jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him