masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #121
Msiojulikana sasa njaa kali.Wewe ni kilaza, huna hoja kaa kimya
Mlizoea vya dhuluma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiojulikana sasa njaa kali.Wewe ni kilaza, huna hoja kaa kimya
1.5 Trillioni iko wapi?Kuna sehemu unakwepa kodi kwa furaha ya mama sio?
Hakuna shida hiyo ni janja yako bali waache wanao kuruhusu ukwepe hiyo kodi yatakapowakuta.
Avatar yako inataka kufanana na jamaa fulani mnafiki ambaye alituhimiza tukabili korona kwa herd immunity laki baada ya taifa kukumbwa na janga akageuka na kuanza kutuma picha mtandao amevaa singilendi akionyesha kuchoma JJ!Tunaye huyo!
Wajinga ninyi, wakati CCM inabakwa na ninyi mlihusika.CCM ni yenu wewe masopakyindi na nani?
Acheni kuwaza majungu badala ya kufanya mambo ya msingi kwenye familia zenu.
Polepole tunamjua amesimamia ukweli na amekataa kuimba mapambio.
Fukuza fukuza haijengi chama bali kuzidisha migogoro.
Chama hiki hata Samia sio mali yake.
Wewe kama una shida ya kumuunga mkono Samia,hamia kwao zanzibar kule Jambiani kwa dada yake alie mkuza ili umsaidie kuosha wajukuu.
Eti CCM yetu?
Muwe na chembe za aibu hata ya kuwasitiri kidogo
Ufafanuzi kuhusu nini,aliweka wazi suala hilo vizuri kabisa,ni uzuzu wenu ndio unawasumbuaRais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Huyo Polepole ni pusi tu CCM. Tupo wanachama waasisi.
Wenye hasira ni ninyi, wanyonge sasa, mliotemwa.Daqa yenu ni 2025 ndo mtajua watu wana raha au wana hasira?
Wapumbavu nyinyi mnaokaa mkiropoka wimbo wa ununuzi wa wapinzani kila uchao huku mkiwa hamna ushahidi.Wajinga ninyi, wakati CCM inabakwa na ninyi mlihusika.
Wananunuliwa wapinzani kwa rushwa mko kimya!
Mtuhumiwa wa hiko kituko ni huyo mshamba wa ma Vieite.
Sasa amekuwa mtetezi wenu wanafiki ninyi mliokuwa mnateka, mnapora, mnabambika kesi za uhujumu.
Leo kibao kimegeuka, kama mzee wa ma vieite alikupa lifti, basi mmedoda.
Nyinyi ndo mnaosabisha umasikini tzWakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Imekula kwako, hela ya bure haipo tena.Wapumbavu nyinyi mnaokaa mkiropoka wimbo wa ununuzi wa wapinzani kila uchao huku mkiwa hamna ushahidi.
Mnatuhumu watu mitandaoni bila ushahidi.
Serikali imempeleka Mbowe mahakamani sababu inao ushahidi wa kutosha.
Na nyinyi kama mnao ushahidi mbona hamuendi mahakamani?
Acha u-shwine wako mitandaoni.
Polepole hakuteuliwa na SSH bali aliteuliwa na JPM ( I do stand to be corrected )Rais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Mimi mtoto wa fisadi hata marehemu wenu alikuwa ndiye fisadi kupita woteWeWe ni mtoto wa fisadi ndio maana unamaadili,bado unaoambatana na marehemu
Ulielewa vyema maana ya mtu kula urefu wa kamba yake?Maana yake ni 'kupiga' ndivyo inavyoeleweka mtaani.Sasa mtu wa ngazi ya Rais anatakiwa kuwa na hekima ya kuweza kupima kauli zake ili zisilete utata kwenye jamii.Hii inaonyesha kwamba Samia amepungua.Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Mbona sote tulimsikia Samia akitamka maneno hayo na tafsiri yake ni kwamba kawaruhusu Mawaziri kuiba ila wasizidishe na wasiingiliane katika maeneo yao, tatizo kwa Polepole ni lipi hapo?Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Mbaya zaidi hata hao viongozi wanaojiita wa Vyama vya Siasa wamekaa kimya bila kuikosoa kauli ya SamiaRais atolee ufafanuzi kauli yake, kw sababu ni wiki ya pili sasa hyo kauli imeleta utata na hakuna aliyeisemea, ni upumbavu mkubwa kumlaumu Polepole, kwa kauli ambayo ni mda sasa imeleta utata
Kana intelligence ya ma Vieite anayohusudu huyo mtu wenu na ndicho mnachoki admire, basi hamjijui kuwa tatizo lenu ni kubwa kiasi gani.Ulielewa vyema maana ya mtu kula urefu wa kamba yake?Maana yake ni 'kupiga' ndivyo inavyoeleweka mtaani.Sasa mtu wa ngazi ya Rais anatakiwa kuwa na hekima ya kuweza kupima kauli zake ili zisilete utata kwenye jamii.Hii inaonyesha kwamba Samia amepungua.
Mwisho,Polepole is among the very few intelligent CCM members.Sasa kwa kuwa CCM members wengi ni mazuzu,si rahisi Polepole kukubalika ndani ya CCM.
Mimi ni CCMCCM yote ni takataka tupu
Polepole sio role model wangu,lakini I appreciate his views and intelligence.Kana intelligence ya ma Vieite anayohusudu huyo mtu wenu na ndicho mnachoki admire, basi hamjijui kuwa tatizo lenu ni kubwa kiasi gani.
If a moron is your role model, pole tu!