Rais Samia, muondoe mara moja Nape kwenye Baraza lako la mawaziri. 4Rs unazozihubiri zinaonekana ni utapeli wa kisiasa.

Rais Samia, muondoe mara moja Nape kwenye Baraza lako la mawaziri. 4Rs unazozihubiri zinaonekana ni utapeli wa kisiasa.

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya habari unaongea ujinga mbele ya watu wazima. Tume ya uchaguzi inapewa pesa nyingi Kila mwaka kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, Leo Nape anasema atamsaidia rafiki yake kushinda uchaguzi kwa njia za halali, nusu halali au halali.

Ombi langu kwa mh Rais kauli hii inachochea chuki miongoni mwa vyama vya siasa na imezua taharuki miongoni wa wananchi wa vyama vyote vya siasa. Kwa kuwa nchi IPO kwenye maridhiano na muafaka wa kitaifa ni bora Nape Nhauye akaondolewa kwenye Baraza la mawaziri ili kuleta utengano wa kisiasa. 4Rs za mh Rais zitaonekana utapeli ikiwa maneno kama haya yataendelea kutolewa na viongozi wandamizi ndani ya serikali.
 
Kuna watu wanakuwa viongozi kwa sababu ya heshima ya wazee wao, licha ya wao kuwa viongozi bado hawawezi kusitahili heshima kutoka popote pale ikiwezekana mpaka kwa watoto zao

Nijuavyo, unapokuwa kiongozi ni sharti utunze heshima yako ili jamii nayo ikuheshimu, bila ya hivyo, kiongozi aina hiyo, wananchi watakapowapuuza na kuwazomea kwa sababu ya namna walivyojiweka, wao huwa wa kwanza kutafuta namna ya kuwaangamiza watu wanaowapuuza kihalali kabisa!

Kiongozi kama huyo, mengi sana yatakayotokea kusemwa dhidi ya kauli zake ovu, atataka kujihami kusema anatukanwa na hivyo angehitaji watekaji kuteka wakosoaji, jamani iko hivi, baba hakosei inapokuwa kwake tu, anapokuwa kiongozi wa nchi, yapo makosa shariti akemewe!

Akili ya mtu muovu haiwezi kutenda haki hata kidogo, na uovu wa mtu kama huyo huwaza kulipiza kisasi ili aulinde uovu wake hata kwa kumwaga damu
 
Kuna watu wanakuwa viongozi kwa sababu ya heshima ya wazee wao, licha ya wao kuwa viongozi bado hawawezi kusitahili heshima kutoka popote pale ikiwezekana mpaka kwa watoto zao

Nijuavyo, unapokuwa kiongozi ni sharti utunze heshima yako ili jamii nayo ikuheshimu, bila ya hivyo, kiongozi aina hiyo, wananchi watakapowapuuza na kuwazomea kwa sababu ya namna walivyojiweka, wao huwa wa kwanza kutafuta namna ya kuwaangamiza watu wanaowapuuza kihalali kabisa!

Kiongozi kama huyo, mengi sana yatakayotokea kusemwa dhidi ya kauli zake ovu, atataka kujihami kusema anatukanwa na hivyo angehitaji watekaji kuteka wakosoaji, jamani iko hivi, baba hakosei inapokuwa kwake tu, anapokuwa kiongozi wa nchi, yapo makosa shariti akemewe!

Akili ya mtu muovu haiwezi kutenda haki hata kidogo, na uovu wa mtu kama huyo huwaza kulipiza kisasi ili aulinde uovu wake hata kwa kumwaga damu
Tungekuwa tunajua watoto tunaozaa watakuwaje ukubwani Mzee Nnauye asingekubali kumzaa Nape.
 
Mimi nimemshangaa sana Nape,hata kama unamgongea mtu Mkewe huwezi kumwambia Hadharani tena kwa jeuri.
Kisha unasema ulikuwa unatania!!
Kweli ndio tulipofika hapo kama Taifa!
Yanayoendelea Nchi jirani watu hawajifunzi?
Wananchi wanajua kuwa CCM imewafanya misukule lakini sio lazima kutamba Hadharani.
Nape hafai kuwa Kiongozi wa aina yoyote,hata ujumbe wa Nyumba kumi haumfai.
Raisi mshughulikie huyu haraka,masikio yake yameshazidi kichwa.
Akiachwa huyu italeta tafsiri nyingi sana kwa UMMA.
 
Nape ndio kamati yenyewe ya ufundi na wizi wa kura hawezi kuondolewa.
Polepole alisema #Kataawahuni ndio hawa kina nape.
 
Birds of the same feathers, yeye alipokuwa anafanya kampeni alisemaje?
 
Wajuzi na wataalamu wanadai hizi 4 R zimeasisiwa na KItila. Its just another propaganda ya kisiasa tuu ila deep down mifumo yetu kama ya haki haisapoti 4R. Unasikia muliro anahojiwa na kikeke anasema watu wanakosoa bila staha anajibu kuhusu watu.kutekwa.
 
Umejua leo kwamba 4Rs ni USANII, Sheikh?
CCM, ukiacha UFiSADI, UTEKAJI,UNDUGULIZATION( mwenzetu) pia ni WASANII ile mbaya
 
Kwamba waziri anatibua mpango wa 2025 sio!!?
Huenda pengine labda Mh Waziri ameshapata tetesi za kutumbuliwa na hivyo amekasirika anaongea akiwa ana hasira
Tunatakiwa kuwa makini kidogo kwenye hizi siasa zetu; maslahi binafsi yasiwe yanapelekea tubabwabwaja maneno ambayo yanaweza kusababisha tahariuki ndani ya nchi.
Kuna uwezekano mkubwa safari hii mamlaka za chama zikamhoji
 
Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya habari unaongea ujinga mbele ya watu wazima. Tume ya uchaguzi inapewa pesa nyingi Kila mwaka kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, Leo Nape anasema atamsaidia rafiki yake kushinda uchaguzi kwa njia za halali, nusu halali au halali.

Ombi langu kwa mh Rais kauli hii inachochea chuki miongoni mwa vyama vya siasa na imezua taharuki miongoni wa wananchi wa vyama vyote vya siasa. Kwa kuwa nchi IPO kwenye maridhiano na muafaka wa kitaifa ni bora Nape Nhauye akaondolewa kwenye Baraza la mawaziri ili kuleta utengano wa kisiasa. 4Rs za mh Rais zitaonekana utapeli ikiwa maneno kama haya yataendelea kutolewa na viongozi wandamizi ndani ya serikali.
Hata kabla ya kauli ya Nape, zile 4Rs bado unaziamini?
 
Nape akiondolewa ndiyo CCM itaacha kuiba? 2020 Nape alikuwa ni Waziri? Nape kaja kuwaamsha nanyi hamtaki kuamka
 
Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya habari unaongea ujinga mbele ya watu wazima. Tume ya uchaguzi inapewa pesa nyingi Kila mwaka kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, Leo Nape anasema atamsaidia rafiki yake kushinda uchaguzi kwa njia za halali, nusu halali au halali.

Ombi langu kwa mh Rais kauli hii inachochea chuki miongoni mwa vyama vya siasa na imezua taharuki miongoni wa wananchi wa vyama vyote vya siasa. Kwa kuwa nchi IPO kwenye maridhiano na muafaka wa kitaifa ni bora Nape Nhauye akaondolewa kwenye Baraza la mawaziri ili kuleta utengano wa kisiasa. 4Rs za mh Rais zitaonekana utapeli ikiwa maneno kama haya yataendelea kutolewa na viongozi wandamizi ndani ya serikali.
Kaongea ukweli kabisa, kwani ni lini wagombea wa ccm walishinda kihalali?
 
Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya habari unaongea ujinga mbele ya watu wazima. Tume ya uchaguzi inapewa pesa nyingi Kila mwaka kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, Leo Nape anasema atamsaidia rafiki yake kushinda uchaguzi kwa njia za halali, nusu halali au halali.

Ombi langu kwa mh Rais kauli hii inachochea chuki miongoni mwa vyama vya siasa na imezua taharuki miongoni wa wananchi wa vyama vyote vya siasa. Kwa kuwa nchi IPO kwenye maridhiano na muafaka wa kitaifa ni bora Nape Nhauye akaondolewa kwenye Baraza la mawaziri ili kuleta utengano wa kisiasa. 4Rs za mh Rais zitaonekana utapeli ikiwa maneno kama haya yataendelea kutolewa na viongozi wandamizi ndani ya serikali.
CCM imejaa goons wa kutosha..........viongozi wote ni wahuni tu.
 
Kaongea ukweli kabisa, kwani ni lini wagombea wa ccm walishinda kihalali?
Facts za CCM kushinda zipo ktk website ya NEC; saidia jukwaa facts za namba za wizi wa kura za CCM na katika uchaguzi upi? Huwa sipendi tuhuma tu bila evidence.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom