tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Hata mimiTamaa yangu ni kumjua Hamza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimiTamaa yangu ni kumjua Hamza
We are doomedyes..very rare
Labda kama hakuwa kwenye syndicateNimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Tayari umeshapata likes 12 ndani ya muda mfupi kwa kuleta post tupu tu, ajabu ni kuwa aliyeleta post yenye 'madini' mpaka sasa ana likes 8 tu. Haki ya Mwenyezi Mungu hii bongo hiii....dah!!! Hapa ni jf, sipati picha huko mtaani. Ngoja niitafute tena ile thread inayolalamika wabongo kuwa na vidhihaka vilivyopitiliza muda wote hata kwa mambo ya msingi kiasi kwmb wakubwa wanapata nafasi ya kjifanyia yao wapendavyo!Hiyo English ya Lumumba
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Hiyo English ya Lumumba
Feki[emoji1540] na halisi[emoji1541]View attachment 1908339
Gaidi afi kizembe vileJamaa kapigwa kizembe sana.. atakua mpenda sifa na kuoanda cheo fasta fasta
Tuwekeeni video sasa!His only problem was to underestimate the power shooting range of the shooter! Only one bullet of the shooter caused serious injuries to our dear policeman
He puts his life at risk unnecessarily. Harudishwe shule na hasa azingatie somo la risk assessment!!Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
He puts his life at risk unnecessarily. Harudishwe shule na hasa azingatie somo la risk assessment!!
Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Huyu amefundishwa wapi kufanya mambo kizembe hivi? Kama unajua ilipo target, huna haja ya kujipeleka kirahisi hivyo bila kujua ni aina gani ya silaha dhidi yako. Huyu ana bahati. Angekumbana na mjuzi angekuwa marehemu na si majeruhi. Hakuna haja ya kumpandisha cheo bali kumpunguza kwani ni mzembe tu.Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of himView attachment 1908528
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of himView attachment 1908528