Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,773
Reaction score
6,349
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

F2ngeE4WUAAvh0w.jpeg


Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)





Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Sasa sisiemu kweli ina wenyewe wanapeana tonge wao kwa wao lakini uhalisia utaendelea kuwaumbua siku hata siku
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Nchi ambayo mawaziri wanafungua biashara kama uyoga katika sekta zao hilo ni gulio.
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
EEEeeenHEEEeeeee!
Mambo haya siyo ya kicheko; lakini wakati mwingine kucheka kwa maumivu inalazimu.

Na Makamba anasemaje? Hujafika huko mkuu 'CRW'!

Sijui CCM safari hii itatumia uchawi gani kujinasua na yote haya? Hao polisi na tume za uchaguzi, kweli watayamudu yote haya?

LOoooh! Hebu ngoja. Huyu Bwana Spika Mume kwani aliteuliwa kushika nafasi hiyo lini?

Isije ikawa ni wakati wa kuweka saini kwenye IGA ya DP World?
Mambo haya wenyewe huyapanga kwa taratibu wazijuazo wao, ati!
Walijua IGA itapelekwa Bungeni ikapate mhuri wa huko, kwa hiyo wakalainisha mambo kungali mapema.

Si ulishuhudia jinsi Spika alivyocheza kama Pele ndani ya Bunge lile na kufunga magoli kedekede kuhusu uridhiaji wa IGA hiyo?
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Hapo anayepaswa kuwajibika ni Kipara na Katibu Mkuu wake na Bodi ya EWURA!
 
Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.
Hata sielewi kwa nini uliyaweka haya maneno kwenye mada yako.

Unaonyesha uko 'naive' sana (sijui neno zuri la kiswahili linaloendana na hili neno la kigeni, mwenye kujua asaidie).

Rais wa nchi awe hajui jambo nyeti kama hili linatokea nchini mwake?
WaTanzania hapa ndipo huwa nashindwa kuwaelewa kabisa.
 
Hata sielewi kwa nini uliyaweka haya maneno kwenye mada yako.

Unaonyesha uko 'naive' sana (sijui neno zuri la kiswahili linaloendana na hili neno la kigeni, mwenye kujua asaidie).

Rais wa nchi awe hajui jambo nyeti kama hili linatokea nchini mwake?
WaTanzania hapa ndipo huwa nashindwa kuwaelewa kabisa.
Najua anajua sana.
Pia, najua anazidiwa nguvu na Makamba Jr.

Na huyo Mkurugenzi wa EWURA yupo hapo kwa ushawishi wa Makamba.

Naelewa nachoshauri, ni kuonesha tu, kuwa hawezi kuwagusa kina Makamba Jr, pamoja na kujua uovu wao.
 
Najua anajua sana.
Pia, najua anazidiwa nguvu na Makamba Jr.

Na huyo Mkurugenzi wa EWURA yupo hapo kwa ushawishi wa Makamba.

Naelewa nachoshauri, ni kuonesha tu, kuwa hawezi kuwagusa kina Makamba Jr, pamoja na kujua uovu wao.
Mi nadharia yangu ni tofauti na hii yako.
Rais hawezi hata mara moja kumwogopa Makamba.

Nadharia yangu inajikita katika niliyoeleza hapo juu #6.

Ninayo picha nzuri sana juu ya jambo hili.
 
Back
Top Bottom