Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Na sisi Wenyeji wa Tanga tulio sababisha kuzaliwa kwa jina la nchi yetu ya Tanganyika, tunaruhusiwa kutembea vifua mbele kama kuku walio nyonyolewa?
Mkuu samahani kwa kutoka nje ya mada,hivi neno tanga linaamaana gani?
 
Ulitaka aseme ni ngosha au mangi wa kibosho
Alitakiwa aseme mimi ni MTANZANIA! Lakini kinywa cha mtu husema yaliyojaa moyoni!! Uzanzibari umejitokeza kuwa umejaa moyoni kuliko Utanzania!! Very unfortunate!! Imeshatoka hiyo live!!
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Pili anashangazwa na watu wanaowaza utadhani wana ahadi na Mwenyezi Mungu kuhusu kujua nani atakuwepo kesho na nani hatakuwepo.maneno ya Nape tar 8.2. 2021 yakatokea ya kutokea tar 17.3.2021
 
Sasa kama ni Mzanzibar si akatawale huko kwao Zanzibar?!

Sukumagang umegeuka kuwa mpinzani wa mama

1634020328417.png
 
Ww acha upoyoyo hoja hapa syo kabila bali utaifa.

Yeye kajitambulisha kuwa ni toka taifa la zainzibar ambalo kimsingi halipo, lililopo ni Tanzania, ambao ni muungano wa tanganyika na zanzibar,
Hakuna taifa la zanzibar kama sivereign state bila kuwepo tanganyika.
Angesema yeye mkojani poa ni sawa na kusema mimi msukuma

Yuko sahihi sanaa,,, sema tuu baadhi yenu hamkupenda uyu mama aongoze nchi sababu ni muisilamu,,,,
 
Yaani hao WaTanganyika wengi wao ni wa ajabu ajabu sana!
Binafsi ni Mtanzania bara...🤣

Tanganyika tulishaizika ili tuwe na taifa bora zaidi liitwalo Tanzania....

Tanganyika imekwenda ....hairudi ngo'oo ng'ooo ng'ooo........

SIEMPRE SERIKALI MBILI ZA JMT
 
Uzanzibari na Uzanzibara ..... hapo anaharibu zaidi...!!
Kilichoharibika ni kwa kuwa yeye amejitaja Mzanzibari ?!!!

Mbona hayati JPM(Rip)alikuwa anajitaja kuwa msukuma na anakiongea akiwa kanda ya ziwa?!!!

Tensions zote hizi zisizo na maana ,mantiki na faida ni za kumtengenezea mh.Rais apate tabu kuongoza.....
 
Yeye "ni MZanzibar", siyo mTanzania"?

Kuna viongozi wengine ndani ya serikali ya Tanzania wanaojitambulisha kuwa wao ni "waLindi, waDodoma, waKigoma", au sehemu yoyote ya Tanzania?

CCM imetufikisha hapa, na ndani ya chama hicho sasa hivi hakuna wenye uwezo wa kututoa kwenye mkanganyiko huu.

Kwa akili yako zanzibar utailinganisha na mikoa iliyomo Tanzania!!! Hamuoni aibu kuongea haya!!! Zanzibar tangu lini imekuwa mkoa ndani ya Tanzania!!!! Muungano uliopo ndiyo unakutisha!!!! Tangu mama ashike nchi mnaongea sana,,,,


Mama piga kazi wasikubabaishe hawa wa2,,,wewe ni mzanzibari 2naekuamini na mtenda haki, na tumefurahia kuliongoza nchi lenye wa2 wengi wacojitambua,,,,,
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Kakosea nini sasa,wakati alikuwa anatoa ufafanuzi kuwa kila mtu ana kabila lake,ila kwa huku kwetu yeye anatambulika kama mzanzibari...
 
Kama Zanzibar haijakufa, kumbe basi ni kipi ambacho kila kukicha wanakilalamikia na kudai kwamba wanataka nchi yao yenye mamlaka kamili? Braza walichobakiziwa na Nyerere ni kopo tupu hawana lolote na hawana identity yoyote nje ya Tz. Kujitambulisha kwa kujiita Mzanzibar au Mtanganyika na hasa kwa mtu wa levo ya Rais siyo sawa kwa sababu hii inasisimua utaifa ambao tuliuua na kujibatiza wote kwa Utanzania.
Kwanini wengi wetu huku bara tunapenda kuongea baadhi ya mambo tusiyo na uhakika nayo upande wa wenzetu visiwani?!!

Hao wanaotaka mamlaka kamili ni wangapi?!!

Ulipofanya tafiti yako umepata ni wangapi wasemayo hayo?!!!

Zanzibar kuna siasa ngumu na pana....wako wahafidhina wasio CCM na wanaosema maneno hayo.....

Hayati baba wa taifa JK Nyerere aliifuta Tanganyika na kuibakiza Zanzibar kwa sababu nyingi zenye mashiko.....Zanzibar ina dola lake na Rais wake...hilo nalo gumu kulielewa?!!

Uzuri ni kuwa hata Rais wa Zanzibar kipindi hiki ana "nasaba" na huku bara....TUJIVUNUE UPEKEE HUU WA MUUNGANO WETU BORA KUPITILIZA....

Muungano huu hatujauiga katika vitabu vya tawala na falsafa.....

SIEMPRE JMT
 
Back
Top Bottom