma wale watu wametubeba sana CCM 2015 na 2020.
Kama ukumpenda mtangulizi wako usichukie na jamii yako yote. Lile kundi likisimama na wapinzani tutapata shida.
Kaonyesha majivuno?Shida inaweza isionekane,ila imejificha.
Kumbuka,alimnukuu Mwl. Nyerere kuwa tujivunie UTANZANIA wetu na siyo Ukabila. Kimsingi Mama yetu Samia ni MTANZANIA anayetoka au kuzaliwa Zanzibar. Ikibaki hivyo,tutaelewa zaidi dhana ya Mwl Nyerere ya kupinga Ukabila, Ukanda katika utambulisho kama RAIA wa Tanzania.
Niko tayari kusahihishwa na naamini ndicho Mama alichomaanisha japo ndo hivyo kwa wengine kutoelewa .
Kuna wati bila kubebwa hawaamini kama maisha yanawezekana....Hawa chawa ambao kazi yao ni kufikiria urefu wa pua zao ni shida sana na wanamchonganyisha Rais na wananchi wa kawaida...Ilikuwa hivi kwa JK, JPM na sasa tabia hii inakomaa zaidi na zaidi hata awamu hii...Ni vizuri viongozi wetu wakakataa mambo ya hovyo kama hayaNyie ndo mnamuharibia huyo Bibi,watu wanahisi mnatumwa naye kumbe mnajituma wenyewe
Haaa,kwa hiyo una record kwamba watu hawakuhoji,yaani kwa nini mnamtumia Magufuli kama standard,kwa hiyo kama Magu alikuwa anakosea basi na Samia naye akoseeKipindi Maghufuli akipiga campaign kwa kisukuma mlihoji ?!