Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

Rais Samia Mteue Prof. Muhongo awe Waziri wa Madini, Dotto Biteko ahamishiwe Wizara ya Ardhi, Mabula apigwe chini

Ni upuuzi tupu!

Hivi ulishawahi kujiuliza, je siku mhongo akiitwa na Bwana, hatutakuwa na waziri mzuri!

Kwa nini awe mhongo na wakati hiyo wizara amewahi kuwepo na ikamshinda!/

Unaupuuzi mwingi sana we kijana unayetumwa ili upate mkate!

Jiamini, hata wewe unaweza bhana
 
Kwanza mkuu naomba Nikupe a BIG NO kwa Prof. Sospeter Muhongo kuwa waziri wa Madini. Amepewa hiyo nafasi mara mbili, lakini hakuna kitu cha maana alichokifanya so far. Alishindwa hata kukemea mchanga uliokuwa unasafirishwa nje makontena kwa makontena. No, achana naye hata tufikisha kokote. Kwanza kishazeeka na amekuwa mwana siasa sasa.

Kama nchi yetu iliwahi kuwa na Rais juha, basi huyu tuliye naye sasa ndiye Rais juha zaidi. Sijawahi kuona Rais ambaye hata kupanga cabinate yake na watu wenye sifa ameshindwa kama yeye.

Mama Samia hana vision hata moja ya kuwasadia vijana wa nchi hii ili kupata mwelekeo wa maisha yao ya baadae. Hajui afanye nini na madaraka yake ili aweze kuiendeleza nchi kwa kuweka mikakati ambayo itawanufaisha vijana hapo baadae.

Nampenda hayati Magufuli, lakini nina mlaani vikubwa sana hayati Magufuli kwa kutuachia Rais ambaye ni bogus kama huyu. Sielewi kitu gani kilimtuma kumchagua huyu mama kuwa Makam wa Rais.

Nina mlaumu Mama Samia vibaya sana kwa kutuondolea vijana machachari kwenye utendaji wa wizara nyeti kama Ardhi, Nishati, Ujenzi na Habari na kutuletea mazuzu kama huyo mama uliye mtaja na naibu wake Kikwete, Makamba, Prof. Mbalawa na Nape, what the hell is she doing? Anajua kweli anacho kifanya? Au kuna watu wanamsukuma afanye hivyo?

Mawaziri wenye scandle karibu wote ndiyo kawaweka humo ili waendelee kula naye.

Ndugu yangu Rais ambaye anatoa matamshi kwa mawaziri wake akidai "wasiwe wanakula mpaka wana kufuru" unategemea nini kwa Rais wa namna hiyo? Wewe kwa mtazamo wako unategemea huyu Rais atakuvusha?

Huyu mama ni by product ya Kikwete na uhakika anaendeleza yale ambayo Kikwete aliyaacha. Hakuna kingine anacho kifanya.

Cha msingi cha kufanya ili tuondokane na majangili haya ya CCM ni kupiga kampeni ya kufa mtu kuiondoa CCM. CCM lazima kiondoke na kukiua kabisa kama tunataka maendeleo na ajira. Tukibaki kuwa na CCM kwa maana nyingine ni majanaga na udhalimu tu wa mali za umma.

CCM ni clan. Na kila kiongozi wa CCM atakaye kuja, lake ni moja tu, kulinda maslahi ya walaji wa Clan yao. Zingatia hicho! Na nakuomba usiwe na matumaini makubwa na hawa watu.

Huyu msukule wa walamba asali atakuelewa sasa
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Muhongo ni tapeli fulani tu na wala hana issue.
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Wewe umetumwa? Kumbuka Mhongo aka Muongo ! Aliwahi sema wtz hawawezi kumiliki uchumi wa gesi! Huyo Prof . Hovyo!

Mabula, unataka atoke Kwa sababu ya jinsia yake ? Ili baadaye ujenge hoja ya wanawake hawapendani!
 
Huyu msukule wa walamba asali atakuelewa sasa
Chuki binafsi na wivu ndio vinawasumbua ila prof .Muhongo anaendelea kitema madini..

Ona hapa mchango wake 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220616-210016.png
    Screenshot_20220616-210016.png
    106.2 KB · Views: 7
Wewe umetumwa? Kumbuka Mhongo aka Muongo ! Aliwahi sema wtz hawawezi kumiliki uchumi wa gesi! Huyo Prof . Hovyo!

Mabula, unataka atoke Kwa sababu ya jinsia yake ? Ili baadaye ujenge hoja ya wanawake hawapendani!
Mabula hana lolote analolifanya pale Wizara ya Ardhi..

Prof anaendelea kutema madini huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220725-205129.png
    Screenshot_20220725-205129.png
    90.6 KB · Views: 4
Biteko ni mtendaji ambaye anachofanya kinaonekana na anajua kwenda na kasi ya kiongozi aliyemteua lakini muhongo thoery nyingi kuliko ku practice yaani maneno mengi utekelezaji hakuna.
 
Mabula hana lolote analolifanya pale Wizara ya Ardhi..

Prof anaendelea kutema madini huku 👇
Najua Kuna chokochoko zinatengenezwa Ili Mabula ATOSWE Ili yule naibu mtoto wa nanii apewe Mamlaka yote.

UOVU wote hautapita Bure bila kulipa adhabu yake.
 
Najua Kuna chokochoko zinatengenezwa Ili Mabula ATOSWE Ili yule naibu mtoto wa nanii apewe Mamlaka yote.

UOVU wote hautapita Bure bila kulipa adhabu yake.
Atapigwa chini tuu ,yule ni Wazuri mzigo..

Bora hata Yule Naibu wa Utali Maryprisca Masanja anapiga Kazi..
 
Atapigwa chini tuu ,yule ni Wazuri mzigo..

Bora hata Yule Naibu wa Utali Maryprisca Masanja anapiga Kazi..
Thread hii umeandika Ukiwa "NJE YA BOX" Unaeleza mawazo kinzani yenye Nia ya kujenga, ingawa haijathibitika Nia Yako Hasa.

Unaonaje nikikuita S.GANG kama ambavyo umekuwa ukiwabatiza wote wenye mawazo kinzani na Utawala?
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kuchoshana.

Kwako Mh. Rais, naomba kama itakupendeza mtumbue Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula na nafasi yake mpeleke Dotto Biteko huku Prof. Sospeter Muhongo achukue nafasi ya Waziri wa Madini.

Dotto atafaa Sana Wizara ya Ardhi Ili kuwanyoosha matapeli wa Wizara ya Ardhi kuliko huyu Anjela wa Sasa maana hakuna anachofanya.

Nasema kwa sababu Wizara ya Madini inahitaji mtu mwenye exposure kama Muhongo,huwa anatoa mchango mzuri Sana Bungeni na anaweza kutuvusha zaidi.

Kama ukifanya hivyo Kwa Bashe na Bashungwa ambao tunaona wanafanya Vizuri basi ni muda Sasa wa kutumia potential za Prof. Muhongo.

Natambua Rais hapangiwi ila sio vibaya kutoa ushauri..Na yule Mzee Naibu wa Madini.sijui anafanya Kazi gani maana hata kiswahili hajui anajua kimasai tuu angefaa kuwa Naibu wa Mifugo na WA mifugo aje Wizara ya Madini..
Mabula Chalii
 
Thread hii umeandika Ukiwa "NJE YA BOX" Unaeleza mawazo kinzani yenye Nia ya kujenga, ingawa haijathibitika Nia Yako Hasa.

Unaonaje nikikuita S.GANG kama ambavyo umekuwa ukiwabatiza wote wenye mawazo kinzani na Utawala?
Mabula kapigwa chini,njoo ubishe tena.
 
Back
Top Bottom