Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Ingawa naelewa kwa dhati kabisa Polepole ni mnafiki aliyetukuka lakini hii haki yake ya kutoa maoni haiwezi kupokwa kwa namna yeyote kwani ni haki ya kikatiba na ndivyo CCM ilivyowajenga vijana wake kuwa na fikra tunduizi pasina kusahau kuhoji hojaji zenye hoja.

Au nasema uongo ndugu yangu johnthebaptist ?
Mkuu polepole Ni kiongozi, anajua maana ya uongozi, anajua MAADILI ya uongozi, anajua miiko, nin aseme wapi kwa wakati upi,

Hyu polepole kunawatu wanataka awe sawa wakati wote haiwezekani, kunawakati anazungumza akiwa nje ya mfumo hyo Ni polepole mwingine, akiwa Kama katib mwenezi hyo Ni mwingine na wa Sasa nae Ni mwingine, maana ya MAADILI ndo hyo, ila uzuri Ni 1 hajawahi kutoka nje ya MAADILI ya uongozi,

Ikiwa tu mtu anaajiriwa anabadilika na kuwa mwingine, na cku akiacha kzi anakuwa mwingie polepole Ni Nan??

Kila mtu anaunafiki wake, Sasa inategemea huo unaaa upoje we chunguza kuanzia ganzi ya juu ya taifa mpka familia, ila watu wanajitoa ufaham kwa kuwaona wenzao kuwa Ni wanaa zaidiii
 
foram,kila siku mlikuwa mnatukana mpaka Magufuri akatamani malaika wangeshuka wakazima hii mitandao.
Na bado tunamtukana, hatupoi kabisa. Shetani mkubwa alitaka kutuharibia nchi. Muache aendelee kuoza huko Chato
 
Alipokuwa anakula ugali yeye alikuwa anasifia utamu wa ma VIETE tu!
Aende bench na asifie viti vya daladala!
Wakati anatembea na V8 haikuwa nafasi yake kuhoji, sababu yeye ni sehemu ya utawala, hivyo walio nje walipaswa kuhoji, Ila Sasa yeye si sehemu ya utawala hivyo ni nafasi yake kuhoji
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Hicho kiroboto kinafaa kitumbuliwe
 
Baadhi ya watu wanampinga Polepole kisa tu yeye hakutoka hadharani kupinga yaliyokua yanafanyika kipindi cha Magu,wanasahau kua kukaa jwake kimya kipindi kile,hakuhalalishi eti mabaya ya kipindi hiki kuendelelea kufanyika pasipo kukemewa na yeye au yeyote anayeona mambo hayaendi sawia.
Uko sahihi ndugu, na mfano huo ni sawa na kumhoji Mama anapata wapi uhalali wa kufanya anayofanya Sasa wakati enzi zile alikaa kimya
 
Mkuu polepole Ni kiongozi, anajua maana ya uongozi, anajua MAADILI ya uongozi, anajua miiko, nin aseme wapi kwa wakati upi,

Hyu polepole kunawatu wanataka awe sawa wakati wote haiwezekani, kunawakati anazungumza akiwa nje ya mfumo hyo Ni polepole mwingine, akiwa Kama katib mwenezi hyo Ni mwingine na wa Sasa nae Ni mwingine, maana ya MAADILI ndo hyo, ila uzuri Ni 1 hajawahi kutoka nje ya MAADILI ya uongozi,

Ikiwa tu mtu anaajiriwa anabadilika na kuwa mwingine, na cku akiacha kzi anakuwa mwingie polepole Ni Nan??

Kila mtu anaunafiki wake, Sasa inategemea huo unaaa upoje we chunguza kuanzia ganzi ya juu ya taifa mpka familia, ila watu wanajitoa ufaham kwa kuwaona wenzao kuwa Ni wanaa zaidiii
Hata Ndugai alikuwa kiongozi, tena wa mhimili.
 
Baadhi ya watu wanampinga Polepole kisa tu yeye hakutoka hadharani kupinga yaliyokua yanafanyika kipindi cha Magu,wanasahau kua kukaa jwake kimya kipindi kile,hakuhalalishi eti mabaya ya kipindi hiki kuendelelea kufanyika pasipo kukemewa na yeye au yeyote anayeona mambo hayaendi sawia.
Km ambavyo watu walipuuzwa zama zake
Naona Mungu kamuweka sehemu nae aelewe kupuuzwa kukoje
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Majipu ya ukweli ameyakumbatia Samia huko ndani ya serikali.

Msemakweli leo ni jipu kwa CCM?

Huyu akiwa jipu,je kina Makamba wanaokula urefu wa kamba kule Tanesco tuwaite nini?

Eti chama chetu?

Chenu wewe na nani...Msoga?

masopakyindi...tangu lini ulitoka chadema?

Tunavyoelewa CCM ni mali ya wananchi wote wenye uhalali wa uanachama.

Polepole ni mwanachama hai,labda kuliko hata wewe chawa.

#Hatutakiwahuni Tanzania [emoji1241]
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Thubutu... Ndugai tu sahizi wanawaza kesho... Kiufupi utabiri wa mwalimu unakaribia sana ni swala la muda.
 
Thubutu... Ndugai tu sahizi wanawaza kesho... Kiufupi utabiri wa mwalimu unakaribia sana ni swala la muda.
Kesho isha jichora hakuna matstizo, hata Ndugsi anajua.
Mtasumbuka sana kama hadithi ya mafisi kuomba mkono udondoke.
 
Majipu ya ukweli ameyakumbatia Samia huko ndani ya serikali.

Msemakweli leo ni jipu kwa CCM?

Huyu akiwa jipu,je kina Makamba wanaokula urefu wa kamba kule Tanesco tuwaite nini?

Eti chama chetu?

Chenu wewe na nani...Msoga?

masopakyindi...tangu lini ulitoka chadema?

Tunavyoelewa CCM ni mali ya wananchi wote wenye uhalali wa uanachama.

Polepole ni mwanachama hai,labda kuliko hata wewe chawa.

#Hatutakiwahuni Tanzania [emoji1241]
We fala nini, tafuta mada nashabikia CHADEMA!
 
Mkuu usiongee uharo na kupitiliza!!
Polepole alikuwa zaidi ya waziri, ila ushamba hakumwacha salama, akaishia kusifia ma Vieite!
Na wewe sifa unazofanya kwa sasa huo ushamba unautoa wapi au wewe ni chawa wa mama na kazi yako ni kusifia tu?
Nyani haoni kundure sasa ni zamu yako

Nasikia sasa mnajipimia na kuvimbiwa tu ndio maana zimewatoka akili mnasigia hadi kinyesi chake.
 
Ni kweli Polepole aliteuliwa na Magufuli, na hilo ni mbaya zaidi, mbaya kwa sababu Polepole anafikiri yupo pale kumwimbia sifa na utukufu Mafufuli.
Wakati wa Awamu ya 5, kama msemaji wa chama, wala hakuona upotevu wa 1.5 tril.
Kama msemaji wa chama cha wanyonge hakusikia ubambikaji wa kesi za uhujumu, wala hakusikia kutekwa kina Mo na Rima Mkatoliki.
Lissu alipopigwa risasi na mtu wenu watu wenye roho safi wslistuka sana, hata Mama Samia alienda kumuona hospitali.
Lakini chama, kimyaa!

Sasa mshamba huyu alisifia utamu wa ma V8, halafu leo kaoata mdomo wa kuongelea masuala yaliyimzidi uwezo wa kufikiri.
NEVER!
Ninachojua ipo siku utabadilika tu baada ya kuondolewa kwenye hiyo nafasi na utaanza kumnanga huyo mama.
Enzi ya magufuli kuna watu walikua wanamshangilia humu ila ghafla unakuta wana anza kumpinga, kumbe ni baada ya dhahama la kutumbuliwa ndo linawabadilisha.
Kwa hiyi na ninyi ni swala la muda tu.
 
Kwa kosa lipi, kwa kule kusema kula kwa urefu wa kamba na kwamba wale waogope kuvimbewa siyo?

Hapo kodpgokidogo kakosea nini we jamaa?
 
Back
Top Bottom