Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekushauri ukae kimya, huu mjadala unakuzidi kimo...kwa kukaa ukimya utakuwa angalau umejisetiri kwa kiasi fulani.Mchakato wote wa ‘bulk procurement’ huo hapo juu, EWURA hawana influence yoyote.
Ni CCM imetufikisha hapa tulipo.Inaumiza sana jamani wanatutesa wananchi. Utafikiri hawatokufa wakaziacha hizo mali😪
DuhLeo naandika kwa hasira.
Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?
Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!
Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-
Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.
View attachment 2707561
Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.
Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.
(Video)
View attachment 2707562
Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.
B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.
Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!
Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!
Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.
Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.
Huu ni uwendawazimu!
Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.
Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!
Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.
Tuibe lakini tutumie akili kidogo.
Huu ni uwendawazimu!
muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA???Leo naandika kwa hasira.
Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?
Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!
Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-
Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.
View attachment 2707561
Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.
Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.
(Video)
View attachment 2707562
Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.
B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.
Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!
Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!
Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.
Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.
Huu ni uwendawazimu!
Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.
Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!
Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.
Tuibe lakini tutumie akili kidogo.
Huu ni uwendawazimu!
Kama atarudi kubisha basi atakuwa ni Mume wa SpikaUache ubishi.
Uwe unapitia madesa ya hizi mamlaka ndio unakuja kubisha.
Wengine tunaandika kwa faida ya Taifa tu.
EWURA ndio msimamizi wa juu wa hiyo Agency ya kuagiza mafuta.
Sheria ninayo.
Ila kwa ufupi, pitia hizi
View attachment 2707648
Hapa chini tena..
View attachment 2707649
Mpaka hapo unaelewa nani anamsimamia mwingine.
NB: Ni PBRA, sio PURA kama ulivyoandika wewe.
Kwa mantiki hiyo ni kwamba Sipika alikuwa Hana taarifa kutoka wapi maana Tabasamu ndiyo alikuwa ana karibu kiipresentLeo naandika kwa hasira.
Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?
Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!
Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-
Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.
View attachment 2707561
Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.
Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.
(Video)
View attachment 2707562
Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.
B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.
Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!
Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!
Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.
Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.
Huu ni uwendawazimu!
Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.
Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!
Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.
Tuibe lakini tutumie akili kidogo.
Huu ni uwendawazimu!
Umechamba?Mimi na mke wangu tunashindana tuone Nani kaingiza pesa nyingi.
Nikimuona mke wangu amehongwa milioni 2.5 namhakikishia namimi napiga 400x500,000,000 mpaka calculator isome error ndio labda mwanamke ataacha kuhongwa.
Ndio nimekurupuka toka usingizini hivi topik Ni nini?
Unatukana viongozi?SAMIA KUKUBALI KUSHINDWA PIA NI USHINDI MAMA.
UMEJARIBU, ULIVYOFANIKIWA UMEFANIKIWA, HEBU KAA PEMBENI UPISHE WENGINE NAO WAJARIBU.
USIVUNJE STAHA ULIYOJIJENGEA KWA MUDA MREFU KWA KUNG'ANG'ANIA USIVYOWEZA. URAISI HUUWEZI MAMA.
Mi nadharia yangu ni tofauti na hii yako.
Rais hawezi hata mara moja kumwogopa Makamba.
Nadharia yangu inajikita katika niliyoeleza hapo juu #6.
Ninayo picha nzuri sana juu ya jambo hili.