Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekuwa wachache hivyo msingehangaika kila siku kuwakomoa kwa matozo kwenye bundle zaoNaona mama ana jaribu kuwajibu sana watu wa mitandao, mi nadhani ange wapotezea hawafiki hata 10% ya watanzania
Watanzania tuna Mambo mengi tena Muhimu tu ya Kufanya na siyo huu Upopoma ( Upuuzi ) wako uliouleta hapa.Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
Mwaga mchele..Kuna siri nitakuja kuitoa hapa mtabaki midomo wazi
Yeye ni kiongozi wa ujumla wa Watanzania.
...sasa ya nini akemee Ukanda Ukanda ilhali yeye anauishi?!kwani wewe haujui kuwa tunaongozwa na mzanzibari?
Sioni shida kama akijiita mzanzibar maana kweli ni mzanzibar. waja tunapenda sana kujidanganya nafsiIla ana asili ya Zanzibari.
Wewe ni moja kati ya watu wapuuzi humu. Nyerere alikikubali kizanaki na kukiongea hadharani. Maghufuli jukwaani alikuwa akihutubia live kisukuma . Hatukuwahi kukuona wala kukusikia ukihoji [emoji102].Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
...sasa ya nini akemee Ukanda Ukanda ilhali yeye anauishi?!
Wa Tanganyika mtaendelea kuukataa u Tanganyika mpaka lini ?!. History haifutiki kirahisi hivyoSasa kama ni Mzanzibar si akatawale huko kwao Zanzibar?!
Samia ni Mtanzania na ndicho alipaswa atamke.
Mbona Ngosha alikuwa anatwanga Kisukuma hadharani kwa hadhara ya wasijua Kisukuma yaani official state speeches!Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
MkojaniBasi Samia ni mmakonde
Mikwara tu huna Siri yoyote ile, unatafuta tu kiki!!Kuna siri nitakuja kuitoa hapa mtabaki midomo wazi
Ndio maana nilisikia kuna ndege zinapokelewa zenji[emoji848][emoji848]Ana tumia nguvu nyingi sana naza wazi kui favour zenji saivi..hatoboi mbari huyu
Umepiga corner ukawa wa kwanza kupiga headerHuyo mama akemewe kwa nguvu zote aache umimi
Kweli na wwe anakuingiza chaka kwa Mchelee gani huo!? Hakuna jipya Mambo ni yaleyale na watu ni walewale wa siku zote!!Mwaga mchele..