Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ni kada full stopTamaa yangu ni kumjua Hamza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kada full stopTamaa yangu ni kumjua Hamza
Kijana wa Chama na serikali kaua vyombo vya dola.Kumbe ni mwenzetuView attachment 1908289View attachment 1908290
Kuna jamaa alimtandika risasi kama 3 hivi za matako hahaha, atakuwa mende yule jamaa
Ni uvccmTamaa yangu ni kumjua Hamza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa akataka kua man of the match kumbe gaidi ana mchora tuKapewa za tumbo ahera inamuita
Comrade is downunanitafuta ?
Bado. Nataka kujua personality ya huyu mwambaNi kada full stop
So it is enemy within eh?!Comrade is downView attachment 1908336
Inasemekana ni busnesman, wanasema alikua anaenda kuuza vito vya thamani akashikwa na polisi wakamnyanyasa ndiyo yakawa haya yaliyokua,Bado. Nataka kujua personality ya huyu mwamba
Mmh hajafa? Mbona wanasema kafa?
Hivi miji yetu ina CCTV cameras? Maana niliona raia wakiwa busy ku record matukio nikawaza na hili la CCTV zipo kama nchi nyingine tunavyoona kwenye movie?
Nimemshuhudia kijana askari akiwa kwenye vazi la kiraia aliyethubutu kusogea in a close range na ku-risk maisha yake katika kukabiliana na gaidi hili.
Yule kijana anahimili risasi ya gaidi na aliendelea kuwa active hadi mwisho.
Those are rare soldiers we have as Tanzanians ...we are proud of him
Itakuwa anaendaga kwa kina Mshana fake akapewa hirizi kuwa risasi zitadunda kupelekea kujiamini kwake. All in all amethubutu, hongera kwake.His only problem was to underestimate the power shooting range of the shooter! Only one bullet of the shooter caused serious injuries to our dear policeman
Kwa ivo anastahili kushushwa cheo ama kunyang'anywa ranks zake amaJamaa kapigwa kizembe sana.. atakua mpenda sifa na kuoanda cheo fasta fasta