Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr.ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa.Hata kama siyo kumpa uwaziri kamili mpatie unaibu au nafasi ya ukatibu kule wizara ya afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika.Hapa namuongelea mwanadada Dr.Bahati Msacky mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa!Anaipenda kazi yake haswaa.Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu Kwa madam president chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270
Ana t*ko?
 
Doctor's are very important person
Na akiwa na moyo wa kutoa huduma nzuri lazima apendwe.
 
Wachagga ni wachapa kazi sana. Hatunaga masihara kwenye management!

Povu ruksa!
 
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr.ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa.Hata kama siyo kumpa uwaziri kamili mpatie unaibu au nafasi ya ukatibu kule wizara ya afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika.Hapa namuongelea mwanadada Dr.Bahati Msacky mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa!Anaipenda kazi yake haswaa.Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu Kwa madam president chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270
Acha ujinga hakuna hospital ya rufaa kimkoa inayoua kama hii ya mkoa Mwanza, Sekou Toure. Mimi nina ushahidi wa kufiwa kwenye hiyo hospital. Ni bora kama una mgonjwa mpeleke Bugando ila siyo hapo chinja chinja. Hasa akina Mama wanao jifungua wanakufa sana. Huyu siyo kiongozi na hafai kabisa!
 
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr.ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa.Hata kama siyo kumpa uwaziri kamili mpatie unaibu au nafasi ya ukatibu kule wizara ya afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika.Hapa namuongelea mwanadada Dr.Bahati Msacky mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa!Anaipenda kazi yake haswaa.Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu Kwa madam president chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

Aangalie vizuri maana kuna watu wana wivu sana na wenzao wanaojituma katika kazi. Wanataka vyeo kwa kuroga na kupiga fitna.
 
Nchi ina vichwa vingi timamu tatizo machawa ndo wameshika usukani tusahau kupiga hatua
 
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr.ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa.Hata kama siyo kumpa uwaziri kamili mpatie unaibu au nafasi ya ukatibu kule wizara ya afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika.Hapa namuongelea mwanadada Dr.Bahati Msacky mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa!Anaipenda kazi yake haswaa.Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu Kwa madam president chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270
Hatumtaki , mchepuko wako unaupigia promo tushajua janja yako😄
 
Ubari
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr.ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa.Hata kama siyo kumpa uwaziri kamili mpatie unaibu au nafasi ya ukatibu kule wizara ya afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika.Hapa namuongelea mwanadada Dr.Bahati Msacky mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa!Anaipenda kazi yake haswaa.Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu Kwa madam president chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270
Mosi ubarikiwe sana Kwa picha hizi mkuu.
Pili CV haijashiba ongezea nyama kidooogo katika hayo vya kuzingatia ameolewa?
Pia no yake ya simu Ili tumpongeze na afikiwe Kwa wepesi na mama


Ahsantee sana
 
Back
Top Bottom