Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

Bashir Yakub

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
96
Reaction score
1,745
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
 
MAMA MKUTANO UMEISHA SASA NI WAKATI WA KUMSHUGHULIKIA CHALAMILA.

Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Naungana nawe ktk hoja ya kutaka kuwajibishwa kwa Chalamila si kwa kuwa mteule wake atakosa kura za wanawake asipomuwajibisha, bali ni kwa sababu huyu bwana amewakosea sana na kuwadhalilisha wanawake. Chalamila amedhihirika muda mrefu kuwa miongoni mwa viongozi (kama ana sifa ya kustahili kuitwa kiongozi) waropokaji wasiofikiri kabla ya kuongea. Huwa anaamini kuwa kuwa kwake RC kunamfanya awe na akili kuliko wote walio kwenye himaya yake. Nafikiri hata hivyo tatizo liko kwenye mfumo wetu “vetting”.
 
MAMA MKUTANO UMEISHA SASA NI WAKATI WA KUMSHUGHULIKIA CHALAMILA.

Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Acha kujisumbua chalamila toka aseme makamu anaweza kumloga raisi akafa ili arithi amekuwa hagusiki.
 
Huyo mama yako, Chalamila na ccm wote wanatakiwa kuondoka. Wale watu walio kua wanaonekana ni mbumbumbu sasa wameamka wanaitaka katiba mpya, wanadai hii nchi ni yetu sote na wanasema huyo bibi hatoshi kwenye hicho kiti eti walio mleta wamrudishe kwao anatupotezea muda.
 
Yani ktk kero zote zinazotukabili wananchi wewe umeona kero ya msingi ya kushughulikia ni Chalamila?
Hivi nyie wasomi wetu utafika lini wakati muanze kutumia elimu na akili zenu kufikiria mambo ya msingi yanayoikabili nchi yetu? Wakili mzima kabisa unakuja hapa kuzungumzia petty issue kama kauli ya Chalamila? Wewe ni wakili, kwa nini usitumie ujuzi wako wa sheria kumfungulia kesi mahakamani ili awajibishwe kisheria?
Wasomi wetu na nyie ni kama wanasiasa tu!
 
Yani ktk kero zote zinazotukabili wananchi wewe umeona kero ya msingi ya kushughulikia ni Chalamila?
Hivi nyie wasomi wetu utafika lini wakati muanze kutumia elimu na akili zenu kufikiria mambo ya msingi yanayoikabili nchi yetu? Wakili mzima kabisa unakuja hapa kuzungumzia petty issue kama kauli ya Chalamila? Wewe ni wakili, kwa nini usitumie ujuzi wako wa sheria kumfungulia kesi mahakamani ili awajibishwe kisheria?
Wasomi wetu na nyie ni kama wanasiasa tu!
Wewe ndiyo Chalamila mwenyewe au ni ndugu yako? Issue hiyo ni 'petty' kwako lakini si kwa kila mtu. We definitely have different opinions on different matters, mambo ambayo kwako ndiyo priorities unaweza ukawa mfano by dealing with them at your capacity.
Play your part dude.
 
Wakili gani unalalamika namna hii.. mama mama maamamaa...
🚮🚮...

Andika sentence moja.. chalamila out..over
 
Life goes on, Chalamila kaelezea tafuta video nzima ya tukio husika kuelewa contexts nzima ya mkutano. Ili upate perspective yake hadi yeye hiyo kauli.

You can’t pick and choose aspects of speeches kuchafua watu. Wakati utaki kuona picha nzima ya nini hasa kilitokea hadi yeye kusema aliyosema.
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Wakili asiye na akili. Tuchangie huduma za matibabu siyo kujipendekeza kwa kigezo cha mama
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
 

Attachments

  • 5945173-23735a1566a1fc06bd36bb28be6a7fb2.mp4
    8.8 MB
  • 5944929-4d92792ffdf762a4208c3397ae41a106.mp4
    15.1 MB
  • 5944590-a1305d6ca4ca5a4af2f86b656e6a30d1.mov
    11.1 MB
  • VID-20250129-WA0023.mp4
    7.1 MB
  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
Watz weengi hawanaga ajira hv vyeo u rc, dc, katibu tawala nk nk ilitakiwa mtu yeyote anapewa kwa muda wa miaka mi5 tuuu kisha ateuliwe mwingine...wengi waonje keki ya taifa sio kikundi cha wajinga wachache.
Na ktk miaka hiyo mi5 mtu anayohudumu napo anapewa job description akizingua katikati ya muda out hakuna kupewa second chance...watu wenye uwezo na elimu wapo wengi hakuna kubembelezana.
 
Wewe ndiyo Chalamila mwenyewe au ni ndugu yako? Issue hiyo ni 'petty' kwako lakini si kwa kila mtu. We definitely have different opinions on different matters, mambo ambayo kwako ndiyo priorities unaweza ukawa mfano by dealing with them at your capacity.
Play your part dude.
Issue ya Chalamila ni petty kwa sababu siyo issue ya msingi. Kushughulika na Chalamila ni sawa na kushughulikia mahali alipoangukia na ukaacha mahali ulipojikwaa!
Issue za msingi ninazoziona mimi ni hizi:
Kwanza, kushughulikia huduma za afya zenyewe na kuziboresha ili zitoe huduma insyokidhi mahitaji ya wananchi.
Pili, tunapaswa kujiuliza ni kwa nini huyo mama anakosa elfu 50 kwa ajili ya matibabu? Hapa ninalenga kuimarisha uchumi wa wananchi ili wajiongezee mapato yatakayowawezesha kulipia huduma za afya, na nyingine zinazotolewa.
By all means, kumshughulikia Chalamila hakutaweza kutatatua changamoto za kiuchumi na huduma za afya zinazotukabili.
Tushughulikie masuala ya msingi.
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Kwakweli Wanasemaga Waswahili mdomo uliponza Kichwa !
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Hopeless Nigga!... watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli.

Chalamila siyo mnafiki .
 
Back
Top Bottom