Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaye huyo!Polepole endeleza kukoleza kuni mbichi kwenye tanuru - bado wanaibuka !!
Heri hata hicho cha ubunge awaachie wenye uaminifu kwa mama.Life is not that serious
89% ya Viongozi waliopo madarakani ni wachumia tumbo,,, wakitoka ndio wanachumia akili...
Hata polepole kesho akipewa cheo hatasema lolote kati ya haya anayosema leo...
Trust noBody
We ni bwege na mchumia tumbo km wapuuzi wenzio tu,kichwa kimejaa elimu vyetiWakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kuna kukosoa na kupotosha. Polepole hakusoi bali anapotosha watu kwa makusudi.Kwa CCM kukosoa ni issue ya kutumbuliwa, nchi ya watu milioni 60 hatuwezi kuwa na mawazo sawa acheni watu waongee
Kwa akili zako unataka tuwe na taifa la kunyamazisha wananchi wake!. Wasomi aina yenu ndiyo wameleta unafiki serikalini na kwenye chama. AIBU SANAHeri hata hicho cha ubunge awaachie wenye uaminifu kwa mama.
Ona aibu,Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Pole pole kama mbunge na kada anajua vyema anaweza wapi kuongea alichoongea bila kuleta tafrani.Kwa akili zako unataka tuwe na taifa la kunyamazisha wananchi wake!. Wasomi aina yenu ndiyo wameleta unafiki serikalini na kwenye chama. AIBU SANA
Labda kamba yake fupiUnahisi mijadala ya polepole itawazuia kula kwa urefu wa kamba zenu?
Mabwege haswa ni wale wasioujua unafiki wa mtu aliyesifia ma V8 , halafu leo anatetea eti wananchi.We ni bwege na mchumia tumbo km wapuuzi wenzio tu,kichwa kimejaa elimu vyeti
Hakuna awamu ya 6, ni kiporo cha awamu ya 5Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Awamu ya 5 iko Chato, 6 feet under!Hakuna awamu ya 6, ni kiporo cha awamu ya 5
Kasome katiba ndiyo utaelewa
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Na nyie mnabana demokrasia?!!!Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kasome katiba, au na wewe ni kipofu kama mama yenuAwamu ya 5 iko Chato, 6 feet under!
Mama tu hana nia ya kumuua Nyati.supu ingeshanywewa kitambo.Kama Mtoa mada anamuomba huyu jamaa anaye pambana na nyati kwa staili hii, basi atakuwa anapoteza tu muda wake.
We ndio uikariri katiba iliyo kaburini.Kasome katiba, au na wewe ni kipofu kama mama yenu
Aanzishe chama chake cha ma VIEITE!Na nyie mnabana demokrasia?!!!