Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Kuyajua madini ni suala la Proffesional ya miner's na sio ya waziri.

Kuna ma geologist kibao huko wizarani.

Uwaziri unaendana na uadilifu wa mhusika na jinsi ya kusimamia miongozo ya wizara bila kuwa na tamaa za fisi.

Muhongo ungemshauri aombe kazi BARRICK na angepokea mshahara mzuri kuliko wa uwaziri kama anatosha.

Lakini pia umeongea jambo la msingi sana kuhusu hii wizara ya ardhi.

Tatizo ni kwamba Mabula amewekwa pale kama kiini macho tu.
Mambo yote ni Riziwani.
Ndio maana uliiona jeuri ya GSM kupata kwa haraka Nyaraka mpya za umiliki wa kiwanja walichomuuzia Makonde huko kitambo.

Mambo ni mengi sana
The Sunk Cost Fallacy
!

Mengine tumebaki kama watazamaji uwanja wa Mkapa.
 
Nice, Kama Mh Biteko unaona Yuko vizuri unaonaje Mr Muhongo akisaidiana naye?

Ufanisi utaongezeka kuwa Bora zaidi? kama tatizo ni Muhongo, bas pendekeza Nan mwenye capacity ya juu zaidi.

Vyeo ni dhamana, Wala tusisite kushauri mabadiliko popote, Tunalipa Kodi, hivyo lazima tuone manufaa ya Kodi zetu. Amen
Mimi naona Hawa waliopo waachwe tu. Muhongo anaweza kuombwa ushauri tu. Jambo lingine ni kwamba katika Tume ya Madini Kuna wataalam kibao
 
Muhongo ni mjinga fulani, anazidiwa ujingaujinga na maprofesa wawili tu, yule Osoro na yule wa kinyesi cha mifugo kwenye mto kule Mara.

Wajinga tuwapige vita serikalini.
Umemsahau prof wa jalalani nae mmoja wao yani wako kimaslahi plus kujiona wamesoma wengine wajinga
 
Mimi naona Hawa waliopo waachwe tu. Muhongo anaweza kuombwa ushauri tu. Jambo lingine ni kwamba katika Tume ya Madini Kuna wataalam kibao
Shida sio kuwa na Wataalamu bali exposure na network..

Unadhani bila Makamba JR ,LPG ingefanikiwa? Si ingekufa mazima?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220608-161348.png
    Screenshot_20220608-161348.png
    214.9 KB · Views: 11
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
ACHA CHUKI BINAFSI KAKUKOSEA NINI HUYO MAMA?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Unataka nipigwe chini nimekukosea nini hutaki nilambe asali ?
 
ACHA CHUKI BINAFSI KAKUKOSEA NINI HUYO MAMA?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Nimchukie kwani namjua? Hao kina Biteko and the likes naowakubali kwani wananifahamu mimi?

Yaani Wizara haitoi pesa za kupanga miji na Vijijini,uswazi kila sehemu ikiwemo huko kwake Mwanza yeye yuko busy na matumizi mabaya ya pesa kwa kujenga ofisi badala ya kupima na kupanga miji?

Mtu wa hivi ni WA nini hasa ofisini? Kwa nini alipwe salary kwa Kodi zetu?

Pesa za kupima na kupanga Miji hazipo ila kujengea maofisi wanazo,zero brain wa hivi hatuwataki👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-092734.png
    Screenshot_20220528-092734.png
    105.4 KB · Views: 12
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Bora amtoe Makamba sioini anachofanya
 
Leo nakuunga mkono, inaonekana umeamka vyema Leo.

Pamoja na mabadiliko uliyotaja namuomba Mungu Kwa ajili ya DR KIMEI ateuliwe wizara ya fedha, maana ninaona mwigu anaelekea kuzamisha jahazi akiendelea kuwa hapo. Amen
Hata Makamba atoke Nishati hakuna kitu anafanya
 
Doto na Ardhi kama sawa. Jamaa kuna seriousness flani anayo hivi tofauti na huyu mabula ila profesa muongo, big NO.
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Huu uchawa uatawaua nyie wajinga
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Yule mjita ana majidai sana na dharau kwa watu anaowazidi fedha, elimu na vyeo. Hata wahaya wote Hawawezi kumfikia kwa majigambo na dharau. Muache Muhongo aendelee kuwa mbunge wa Wajita wenzie tu, kwa ofisi ya Serikali inatosha tuliyoyaona na kuyasikia wakati wa Jakaya Kikwette.
 
Yaani umtoe Doto Biteko Madini 😏😏. Yaani performance nzuri ktk sekta hii ngumu imtoe na kumpeleka ardhi walikojaa wahuni?? MADINI bado tunahitaji sana na pia ushauri wa muhongo ni mzuri pia. Hoja ya msingi hapa ni utendaji. Tangu Doto alipopewa wizara mambo yamekaa vizuri japo changamoto Huwa haziishi mara moja. Mchango wa sekta ya Madini ktk GDP umepanda kutoka 3.3% Mwaka 2016 Hadi 8% Sasa. Na anakimbizana na 10% ifikapo 2025. Unapendekeza atolewe Ili performance hii itibuke
Muhongo ni CORRUPT. Nawakumbusha uhusika wake kwenye kesi ya ESCROW. Jaji Werema aliyekuwa AG na Prof Muhongo aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya sekta ya Nishati. Hawa ndiyo walio endorse documents za Sethi kuonyesha kuwa ana umiliki 70%ya IPTL kabla ya kununua 30% za Rugemalira. Je ni nyaraka zipi ambazo PAP walizitumia kuwasilisha Wizara ya Nishati na Madini kuonyesha umiliki wao wa hisa 70% za IPTL? Hawa Werema na Muhongo walikula fedha ndefu sana kwenye issue ya ESCROW
 
Yule mjita ana majidai sana na dharau kwa watu anaowazidi fedha, elimu na vyeo. Hata wahaya wote Hawawezi kumfikia kwa majigambo na dharau. Muache Muhongo aendelee kuwa mbunge wa Wajita wenzie tu, kwa ofisi ya Serikali inatosha tuliyoyaona na kuyasikia wakati wa Jakaya Kikwette.
Majidai na utendaji ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom