Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
CCM yote ni takataka tupu
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Upumbavu na ujinga wa hali ya juu kwa mtu kuanza kufikiri kuwa kukosoa ni usaliti au matusi.

Hii tabia imeota mizizi sana kwa jamii ya wanaccm mbumbumbu...HAKUNA KOSA KUMKOSOA RAIS,acheni ujinga uliopitiliza!
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Acha kujaribu kumtetea mama. Mbona iko wazi kabisa. Kabariki ulaji hela ya umma. Badala ya kumnanga polepole mshaurini huyo mama aachie ngazi maana kakiuka kiapo cha urais.
Hakika angetoa kauli kama hiyo chancelor wa ujerumani au waziri mkuu wa uingereza wangeshalazimishwa kujiuzulu.
 
Na wewe sifa unazofanya kwa sasa huo ushamba unautoa wapi au wewe ni chawa wa mama na kazi yako ni kusifia tu?
Nyani haoni kundure sasa ni zamu yako

Nasikia sasa mnajipimia na kuvimbiwa tu ndio maana zimewatoka akili mnasigia hadi kinyesi chake.
Kuvimbiwa ni lazima maana tunafanya kazi halali za kipato kizuri tu.
Hatutegemei kodi za dhuluma , hakuna watekaji, hakuna kubambikwa kesi uhujumu.
Kwa nini tusinanepe?

Tatizo liko kwenu mliokuwa mnatumwa kuiba kule Arusha kwenye Bureu De Change, kupora wafanya biashara, na sasa mna magari mazuri liyonunua kwa hela za kupora lakini mwaweka mafuta ya buku tatu kukufikisha nyumbani.
Mama Samia oyee!
 
Upumbavu na ujinga wa hali ya juu kwa mtu kuanza kufikiri kuwa kukosoa ni usaliti au matusi.

Hii tabia imeota mizizi sana kwa jamii ya wanaccm mbumbumbu...HAKUNA KOSA KUMKOSOA RAIS,acheni ujinga uliopitiliza!
Upumbavu zaidi ni ule unafiki mliposhindwa kumkosoa muuaji yule.
Lenu moja!
 
Ninachojua ipo siku utabadilika tu baada ya kuondolewa kwenye hiyo nafasi na utaanza kumnanga huyo mama.
Enzi ya magufuli kuna watu walikua wanamshangilia humu ila ghafla unakuta wana anza kumpinga, kumbe ni baada ya dhahama la kutumbuliwa ndo linawabadilisha.
Kwa hiyi na ninyi ni swala la muda tu.
Mkuu mimi nakula kwa urefu wa kamba yangu, nimejiajiri na sijaaajiriwa popote, ukitaka kuniajiri unanirefushia kamba ya kula.
Sasa na wewe jitengenezee kamba yako ule kwa nafasi yako.
 
Mi naona wamwache na ubunge wake ilu awe na ukomo wa kauli zake maana wakimtumbua tuu akawa free atawavua nguo mchana kweupe labda wammalize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo Kwenye Chama chenu kumkosoa Mwenyekiti wenu,niDhambi? Mnasubiri afe ndiyo mseme alikosea kuruhusu Viongozi wake waandamizi wale kwa Urefu wa kamba yake.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
kwahio hii nchi kila mtu hana uhuru wa kutoa mawazo yake? kika mtu hana uhuru wa kusimamia kitu anachokiamini?
 
Huyo mama yako hakoseagi ama?? Akikosea ndo hao wanaibuka kumsahihisha.

Kumpiga chini kisa kakosolewa huo ni udikteta .
 
We fala nini, tafuta mada nashabikia CHADEMA!
CCM ni yenu wewe masopakyindi na nani?

Acheni kuwaza majungu badala ya kufanya mambo ya msingi kwenye familia zenu.

Polepole tunamjua amesimamia ukweli na amekataa kuimba mapambio.

Fukuza fukuza haijengi chama bali kuzidisha migogoro.

Chama hiki hata Samia sio mali yake.

Wewe kama una shida ya kumuunga mkono Samia,hamia kwao zanzibar kule Jambiani kwa dada yake alie mkuza ili umsaidie kuosha wajukuu.

Eti CCM yetu?

Muwe na chembe za aibu hata ya kuwasitiri kidogo
 
Kuvimbiwa ni lazima maana tunafanya kazi halali za kipato kizuri tu.
Hatutegemei kodi za dhuluma , hakuna watekaji, hakuna kubambikwa kesi uhujumu.
Kwa nini tusinanepe?

Tatizo liko kwenu mliokuwa mnatumwa kuiba kule Arusha kwenye Bureu De Change, kupora wafanya biashara, na sasa mna magari mazuri liyonunua kwa hela za kupora lakini mwaweka mafuta ya buku tatu kukufikisha nyumbani.
Mama Samia oyee!
Daqa yenu ni 2025 ndo mtajua watu wana raha au wana hasira?
 
Mkuu mimi nakula kwa urefu wa kamba yangu, nimejiajiri na sijaaajiriwa popote, ukitaka kuniajiri unanirefushia kamba ya kula.
Sasa na wewe jitengenezee kamba yako ule kwa nafasi yako.
Kuna sehemu unakwepa kodi kwa furaha ya mama sio?
Hakuna shida hiyo ni janja yako bali waache wanao kuruhusu ukwepe hiyo kodi yatakapowakuta.
 
Back
Top Bottom