Rais Samia, muondoe mara moja Nape kwenye Baraza lako la mawaziri. 4Rs unazozihubiri zinaonekana ni utapeli wa kisiasa.

Kifupi kasema Siri za chama na serikali,ni kweli Dola ndio huamua nani apewe na nani anyimwe Kwa maslahi mapana ya nchi yetu!lakini kiweka wazi hadharani ni dalili za migogoro na sintofaham ndani ya chama na serikali!
 
Kifupi kasema Siri za chama na serikali,ni kweli Dola ndio huamua nani apewe na nani anyimwe Kwa maslahi mapana ya nchi yetu!lakini kiweka wazi hadharani ni dalili za migogoro na sintofaham ndani ya chama na serikali!
Ila awe mwangalifu..!!!1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…