Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Mimi nimsaidie Bi Tozo kujinasua, kwa sababu zipi hasa?
Sioni chochote katika uongozi wake kwa nchi hii kinachoweza kunisukuma nimsaidie huyu kiongozi, kwa maana amejipambanua wazi kabisa kuwa hana uchungu wowote na maslahi mpana ya nchi hii na wananchi wake..
Na Mwigulu mchumi first class, Dola $ inazidi kupaa.
Kwenye tozo alisema tuhamie Burundi.
 
Haya yote yalitarajiwa baada ya bi tozo kukirudisha serikalini kikosi cha vijana wapigaji.
Tukae kwakutulia. Wameambiwa "WALE KWA UREFU WA KAMBA"
Huu sio urefu wa kamba tena. Ni wizi hadi vya jirani, unyang'anyi sio ulaji.
 
Back
Top Bottom