Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Inaonyesha ni jinsi gani uelewa wako ulivyo mdogo. Kwanza mama Samia siye aliyemteua Ubunge Polepole. Polepole aliteuliwa na Magufuli.

Kuhusu hilo la "kula kwa urefu wa kamba yako ...." hata kama wanaCCM mtakuwa mmeielewa tofauti hilo halibadili maana halisi ya alichokisema. Uzuri alitoa pia mifano ya malipo kwenye meli na ujenzi wa barabara unavyokuwa compromised .....!!

Kumuondoa Polepole ni sawa kwa kuwa ni KIROBOTO ndani ya CCM na ana uchungu ila anachokisema ni kweli .... Maza kachemka na kaonyesha msimamo wake wazi kuhusu anavyoamini kuhusu RUSWA.
Ni kweli Polepole aliteuliwa na Magufuli, na hilo ni mbaya zaidi, mbaya kwa sababu Polepole anafikiri yupo pale kumwimbia sifa na utukufu Mafufuli.
Wakati wa Awamu ya 5, kama msemaji wa chama, wala hakuona upotevu wa 1.5 tril.
Kama msemaji wa chama cha wanyonge hakusikia ubambikaji wa kesi za uhujumu, wala hakusikia kutekwa kina Mo na Rima Mkatoliki.
Lissu alipopigwa risasi na mtu wenu watu wenye roho safi wslistuka sana, hata Mama Samia alienda kumuona hospitali.
Lakini chama, kimyaa!

Sasa mshamba huyu alisifia utamu wa ma V8, halafu leo kaoata mdomo wa kuongelea masuala yaliyimzidi uwezo wa kufikiri.
NEVER!
 
Baadhi ya watu wanampinga Polepole kisa tu yeye hakutoka hadharani kupinga yaliyokua yanafanyika kipindi cha Magu,wanasahau kua kukaa jwake kimya kipindi kile,hakuhalalishi eti mabaya ya kipindi hiki kuendelelea kufanyika pasipo kukemewa na yeye au yeyote anayeona mambo hayaendi sawia.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Huyu Pole pole ni muharifu kama Sabaya tu. Ndio aliongoza campaign za kuwanunua waunga mkono. Na walilipa pesa nyingi sana na yeye akawa mpigaji humohumo.

Hebu fikiria mtu kama Waitara ndio wa kununua 600m au akina Mwambe, Kuchauka nk?

Afunguliwe mashitaka
 
Kwa CCM kukosoa ni issue ya kutumbuliwa, nchi ya watu milioni 60 hatuwezi kuwa na mawazo sawa acheni watu waongee
Hata mkiwa watu 10 ku differ ni chachu ya mjadala
[emoji106][emoji1666][emoji122]
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Upinzani umezaliwa ndani ya ccm
 
Huyu Pole pole ni muharifu kama Sabaya tu. Ndio aliongoza campaign za kuwanunua waunga mkono. Na walilipa pesa nyingi sana na yeye akawa mpigaji humohumo.

Hebu fikiria mtu kama Waitara ndio wa kununua 600m au akina Mwambe, Kuchauka nk?

Afunguliwe mashitaka
Kweli kabisa, Polepole is a spineless criminal.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Mtoa mada apigwe chini Kwa kosa lipi wao kama serikali kama waliona maneno hayo Yana ukakasi wangejibu mapema kuondoa hii Hali na Jana msemaji wa serikali alikua Hana habari hii na mtuache tulivyoelewa ndio hivyohivyo tumeelewa
 
Baadhi ya watu wanampinga Polepole kisa tu yeye hakutoka hadharani kupinga yaliyokua yanafanyika kipindi cha Magu,wanasahau kua kukaa jwake kimya kipindi kile,hakuhalalishi eti mabaya ya kipindi hiki kuendelelea kufanyika pasipo kukemewa na yeye au yeyote anayeona mambo hayaendi sawia.
Kwa hiyi unasema unafiki katika siasa ni poa tu!
 
maso pa kyindi tumvumilie tu Polepole kwa kuwa anatumia uhuru wa maoni ulioruhusiwa na Rais SSH mwenyewe alipopokea madaraka ya kuongoza Nchi baada ya yule Dikteta kufariki na kuzikwa Chato.

Watanzania hatukuzoea kunyimwa haki ya kujieleza kama alivyoiminya Mwendazake Magufuli
Ulitaka Uhuru upi bwashee,?ule Uhuru wa kutukana na kuwaita watu mafisadi wakiwa ccm,uku wakija upande wa pili wanakuwa wakombozi; maana kama Uhuru wa kutukana nilikuwa naona hapa jamii foram,kila siku mlikuwa mnatukana mpaka Magufuri akatamani malaika wangeshuka wakazima hii mitandao.
 
Pole pole ubunge ataukosa mda sio mrefu..inatakiwa ajifunze kwa bashiru..
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.


Wananchi sisi tulielewa mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao na waangalie wasivimbiwe
 
Kwahio yoyote mwenye kauli mbadala apigwe chini ?

Sio kwamba nasema polepole ana hoja za nguvu lakini sio vema kuzima hoja kwa kutumia nguvu....

Na wewe kama mwananchi unaona sawa kabisa mtu apigwe chini sababu ya mawazo yake (kesho ukipigwa wewe chini sababu kama hio je?); Unaona tunaweza kujenga nchi kwa kupigana chini ? Huoni kwamba njia sahihi ni kuonyesha uduni wa hilo lisemwalo na sio kuzibana midomo?
Huwa wanawatukana hata wazee wale ambao wanakosoa hata kama ni constructive criticism, Mimi sijajua mpaka Leo kwamba huwa wanatumwa na wakubwa wao au huwa wanajiamulia tu ili kujipendekeza ?!!!
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kiukweli nashangaa mwenyekiti wetu wa chama kwanini hawamvui uanachama huyu mnafiki Polepole
 
Kwa CCM kukosoa ni issue ya kutumbuliwa, nchi ya watu milioni 60 hatuwezi kuwa na mawazo sawa acheni watu waongee
Polepole ni kirusi ndani ya CCM, inatakiwa afukuzwe aende akawe mpinzani rasmi kenge huyo
 
Back
Top Bottom