Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana..

Kwako mh.Rais,naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof.Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini...
Leo nakuunga mkono, inaonekana umeamka vyema Leo.

Pamoja na mabadiliko uliyotaja namuomba Mungu Kwa ajili ya DR KIMEI ateuliwe wizara ya fedha, maana ninaona mwigu anaelekea kuzamisha jahazi akiendelea kuwa hapo. Amen
 
Prof Mchongo ni Aina ya wasomi wetu , ujuaji mwingi performance ni zero , Yule mwamba sio muwajibikaji ni mtu wa ofsini , na kutoa maelekezo , bila kusukumana hii nchi watenda kazi hawafanyi kazi , kama alishindwa mpak kwenye uongozi wa bata kama wa Kikwete sidhani kama anaweza fanya lolote katika uongozi wwte ule
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana..

Kwako mh.Rais,naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof.Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini...
Acha roho mbaya
 
Prof Mchongo ni Aina ya wasomi wetu , ujuaji mwingi performance ni zero , Yule mwamba sio muwajibikaji ni mtu wa ofsini , na kutoa maelekezo , bila kusukumana hii nchi watenda kazi hawafanyi kazi , kama alishindwa mpak kwenye uongozi wa bata kama wa Kikwete sidhani kama anaweza fanya lolote katika uongozi wwte ule
Thibitisha maana mimi nimetoa hoja na michango yake Chanya kwenye gas na madini..

Mimi sio wa.kwanza kumuongelea Prof.Muhongo kwa hiyo chuki zako hazina nafasi.
 
Dooh! Maskini hujui unachokiongelea na kuwish kutokea.
 
Hivi Mkuu hamna watu wengine wanaweza kuwa mawaziri hadi turudie majina yale yale, au ndio uchawa kuwapigia kampeni?
Nafasi za Kazi sio zawadi kwamba mtu anapewa bali ni nafasi zinahaitaji watu wenye ufanisi,maono na wenye weledi..

Wewe Unataka nani apewe aliye mahiri kuliko Prof.Muhongo?
 
Hivi hakuna watanzania wengine wanao weza kushika uongozi zaidi ya Hao hao kila siku ?
 
Tueleze wewe unachokijua
Kwanza, unasema apatiwe uwaziri simply anajua kuongea sijui kama unafahamu talking is easy than doing?

Mbili, huyu bwana aliwahi kuwa waziri hapo kwenye nishati nafikiri tunajua kilichotokea na alibwaga manyanga.

Tatu, Wizara ya ardhi inatakiwa apewe Mtanzania haswaaa maana ndio urithi pekee wa Watanzania, ninaposema Mtanzania haswaaa unanielewa nafikiri.

Niishie hapo.
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais,naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya..

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Bashungwa anafanya vizuri? Wapi na kwenye nini?
 
Kwanza, unasema apatiwe uwaziri simply anajua kuongea sijui kama unafahamu talking is easy than doing?

Mbili, huyu bwana aliwahi kuwa waziri hapo kwenye nishati nafikiri tunajua kilichotokea na alibwaga manyanga.

Tatu, Wizara ya ardhi inatakiwa apewe Mtanzania haswaaa maana ndio urithi pekee wa Watanzania, ninaposema Mtanzania haswaaa unanielewa nafikiri.

Niishie hapo.
Acha kukurupuka,kasome upya contents yangu ndio urudi kuchangia .
 

Attachments

  • Screenshot_20220607-223105.png
    Screenshot_20220607-223105.png
    151.4 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220607-223351.png
    Screenshot_20220607-223351.png
    97.7 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220607-223341.png
    Screenshot_20220607-223341.png
    181.4 KB · Views: 19
Acha kukurupuka,kasome upya contents yangu ndio urudi kuchangia .
Umeandika upupu rudi ukajisome mwenyewe. Hivi kwani hayo madini utoroshaji umekwisha? Kama haujaisha itawezekanaje kudeal na matapeli wa ardhi wakati same thing haijawa controlled huko unapotaka atoke?

Mbili pengine ulikuwa sekondari ila tafuta mjadala wa bunge tarehe 28/11/2014 kisha urudi hapa.
 
Back
Top Bottom