Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Inaumiza sana jamani wanatutesa wananchi. Utafikiri hawatokufa wakaziacha hizo mali😪
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Duh
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA???

EWURA sio muangizaji wa mafuta mkuu???

Peleka hoja yako PBPA labda utasikilizwa!!

PBPA is a Government Agency established under the Executive Agencies Act, vide GN. No. 423 of 25th September, 2015. As prescribed in the Regulations, the

Agency is mandated to administer and manage the importation of petroleum products in the country.

OUR AIM

To coordinate and manage efficient procurement of petroleum products through Bulk Procurement System (BPS)

OUR VISION

To be an effective and model institution in the procurement and delivery of quality and reliable petroleum products at national and regional levels.

OUR MISSION

To provide quality and cost effective petroleum products through coordination and management of Bulk Procurement System to ensure reliability and security of supply and contribute to the sustainable socio-economic and national development.

PBPA ROLES AND FUNCTIONS
Forecast and determine demand and supply of petroleum products;

Collect procurement requirements of petroleum products from OMCs;

Conduct international competitive bidding for procurement of bulk petroleum products;

Report to the Ministry on Agency’s activities on monthly basis or as may be required by the Ministry;

Prepare plans and budget to cover its Operations;

Conclude and administer contracts with suppliers and between Agency and OMCs;

Relay information, in a timely manner, related to petroleum business to the Authority, Ministry responsible for Petroleum affairs, TRA, TPA, TBS, WMA and other relevant parties when requested;

Coordinate diligent receipts by OMCs of petroleum products from the delivery vessels;

Maintain records of the shipments and performance;

Coordinate invoicing and collection of payments for respective shares of petroleum products imported by an OMC;

Appoint an inspector to ensure delivery of acceptable quantity and quality of petroleum products;

Issue directives and undertake any function that aims at improving efficiency procurement of petroleum products;

Liaise with the Authority on issues related to the importation of petroleum products;
and
Report to the Minister and the Authority on Agency’s activities on a monthly basis or as may be required.

EWURA:
Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an autonomous multi-sectoral regulatory Authority established by Cap 414 . In discharging its duties and functions on petroleum sub-sector, the Authority is obliged to comply and enforce the Petroleum Act, 2015, Cap 392 that is a sector’s legislation.

Under these instruments, the Authority is mandated to regulate the Mid and Downstream petroleum sub-sector in Tanzania Mainland, covering technical, economic and safety regulatory functions. Regulatory functions that are implemented by EWURA in this sub sector are geared to:

Monitor for the sake of ensuring security and quality of petroleum products supply in the country;

Optimize costs in respect of procurement, storage, transportation and distribution of petroleum products;

Attract investment through licensing in the petroleum mid and downstream operations, thus helping to ensure a reliability in the supply of petroleum products throughout the country;

Create a level playing field to protect the interest of efficient service providers or suppliers;
and
Implement government policies as outlined in the Energy Policy framework.

The ultimate goal of EWURA (the Authority) is to protect the interests of consumers, efficient suppliers and the government, which together are key Authority’s stakeholders.
 
Uache ubishi.
Uwe unapitia madesa ya hizi mamlaka ndio unakuja kubisha.

Wengine tunaandika kwa faida ya Taifa tu.

EWURA ndio msimamizi wa juu wa hiyo Agency ya kuagiza mafuta.

Sheria ninayo.

Ila kwa ufupi, pitia hizi
View attachment 2707648

Hapa chini tena..

View attachment 2707649

Mpaka hapo unaelewa nani anamsimamia mwingine.

NB: Ni PBRA, sio PURA kama ulivyoandika wewe.
Kama atarudi kubisha basi atakuwa ni Mume wa Spika
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Kwa mantiki hiyo ni kwamba Sipika alikuwa Hana taarifa kutoka wapi maana Tabasamu ndiyo alikuwa ana karibu kiipresent
 
Mimi na mke wangu tunashindana tuone Nani kaingiza pesa nyingi.
Nikimuona mke wangu amehongwa milioni 2.5 namhakikishia namimi napiga 400x500,000,000 mpaka calculator isome error ndio labda mwanamke ataacha kuhongwa.
Ndio nimekurupuka toka usingizini hivi topik Ni nini?
Umechamba?
 
SAMIA KUKUBALI KUSHINDWA PIA NI USHINDI MAMA.

UMEJARIBU, ULIVYOFANIKIWA UMEFANIKIWA, HEBU KAA PEMBENI UPISHE WENGINE NAO WAJARIBU.

USIVUNJE STAHA ULIYOJIJENGEA KWA MUDA MREFU KWA KUNG'ANG'ANIA USIVYOWEZA. URAISI HUUWEZI MAMA.
Unatukana viongozi?
 
tanzania ni nchi pekee yenye wajinga wa kuonewa na wakachekelea na kushangilia sana
 
Mi nadharia yangu ni tofauti na hii yako.
Rais hawezi hata mara moja kumwogopa Makamba.

Nadharia yangu inajikita katika niliyoeleza hapo juu #6.

Ninayo picha nzuri sana juu ya jambo hili.

kinachomuharibia Rais kuna baadhi ya viongozi hawezi kuwagusa ni kwa sababu baba zao wanaumaarufu au wana nguvu kwa hiyo hata wakikosea ataongea nao pembeni kwa upole lakini hawatamsikiliza kwa kujua hata wafanya kitu, hapo Rais samia uongozi wake unavyoporomoka siku hadi siku mpaka inaonekana hafai kuongoza
 
tatizo lingine la bei ya mafuta kupanda ni tozo iliwekwa na mwigulu tozo mpya hiyo
 
Back
Top Bottom