masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #141
You are dreaming!Polepole sio role model wangu,lakini I appreciate his views and intelligence.
Tatizo ni kwamba wana CCM wengi ni wachumia tumbo,who climbed the ladder of leadership kiharamia using illicit means and money.Kwa hiyo anybody against their ways ni adui.Kiukweli kwa mtu intelligent and truthful,CCM is not the place to be.I wish Magufuli was around to clean the mess.Ni upigaji tu uliotawala.Mambo haramu haramu tu ndiyo wanayopendezwa nayo,aibu sana.
Beutuful dreams za political gangsters unao wahusudu.
Uliza kwa waliokuwa karibu na Magufuli, 1.5 trillion zilienda wapi.
Na uwe mkweli kwenye nafsi yako kwa majibu utakayopata, we were dealing with criminals!
Role model wako, Polepole, kakupa lifti kwenye Vieite la chama.
Si bure.
I insist the guy is a hypocritical moron.