Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

Unashughuki
Issue ya Chalamila ni petty kwa sababu siyo issue ya msingi. Kushughulika na Chalamila ni sawa na kushughulikia mahali alipoangukia na ukaacha mahali ulipojikwaa!
Issue za msingi ninazoziona mimi ni hizi:
Kwanza, kushughulikia huduma za afya zenyewe na kuziboresha ili zitoe huduma insyokidhi mahitaji ya wananchi.
Pili, tunapaswa kujiuliza ni kwa nini huyo mama anakosa elfu 50 kwa ajili ya matibabu? Hapa ninalenga kuimarisha uchumi wa wananchi ili wajiongezee mapato yatakayowawezesha kulipia huduma za afya, na nyingine zinazotolewa.
By all means, kumshughulikia Chalamila hakutaweza kutatatua changamoto za kiuchumi na huduma za afya zinazotukabili.
Tushughulikie masuala ya msingi.
Unashughulikiaje masuala hayo ya msingi chini ya uongozi kama wa Chalamila. Huoni uhusiano uliopo kati ya uongozi wa hovyo na kukosekana kwa huduma za kijamii zikiwepo huduma za kiafya? Matatizo ya nchi za kiafrika yanatokana na uongozi mbovu. Hatua ya kwanza ya kukabiliana na matatizo yetu ni kuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi.
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Nani amshughulikie nani wakati wote wanapaswa kushughulikiwa? Sijui kama ngamia aweza kumcheka ng'ombe nundu au kobe kumcheka kasa ikawa haki. Mama apendavyo machawa yanayojipendekeza na kumramba manonihino, huwajibika anapoguswa yeye tu.
 
Ukiwa kiongozi inabidi upime maneno kabla ya kutamka, inasikitisha Kwa kauli kama hiyo kutoka Kwa kiongozi mkubwa wa mkoa
 
Unashughuki

Unashughulikiaje masuala hayo ya msingi chini ya uongozi kama wa Chalamila. Huoni uhusiano uliopo kati ya uongozi wa hovyo na kukosekana kwa huduma za kijamii zikiwepo huduma za kiafya? Matatizo ya nchi za kiafrika yanatokana na uongozi mbovu. Hatua ya kwanza ya kukabiliana na matatizo yetu ni kuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi.
By all means, kumshughulikia Chalamila hakutaweza kutatatua changamoto za kiuchumi na huduma za afya zinazotukabili.
Tushughulikie masuala ya msingi.
 
Unashughuki

Unashughulikiaje masuala hayo ya msingi chini ya uongozi kama wa Chalamila. Huoni uhusiano uliopo kati ya uongozi wa hovyo na kukosekana kwa huduma za kijamii zikiwepo huduma za kiafya? Matatizo ya nchi za kiafrika yanatokana na uongozi mbovu. Hatua ya kwanza ya kukabiliana na matatizo yetu ni kuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi.
Selfishness ndio shida yetu kuu !
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Naunga mkono hoja, mwaka 2019, msikilize hapa anachowaambia polisi wa Mbeya,
View: https://youtu.be/DU2KYclh1l8, mimi nilisema kitu kumhusu mtu huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea? Humo nilisema
Wanabodi,

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea!.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a psychopath or a sadist!.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza to take its toll kwa ma psychopath kama hawa kwa kumshungulikia, mkumbuke kuna watu humu tulisema kabla.

Psychoanalysis ya ma psychopath, na ma sadist, kwa kadri anavyofanya sadism na kuachwa, ndivyo blood thirsty inavyozidi, hivyo atafanya tukio kubwa zaidi na zaidi ndipo watu watashituka!.

It's only a matter of time.

Paskali
Muda niliouzungumza hapo sasa unakaribia,
P
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Umeandika Mavi! Chalamila yuko saaana! Makonda mlipiga kelele weee yeye bado anadunda
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Amini amini nakwambieni hatofanya hivyo. Kwanza jana umesikia kampa maagizo mengine which means the man is here to stay.
Serikali iache kuwa inatangazia umma kuwa sijui huduma za kujifungua kwa wajawazito ni bure, elimu bure ili watu waache kuilaumu.
kuwatangazia wananchi elimu bure halafu baadaye uwageuke uanze haa yani ubebe mimba uje kujifungua bila ela ni ukigeugeu wa kiwango cha juu.
Kwa sababu hatujawahi kuambiwa kupata Air Tanzania ni bure, ndiyo maana hujawahi kusikia mtu kaenda kupanda pipa bure.
 
Wakili asiye na akili. Tuchangie huduma za matibabu siyo kujipendekeza kwa kigezo cha mama
Basi serikali iache kuwalaghai watu iwaambie ukweli kuwa elimu si bure, huduma si bure. Ila utawasikia majukwaani wakiwambia, tumefanikiwa kutoa elimu bure na huduma za kujifungua kwa mama wajawazito.
Wakisema si bure hakuna atakayelalamika maana anajua.
Wewe umewahi kusikia mtu anaenda kupata Air Tanzania bure? Ni kwa sababu serikali haijawahi kutangaza kuwa ni huduma ya bure.
Kosa ni serikali kusema uongo halafu iwageuke.
 
Naungana nawe ktk hoja ya kutaka kuwajibishwa kwa Chalamila si kwa kuwa mteule wake atakosa kura za wanawake asipomuwajibisha, bali ni kwa sababu huyu bwana amewakosea sana na kuwadhalilisha wanawake. Chalamila amedhihirika muda mrefu kuwa miongoni mwa viongozi (kama ana sifa ya kustahili kuitwa kiongozi) waropokaji wasiofikiri kabla ya kuongea. Huwa anaamini kuwa kuwa kwake RC kunamfanya awe na akili kuliko wote walio kwenye himaya yake. Nafikiri hata hivyo tatizo liko kwenye mfumo wetu “vetting”.
Acheni kutetea ujinga bwana , utatunzaje mimba miezi 9 huna hata 50k ya kujifungulia? Kwa mantiki hiyo ilibidi akijifungua tu huyo mtoto unyanganywe akatunzwe na jeshi
 
Acheni kutetea ujinga bwana , utatunzaje mimba miezi 9 huna hata 50k ya kujifungulia? Kwa mantiki hiyo ilibidi akijifungua tu huyo mtoto unyanganywe akatunzwe na jeshi
Nyie UWT hamnaga akili utadhani ni matajiri haswa kumbe ni wapiga mizinga kwenye maduka ya watu, unajua mtu kapitia changamoto gani baada ya kupata mimba?
 
Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.

Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.

Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.

Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*

Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.

Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.

Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.

Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.

Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.

Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.

Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.

Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.

Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.

Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.

Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.

Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Rais anaenda Zimbabwe
 
Nyie UWT hamnaga akili utadhani ni matajiri haswa kumbe ni wapiga mizinga kwenye maduka ya watu, unajua mtu kapitia changamoto gani baada ya kupata mimba?
Visingizio tu bwana , na ndio maana sisi nchi masikini tunaongoza sana kwa kuzaliana bila hata mpangilio ; unakuta mwanamke anasema aliambiwa dawa ya kuumwa kiuno ni kuzaa hivyo akazaa (kwa mentality za aina hii kuna kuoneana huruma kweli?)
 
Back
Top Bottom