Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Tunaye huyo!
Avatar yako inataka kufanana na jamaa fulani mnafiki ambaye alituhimiza tukabili korona kwa herd immunity laki baada ya taifa kukumbwa na janga akageuka na kuanza kutuma picha mtandao amevaa singilendi akionyesha kuchoma JJ!

Kwa hiyo sishangai saana kuleta uzi huu.
 
CCM ni yenu wewe masopakyindi na nani?

Acheni kuwaza majungu badala ya kufanya mambo ya msingi kwenye familia zenu.

Polepole tunamjua amesimamia ukweli na amekataa kuimba mapambio.

Fukuza fukuza haijengi chama bali kuzidisha migogoro.

Chama hiki hata Samia sio mali yake.

Wewe kama una shida ya kumuunga mkono Samia,hamia kwao zanzibar kule Jambiani kwa dada yake alie mkuza ili umsaidie kuosha wajukuu.

Eti CCM yetu?

Muwe na chembe za aibu hata ya kuwasitiri kidogo
Wajinga ninyi, wakati CCM inabakwa na ninyi mlihusika.
Wananunuliwa wapinzani kwa rushwa mko kimya!
Mtuhumiwa wa hiko kituko ni huyo mshamba wa ma Vieite.

Sasa amekuwa mtetezi wenu wanafiki ninyi mliokuwa mnateka, mnapora, mnabambika kesi za uhujumu.
Leo kibao kimegeuka, kama mzee wa ma vieite alikupa lifti, basi mmedoda.
 
Rais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Ufafanuzi kuhusu nini,aliweka wazi suala hilo vizuri kabisa,ni uzuzu wenu ndio unawasumbua

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wajinga ninyi, wakati CCM inabakwa na ninyi mlihusika.
Wananunuliwa wapinzani kwa rushwa mko kimya!
Mtuhumiwa wa hiko kituko ni huyo mshamba wa ma Vieite.

Sasa amekuwa mtetezi wenu wanafiki ninyi mliokuwa mnateka, mnapora, mnabambika kesi za uhujumu.
Leo kibao kimegeuka, kama mzee wa ma vieite alikupa lifti, basi mmedoda.
Wapumbavu nyinyi mnaokaa mkiropoka wimbo wa ununuzi wa wapinzani kila uchao huku mkiwa hamna ushahidi.

Mnatuhumu watu mitandaoni bila ushahidi.

Serikali imempeleka Mbowe mahakamani sababu inao ushahidi wa kutosha.

Na nyinyi kama mnao ushahidi mbona hamuendi mahakamani?

Acha u-shwine wako mitandaoni.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Nyinyi ndo mnaosabisha umasikini tz
 
Wapumbavu nyinyi mnaokaa mkiropoka wimbo wa ununuzi wa wapinzani kila uchao huku mkiwa hamna ushahidi.

Mnatuhumu watu mitandaoni bila ushahidi.

Serikali imempeleka Mbowe mahakamani sababu inao ushahidi wa kutosha.

Na nyinyi kama mnao ushahidi mbona hamuendi mahakamani?

Acha u-shwine wako mitandaoni.
Imekula kwako, hela ya bure haipo tena.
Mama Mkombozi, mliishi kwa hela za wanaume wenzenu, kuleni jeuri zenu.
Aliyesifia ma Vieite sasa analijua bomba la daladala!
 
Rais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Polepole hakuteuliwa na SSH bali aliteuliwa na JPM ( I do stand to be corrected )

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Ulielewa vyema maana ya mtu kula urefu wa kamba yake?Maana yake ni 'kupiga' ndivyo inavyoeleweka mtaani.Sasa mtu wa ngazi ya Rais anatakiwa kuwa na hekima ya kuweza kupima kauli zake ili zisilete utata kwenye jamii.Hii inaonyesha kwamba Samia amepungua.

Mwisho,Polepole is among the very few intelligent CCM members.Sasa kwa kuwa CCM members wengi ni mazuzu,si rahisi Polepole kukubalika ndani ya CCM.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Mbona sote tulimsikia Samia akitamka maneno hayo na tafsiri yake ni kwamba kawaruhusu Mawaziri kuiba ila wasizidishe na wasiingiliane katika maeneo yao, tatizo kwa Polepole ni lipi hapo?
 
Rais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Mbaya zaidi hata hao viongozi wanaojiita wa Vyama vya Siasa wamekaa kimya bila kuikosoa kauli ya Samia
 
Ulielewa vyema maana ya mtu kula urefu wa kamba yake?Maana yake ni 'kupiga' ndivyo inavyoeleweka mtaani.Sasa mtu wa ngazi ya Rais anatakiwa kuwa na hekima ya kuweza kupima kauli zake ili zisilete utata kwenye jamii.Hii inaonyesha kwamba Samia amepungua.

Mwisho,Polepole is among the very few intelligent CCM members.Sasa kwa kuwa CCM members wengi ni mazuzu,si rahisi Polepole kukubalika ndani ya CCM.
Kana intelligence ya ma Vieite anayohusudu huyo mtu wenu na ndicho mnachoki admire, basi hamjijui kuwa tatizo lenu ni kubwa kiasi gani.
If a moron is your role model, pole tu!
 
Tatizo la ccm na serikali yake hawataki kuambiwa ukweli hata mara moja!
Wanataka maneno ya kusifiwa hata kwenye uozo, haiwezekani na wanadamu wa leo sio wa juzi wa hewala bwana!
Turuhusu kusikia mawazo ya wengine kama njia ya kujisahihisa na kujijua!
 
Kana intelligence ya ma Vieite anayohusudu huyo mtu wenu na ndicho mnachoki admire, basi hamjijui kuwa tatizo lenu ni kubwa kiasi gani.
If a moron is your role model, pole tu!
Polepole sio role model wangu,lakini I appreciate his views and intelligence.

Tatizo ni kwamba wana CCM wengi ni wachumia tumbo,who climbed the ladder of leadership kiharamia using illicit means and money.Kwa hiyo anybody against their ways ni adui.Kiukweli kwa mtu intelligent and truthful,CCM is not the place to be.I wish Magufuli was around to clean the mess.Ni upigaji tu uliotawala.Mambo haramu haramu tu ndiyo wanayopendezwa nayo,aibu sana.
 
Back
Top Bottom