kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Hafai,hafai,hafaiMadelu vipi maana nae ana sifa kuwa aliwahi kuwa TO hapo zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hafai,hafai,hafaiMadelu vipi maana nae ana sifa kuwa aliwahi kuwa TO hapo zamani
Nakazia, Mwigulu must goGTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Profesa Mkenda yule wa Elimu is better than anybody else kwa sasa TanzaniaWaziri wa fedha angepewa Ustaadh Profesa Assad tungeneemeka sana.
Mzee anaakili,uzoefu,utandawazi,anajiamini,sio mwizi,mtu swala tano,hanatamaa ya uraisi,hapendi misifa
Huyo ashantu wako atabishana na mizungu na michina mijanja inayoiba mali dunia nzama kilaleo? Atakaa round table na majambazi ya dunia na akayapangua?
Mmeanza udiniGTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
NakaziaMmeanza udini
GTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Natamani sana "Prof. Mussa Assad" ateuliwe waziri wa fedha yule bwana anahofu ya Mungu.
Machawa yako kazini kutafuta pango jipya la upigaji kutoka KondoaGTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Waziri wa fedha angepewa Ustaadh Profesa Assad tungeneemeka sana.
Mzee anaakili,uzoefu,utandawazi,anajiamini,sio mwizi,mtu swala tano,hanatamaa ya uraisi,hapendi misifa
Huyo ashantu wako atabishana na mizungu na michina mijanja inayoiba mali dunia nzama kilaleo? Atakaa round table na majambazi ya dunia na akayapangua?
Unadhani malalamiko yaliyopo sasa na kwa Mpango yalikuwa hivyohivyo?Hana uwezo kabisa, Dr. Mwigulu ndio mzuri kwa mbali sana, there is in no way ukamlinganisha na Ashatu, kwanza Ashatu hata ktk uwaziri wowote ule tu ni mzigo kabisa. Hivi vyeti sijui PhD ni thesis tu, a long essay or dissertation sio kwamba inakuonyesha uko so exceptional, Dr. Mwigulu yuko vizuri sana, hata ukiacha PhD yake, ila he is smart. Kama Ashatu kakutuma mwambie tumekataa.
Mbarawa hamna kitu, Aweso muigizaji tu, Kimei ndio mtu sahihi na sio mwanasiasaExaclty, Ashatu ni zero result oriented naweza sema hivyo..
Wako Mawaziri wanapiga kazi hadi basi mfano, Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu, au waziri wa Maji, Aweso, ila Ashatu mm katika Mawaziri nampa nafasi ya mwishooo kabisa, wizara yake tu imemlemea sana
Hana uwezo kabisa, Dr. Mwigulu ndio mzuri kwa mbali sana, there is in no way ukamlinganisha na Ashatu, kwanza Ashatu hata ktk uwaziri wowote ule tu ni mzigo kabisa. Hivi vyeti sijui PhD ni thesis tu, a long essay or dissertation sio kwamba inakuonyesha uko so exceptional, Dr. Mwigulu yuko vizuri sana, hata ukiacha PhD yake, ila he is smart. Kama Ashatu kakutuma mwambie tumekataa.
Hapana, kwenye u smart Dkt Ashatu ni genius! Ana kipaji cha akili! Fuatilia historia yake enzi anasoma IDM Mzumbe au wakati anasoma
PhD yake nchini Norway.
Inaweza kuwa ndumba, Alipokua Interior minister Maiti kuokotwa kwa viloba likua jambo la kawaida kwake, Minister of finance Tozo na mifumuko ya bei juu jumlisha ufisadi huu,na alipokua justice minister Kesi za kubagain na ugaid feck zilitamalaki sana.Huyu nawambia ni MTU hatar labda kama hamna ubongo.Unadhani kwa nini wanawekwa kama ni zero results?