Rais Samia mpandishe cheo shujaa wetu wa leo

Rais Samia mpandishe cheo shujaa wetu wa leo

Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Labda kama hakuwa kwenye syndicate
 
Hiyo English ya Lumumba
Tayari umeshapata likes 12 ndani ya muda mfupi kwa kuleta post tupu tu, ajabu ni kuwa aliyeleta post yenye 'madini' mpaka sasa ana likes 8 tu. Haki ya Mwenyezi Mungu hii bongo hiii....dah!!! Hapa ni jf, sipati picha huko mtaani. Ngoja niitafute tena ile thread inayolalamika wabongo kuwa na vidhihaka vilivyopitiliza muda wote hata kwa mambo ya msingi kiasi kwmb wakubwa wanapata nafasi ya kjifanyia yao wapendavyo!
 
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him

acha ujinga yani unamsifu polisi aliyeuwa raia mwema
 
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
He puts his life at risk unnecessarily. Harudishwe shule na hasa azingatie somo la risk assessment!!
 
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of himView attachment 1908528
Huyu amefundishwa wapi kufanya mambo kizembe hivi? Kama unajua ilipo target, huna haja ya kujipeleka kirahisi hivyo bila kujua ni aina gani ya silaha dhidi yako. Huyu ana bahati. Angekumbana na mjuzi angekuwa marehemu na si majeruhi. Hakuna haja ya kumpandisha cheo bali kumpunguza kwani ni mzembe tu.
 
Inasemakana kidogo auawe na askari wenzao wakidhani ni Jambazi naye..
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.

Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.

Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of himView attachment 1908528
 
Back
Top Bottom