Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

SAMIA KUKUBALI KUSHINDWA PIA NI USHINDI MAMA.

UMEJARIBU, ULIVYOFANIKIWA UMEFANIKIWA, HEBU KAA PEMBENI UPISHE WENGINE NAO WAJARIBU.

USIVUNJE STAHA ULIYOJIJENGEA KWA MUDA MREFU KWA KUNG'ANG'ANIA USIVYOWEZA. URAISI HUUWEZI MAMA.

na makamu wake nae ni shida sana utafikiri mgonjwa
 
Mafuta yanapanda kwa 400 lakini bajeti inatekelezwa ileile iliyowasilishwa na madelu, napendekeza madelu akaandae bajeti mpya itakayoendana na mlipuko huu wa bei ya mafuta.
 
Kwa mantiki hiyo ni kwamba Sipika alikuwa Hana taarifa kutoka wapi maana Tabasamu ndiyo alikuwa ana karibu kiipresent
Nafikiri alimaanisha taarifa ya jambo kubwa jipya ili aliweke kwenye ratiba. Lakini aliambiwa alipelekewa memo siku moja kabla, kwa maslahi ya umma, amgeruhusu hoja ya Mbunge ifike mwisho, na serikali ilete majibu.
 
muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA???

EWURA sio muangizaji wa mafuta mkuu???

Peleka hoja yako PBPA labda utasikilizwa!!

PBPA is a Government Agency established under the Executive Agencies Act, vide GN. No. 423 of 25th September, 2015. As prescribed in the Regulations, the

Agency is mandated to administer and manage the importation of petroleum products in the country.

OUR AIM

To coordinate and manage efficient procurement of petroleum products through Bulk Procurement System (BPS)

OUR VISION

To be an effective and model institution in the procurement and delivery of quality and reliable petroleum products at national and regional levels.

OUR MISSION

To provide quality and cost effective petroleum products through coordination and management of Bulk Procurement System to ensure reliability and security of supply and contribute to the sustainable socio-economic and national development.

PBPA ROLES AND FUNCTIONS
Forecast and determine demand and supply of petroleum products;

Collect procurement requirements of petroleum products from OMCs;

Conduct international competitive bidding for procurement of bulk petroleum products;

Report to the Ministry on Agency’s activities on monthly basis or as may be required by the Ministry;

Prepare plans and budget to cover its Operations;

Conclude and administer contracts with suppliers and between Agency and OMCs;

Relay information, in a timely manner, related to petroleum business to the Authority, Ministry responsible for Petroleum affairs, TRA, TPA, TBS, WMA and other relevant parties when requested;

Coordinate diligent receipts by OMCs of petroleum products from the delivery vessels;

Maintain records of the shipments and performance;

Coordinate invoicing and collection of payments for respective shares of petroleum products imported by an OMC;

Appoint an inspector to ensure delivery of acceptable quantity and quality of petroleum products;

Issue directives and undertake any function that aims at improving efficiency procurement of petroleum products;

Liaise with the Authority on issues related to the importation of petroleum products;
and
Report to the Minister and the Authority on Agency’s activities on a monthly basis or as may be required.

EWURA:
Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an autonomous multi-sectoral regulatory Authority established by Cap 414 . In discharging its duties and functions on petroleum sub-sector, the Authority is obliged to comply and enforce the Petroleum Act, 2015, Cap 392 that is a sector’s legislation.

Under these instruments, the Authority is mandated to regulate the Mid and Downstream petroleum sub-sector in Tanzania Mainland, covering technical, economic and safety regulatory functions. Regulatory functions that are implemented by EWURA in this sub sector are geared to:

Monitor for the sake of ensuring security and quality of petroleum products supply in the country;

Optimize costs in respect of procurement, storage, transportation and distribution of petroleum products;

Attract investment through licensing in the petroleum mid and downstream operations, thus helping to ensure a reliability in the supply of petroleum products throughout the country;

Create a level playing field to protect the interest of efficient service providers or suppliers;
and
Implement government policies as outlined in the Energy Policy framework.

The ultimate goal of EWURA (the Authority) is to protect the interests of consumers, efficient suppliers and the government, which together are key Authority’s stakeholders.
Naelewa ulichoandika.

Licensing Authority ya hapo PBPA, ni EWURA, na ipo influence ya nyuma ya korido.

People are acting smarter.

Hii ni Regulation inayoendesha hao PBPA.
 

Attachments

Nimeshakueleza sio PURA walishaondelewa hayo mamlaka ya kuagiza mafuta hiyo regulation yako ndio ilianzisha PBPA.


Maelezo yote, majukumu ya PBPA na mchakato wa ‘bulk procurement’ yameelezwa hapo juu kwenye link ya website yao including hizo regulations unazoleta zilizofanya kuanzishwa kwa PBPA.
Asante kwa kuwa pamoja ktk hoja na ueledi.
 
Ni was tunaibiwa Sana na batina kashajifunza wizi na amependa madarak hvyo wanataka arud ofcn 2026 bungeni Kam spika kwa vuovyote vile pesa zinakuzanywa sana
Ni wa ajabu sana. Tulia ni mbinafsi na mroho kweli. Sikujua
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Kwa hiyo MD wa Ewura ndio wanazalisha nakusafirisha mafuta si ndio?

Rais sio mjinga kama wewe
 
Kwa hiyo MD wa Ewura ndio wanazalisha nakusafirisha mafuta si ndio?

Rais sio mjinga kama wewe
Shida ni kuadimika kwa dola $.

Hiyo sababu yako ya kuzalisha na kusafirisha mafuta umeitoa wapi
 
HIVI UNADHANI HAJUI..? ANAJUA VIZURI TU...ILA NI HIVYO NI PICHA TU HATA HAITISHI.
 
Back
Top Bottom