Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Nakazia, Mwigulu must go
 
Dr. Ashatu Kijaji ana long experience katika mambo ya finance and all that lakini nadhani tatizo halipo hapo, nadhani ni mfumo mzima, you may be pure but since the system is not perfect you will end up like the system. Very sensitive posts kama hizi zitangazwe kwenye media zetu watu wagombee then wapigiwe kula bungeni the best ata emerge, angalau tukianzia hapo tunaweza ona kama inafaa. MY OPINION ANYWAY.
 
Waziri wa fedha angepewa Ustaadh Profesa Assad tungeneemeka sana.
Mzee anaakili,uzoefu,utandawazi,anajiamini,sio mwizi,mtu swala tano,hanatamaa ya uraisi,hapendi misifa
Huyo ashantu wako atabishana na mizungu na michina mijanja inayoiba mali dunia nzama kilaleo? Atakaa round table na majambazi ya dunia na akayapangua?
 
Waziri wa fedha angepewa Ustaadh Profesa Assad tungeneemeka sana.
Mzee anaakili,uzoefu,utandawazi,anajiamini,sio mwizi,mtu swala tano,hanatamaa ya uraisi,hapendi misifa
Huyo ashantu wako atabishana na mizungu na michina mijanja inayoiba mali dunia nzama kilaleo? Atakaa round table na majambazi ya dunia na akayapangua?
Profesa Mkenda yule wa Elimu is better than anybody else kwa sasa Tanzania
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Mmeanza udini
 
Ccm Hao Wenyewe Kwa Wenyewe Wameoza Sana Sana
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!

Natamani sana "Prof. Mussa Assad" ateuliwe waziri wa fedha yule bwana anahofu ya Mungu.
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Machawa yako kazini kutafuta pango jipya la upigaji kutoka Kondoa
 
Waziri wa fedha angepewa Ustaadh Profesa Assad tungeneemeka sana.
Mzee anaakili,uzoefu,utandawazi,anajiamini,sio mwizi,mtu swala tano,hanatamaa ya uraisi,hapendi misifa
Huyo ashantu wako atabishana na mizungu na michina mijanja inayoiba mali dunia nzama kilaleo? Atakaa round table na majambazi ya dunia na akayapangua?



Mmnh?! [emoji848]
 
Hana uwezo kabisa, Dr. Mwigulu ndio mzuri kwa mbali sana, there is in no way ukamlinganisha na Ashatu, kwanza Ashatu hata ktk uwaziri wowote ule tu ni mzigo kabisa. Hivi vyeti sijui PhD ni thesis tu, a long essay or dissertation sio kwamba inakuonyesha uko so exceptional, Dr. Mwigulu yuko vizuri sana, hata ukiacha PhD yake, ila he is smart. Kama Ashatu kakutuma mwambie tumekataa.
Unadhani malalamiko yaliyopo sasa na kwa Mpango yalikuwa hivyohivyo?
 
Exaclty, Ashatu ni zero result oriented naweza sema hivyo..

Wako Mawaziri wanapiga kazi hadi basi mfano, Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu, au waziri wa Maji, Aweso, ila Ashatu mm katika Mawaziri nampa nafasi ya mwishooo kabisa, wizara yake tu imemlemea sana
Mbarawa hamna kitu, Aweso muigizaji tu, Kimei ndio mtu sahihi na sio mwanasiasa
 
Hata aje Malaika lazima ujiunge chama la wapigaji tu.

Kitambo nilidhani ukiwa na macho makubwa unaona mbali.
 
Mwigulu kashindwa kung'amua kua kwenye invoice kuna ongezeko la fedha sio halali, akafanya kutest kumpelekea mama aidhinishe malipo wapige dili.mama akashtuka.
 
Hana uwezo kabisa, Dr. Mwigulu ndio mzuri kwa mbali sana, there is in no way ukamlinganisha na Ashatu, kwanza Ashatu hata ktk uwaziri wowote ule tu ni mzigo kabisa. Hivi vyeti sijui PhD ni thesis tu, a long essay or dissertation sio kwamba inakuonyesha uko so exceptional, Dr. Mwigulu yuko vizuri sana, hata ukiacha PhD yake, ila he is smart. Kama Ashatu kakutuma mwambie tumekataa.

Ni kweli hana uwezo wowote ule na ni mjivuni kwelikweli
 
Hapana, kwenye u smart Dkt Ashatu ni genius! Ana kipaji cha akili! Fuatilia historia yake enzi anasoma IDM Mzumbe au wakati anasoma
PhD yake nchini Norway.

Umetumwa wewe akili za darasani sio Sawa na utendaji
 
Unadhani kwa nini wanawekwa kama ni zero results?
Inaweza kuwa ndumba, Alipokua Interior minister Maiti kuokotwa kwa viloba likua jambo la kawaida kwake, Minister of finance Tozo na mifumuko ya bei juu jumlisha ufisadi huu,na alipokua justice minister Kesi za kubagain na ugaid feck zilitamalaki sana.Huyu nawambia ni MTU hatar labda kama hamna ubongo.

Sent from my E6810 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom