Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Una hoja ya kijinga sn, kutunza mimba kunapitia mambo mengi sn + gharama kubwa, ndiyo maana mwanamke asipopata matunzo vizuri anakuja kuzaa machawa tupu kama nyie, watu wenye vipato vidogo wasizae?Visingizio tu bwana , na ndio maana sisi nchi masikini tunaongoza sana kwa kuzaliana bila hata mpangilio ; unakuta mwanamke anasema aliambiwa dawa ya kuumwa kiuno ni kuzaa hivyo akazaa (kwa mentality za aina hii kuna kuoneana huruma kweli?)
Kipato chako hakiruhusu kuzaa sasa unazaa ili iwaje?Una hoja ya kijinga sn, kutunza mimba kunapitia mambo mengi sn + gharama kubwa, ndiyo maana mwanamke asipopata matunzo vizuri anakuja kuzaa machawa tupu kama nyie, watu wenye vipato vidogo wasizae?
Wewe unatakiwa Mirembe haraka snKipato chako hakiruhusu kuzaa sasa unazaa ili iwaje?
Daaahjamaa umepiga spana ya kiume kabisa bila woga... Na upo verified na namba umeweka... wakipatikana kumi kama wewe trust me nchi itabadilika hii bila LISSU kuhusikaBashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.
Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.
Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.
Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.
Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*
Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.
Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.
Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.
Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.
Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.
Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.
Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.
Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.
Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.
Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.
Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.
Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Mirembe kwa kuuliza kama kipato hakiruhusu kuzaa unazaa ili iweje?Wewe unatakiwa Mirembe haraka sn
Kwamba watu wengi ni tatizo na siyo sera zenu mbovu za CCM? ufisadi na v8 zinashindikana nini kumhudumia mtanzania tena mlipa kodi?Mirembe kwa kuuliza kama kipato hakiruhusu kuzaa unazaa ili iweje?
Hivi mnajiulizaga kinachotofaitisha nchi zetu hizi na zile zilizoendelea?
Switzerland na Kenya miaka ya 60 huko zilikuwa na idadi ya Watu wanaolingana (~6 milioni), miaka 60 baadae Kenya ina watu zaidi ya 50 milioni wanaoishi kwenye ufukara uliotukuka wakati Switzerland ina watu ~7 milioni wanaishi maisha mazuri
Unadhani na huko kuna Watu wana zaa eti kisa viuno vinauma?
Watu wengi ni tatizo kubwa kuliko hata CCM yenyewe, hamna nchi hata moja ambayo Watu wake wanazaliana bila mpango na wakawa katika mazingira mazuriKwamba watu wengi ni tatizo na siyo sera zenu mbovu za CCM? ufisadi na v8 zinashindikana nini kumhudumia mtanzania tena mlipa kodi?
Tutafutie uweke ili kumprove wrong, hakuna contexts yeyote inayoweza kujustify upumbavu aliozungumza Chalamila.Life goes on, Chalamila kaelezea tafuta video nzima ya tukio husika kuelewa contexts nzima ya mkutano. Ili upate perspective yake hadi yeye hiyo kauli.
You canβt pick and choose aspects of speeches kuchafua watu. Wakati utaki kuona picha nzima ya nini hasa kilitokea hadi yeye kusema aliyosema.
Yaani wabongo mnapenda kumung'unyiwa maneno mpaka mnakera, yaani kusemwa tu juu ya mtu kwenda kujifungua hana hata senti mkononi ishakuwa nongwaTutafutie uweke ili kumprove wrong, hakuna contexts yeyote inayoweza kujustify upumbavu aliozungumza Chalamila.
Huwezi kumchafua mchafu Chalamila amekosea na awajibike kwa makosa yake, scenario ipi unayoweza kutumia kumtetea kwa maneno ya kipuuzi na udhalilishaji aliyosema? Clip ina zaidi ya dakika 5 unataka nini zaidi
Kama umeamua kuiweka mfukoni akili yako mimi ni nani nikulazimishe uitumie? Inawezekana kwa akili yako mja mzito kukosa 50,000/ ni kitu kidogo sawa na hela ya bia.Yaani wabongo mnapenda kumung'unyiwa maneno mpaka mnakera, yaani kusemwa tu juu ya mtu kwenda kujifungua hana hata senti mkononi ishakuwa nongwa
Alichowaambia Chalamila ni ukweli mkavu, eti kisa mwanasiasa fulani kakwambia kujifungua bure wewe na mkeo mnabebesha hilo tumbo bila hata senti mkononi mnajongea kituo cha afya afu eti bila hata aibu unataka mpaka glovu za kumshika mwanao zitoke kwa ufadhili? Hivi serikali ikisema ikunyang'anye hiyo mtoto imtunze yenyewe unapakulalamikia? Maana kumzaa tu umezaa kwa hisani, je hayo matunzo utaweza?Kama umeamua kuiweka mfukoni akili yako mimi ni nani nikulazimishe uitumie? Inawezekana kwa akili yako mja mzito kukosa 50,000/ ni kitu kidogo sawa na hela ya bia.
Ila mwananchi masikini ambaye anajua sera ya serikali inasemaje kuhusu wajawazito akitaka kupata ufafanuzi kwa kiongozi akajibiwa kipumbavu na kiongozi mpumbavu halafu unataka wote tuwe wapumbavu tukubaliane na upumbavu atashangaa sana kuishi kwenye jamii ya wapumbavu isiyojali thamani ya mjamzito.
Duu wameanza kumoana ππππBashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.
Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.
Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.
Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo ndani ya mchakato huu hasa hii ya mwisho ya kujifungua.
Fikiria unaenda hospitali hukuti vifaa. Fikiria unaomba ufafanuzi kwa kiongozi wako wa Mkoa halafu kiongozi huyo anakujibu hivi " TOKA NJE CHUKUA BAJAJI, NENDA ZAKO NYUMBANI KAMWAMBIE MUMEO ACHUKUE VISU NA MIKASI AKUSAIDIE KUJIFUNGUA"..*
Hata kama ingekuwa ni kweli kuwa mjamzito anatakiwa kujinunulia vifaa vya kujifungua, je hii ndio namna bora ya kiongozi kumjibu mama aliye katika uchungu wa kujifungua aliyeomba tu kupata ufafanuzi kutoka kwa kiongozi wake.
Je tumemuacha Chalamila aendelee kutamba kwasababu ni Mkuu wa Mkoa !!, vipi kama maneno haya yangetamkwa na Daktari wodini.
Mama, wanawake wa Tanzania wameghadhabishwa sana sana na maneno ya huyo mteule wako, na wanasubiri kuona ni hatua gani zinachukukiwa dhidi yake.
Uchaguzi ni mwaka huu na hakuna shaka unahitaji kura za wanawake ambao wengi wao ndio wapiga kura, chukua hatua mtu wa hovyo kama huyu asikuharibie.
Ikiwa upinzani utachukua ile Clip na kuzunguka nayo katika kampeni na kuwasikilizisha wanawake kila wanapoenda, na wakaambiwa kuwa mtu huyu kwa baraka za rais bado yuko ofisini, basi huenda ikabadili matokeo pakubwa.
Soma Pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani
Mama jitenge na Chalamila katika hili na namna ya kujitenga naye unaijua. Waoneshe wanawake wenzio ambao ni WAJIVUNI kwa kuwa kwako madarakani kama rais mwanamke mwenzao.
Mtu ambaye haheshimu Mama wa Kitanzania hawezi kukuheshimu na wewe pia kwasababu na wewe pia ni Mama kama huyo aliyemdhihaki.
Mtu ambaye haheshimu hata mchakato uliomleta duniani hawezi kuheshimu lolote. Kama mama yake Chalamila angejibiwa vile wakati akimzaa huenda leo asingekuwa duniani na asingekuwa Mkuu wa Mkoa.
Chalamila hawezi kujificha kwenye mkutano wa Nishati na ikapita bila kushughulikiwa.
Wakati dunia ikipambana kumuinua mwanamke bado tunao viongozi MAJUHA ambao hawajapata vizuri hii dhana.
Ukiacha maeneo muhimu ya kumuinua mwanamke kama Kumtua ndoo kichwani, nishati mbadala ya kupikia, haki katika umiliki mali, usawa katika nafasi za uongozi, usawa katika elimu, eneo jingine muhimu sana ni masuala ya UZAZI kwa mwanamke. Kiongozi anayeleta mzaha katika haya hawezi kuendelea kuwa kiongozi.
Mama JITENGE na Chalamila upate kura za wanawake.
Unashindwa kutumia kichwa chako vizuri unabaki na mihemko, ni upuuzi ukijiona una uwezo kutaka kuwadharau wasio na uwezo.Alichowaambia Chalamila ni ukweli mkavu, eti kisa mwanasiasa fulani kakwambia kujifungua bure wewe na mkeo mnabebesha hilo tumbo bila hata senti mkononi mnajongea kituo cha afya afu eti bila hata aibu unataka mpaka glovu za kumshika mwanao zitoke kwa ufadhili? Hivi serikali ikisema ikunyang'anye hiyo mtoto imtunze yenyewe unapakulalamikia? Maana kumzaa tu umezaa kwa hisani, je hayo matunzo utaweza?
Nchi ina Watu milioni 60 lakini wanaochangia katika mfuko wa bima wa taifa hawazidi milioni 5, mnataka hao milioni 5 ndoo wachangie hao wengine wajifungue? Ni mentality hii hii ndio mmeipeleka kwenye ARV; zinaa ufanye wewe na ukimwi uukwae wewe ila kwenye matibabu unataka uhusike mpaka msaada wa Watu wa Marekani , kweli?!!
Kwa mentality hizi hizi ndio maana kuna mdau aliwahi sema nchi ina Watu milioni 60 ila usishangae kati ya hao ni milioni 10 - 15 wenye mchango wa moja kwa moja kwenye pato la taifa (yaani Watu milioni 40+ ilibidi hata kukanyaga barabara za lami wasikanyage)