Rais Samia mpandishe cheo shujaa wetu wa leo

Rais Samia mpandishe cheo shujaa wetu wa leo

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
 
Nimemshihudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliuethubutu kusogea in a close range na krisk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili

Yule kijana amahimili risasi ya gaidi...na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Mkuu hebu nenda straight kwenye point binafsi sijakuelewa unachomaanisha hasa.
 
IMG_20210825_210823_360.JPG
 
Nimemshihudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliuethubutu kusogea in a close range na krisk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili

Yule kijana amahimili risasi ya gaidi...na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
His only problem was to underestimate the power shooting range of the shooter! Only one bullet of the shooter caused serious injuries to our dear policeman
 
Back
Top Bottom