Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Hii nchi imejaa aibu na ujinga mwingi sana.

Tuendelee kumuomba Mungu. Kila jambo lina majira na sababu zake

Mungu mnamsingizia tu, kuendelea kumusumbua muumba kwa ujinga na utindiga wa akili zetu waafirika ni Ujinga+, inchi inaliwa hii nyie endeleeni kuomba.
 
Hata sielewi kwa nini uliyaweka haya maneno kwenye mada yako.

Unaonyesha uko 'naive' sana (sijui neno zuri la kiswahili linaloendana na hili neno la kigeni, mwenye kujua asaidie).

Rais wa nchi awe hajui jambo nyeti kama hili linatokea nchini mwake?
WaTanzania hapa ndipo huwa nashindwa kuwaelewa kabisa.
Yaani akili zetu visoda sana. Na ndio zimejaa kila mahali. Inakuwaje walanguzi wako ofcn?
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
JWTZ na TISS Wetu hawahusiki na mambo ya uchumi.
 
SAMIA KUKUBALI KUSHINDWA PIA NI USHINDI MAMA.

UMEJARIBU, ULIVYOFANIKIWA UMEFANIKIWA, HEBU KAA PEMBENI UPISHE WENGINE NAO WAJARIBU.

USIVUNJE STAHA ULIYOJIJENGEA KWA MUDA MREFU KWA KUNG'ANG'ANIA USIVYOWEZA. URAISI HUUWEZI MAMA.
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Ni was tunaibiwa Sana na batina kashajifunza wizi na amependa madarak hvyo wanataka arud ofcn 2026 bungeni Kam spika kwa vuovyote vile pesa zinakuzanywa sana
 
Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?
Hii nadhani baadhi ya mifumo ama baadhi ya watu nchi hii wakiona una uwezo wa kujakukisaidia Taifa bila kujali wa aliyenacho na asiyenacho unatengenezewa "blackmailing scheme".

KUna walazimishwa fanya Jambo ta hawati lakini baadhi ya mfumo yawafunga..wafanyeje!!!

Nishati ni injini ya Uchumi na maendeleo ya nchi isichezewe !
 
EEEeeenHEEEeeeee!
Mambo haya siyo ya kicheko; lakini wakati mwingine kucheka kwa maumivu inalazimu.

Na Makamba anasemaje? Hujafika huko mkuu 'CRW'!

Sijui CCM safari hii itatumia uchawi gani kujinasua na yote haya? Hao polisi na tume za uchaguzi, kweli watayamudu yote haya?

LOoooh! Hebu ngoja. Huyu Bwana Spika Mume kwani aliteuliwa kushika nafasi hiyo lini?

Isije ikawa ni wakati wa kuweka saini kwenye IGA ya DP World?
Mambo haya wenyewe huyapanga kwa taratibu wazijuazo wao, ati!
Walijua IGA itapelekwa Bungeni ikapate mhuri wa huko, kwa hiyo wakalainisha mambo kungali mapema.

Si ulishuhudia jinsi Spika alivyocheza kama Pele ndani ya Bunge lile na kufunga magoli kedekede kuhusu uridhiaji wa IGA hiyo?
Aliniudhi mno jins alivyo fanya kaza za mwanasheria mkuu mpuuz Sana betina
 
Polisi kwenye uchaguzi ujao,wawaambie chama tawala kuwa wao hawajihusishi na siasa.Ngoma ibaki kwao na upinzani,tuone itakuaje.
Embu acha hz siasa ccm kungoka Ni kwa mtutu wa bunduki
 
Soma sheria basi nilizokupa.

View attachment 2707696

View attachment 2707697
Hii ni PBRA, tena ipo chini ya usimamizi wa EWURA.

Website ya PURA, hapa chini wala hawahusiki na kuagiza mafuta

https://www.pura.go.tz/pages/roles-and-functions

Ujinga unabisha, uliza uelimishwe
Nimeshakueleza sio PURA walishaondelewa hayo mamlaka ya kuagiza mafuta hiyo regulation yako ndio ilianzisha PBPA.


Maelezo yote, majukumu ya PBPA na mchakato wa ‘bulk procurement’ yameelezwa hapo juu kwenye link ya website yao including hizo regulations unazoleta zilizofanya kuanzishwa kwa PBPA.
 
Polisi kwenye uchaguzi ujao,wawaambie chama tawala kuwa wao hawajihusishi na siasa.Ngoma ibaki kwao na upinzani,tuone itakuaje.
Polisi hawawezi wakipewa kitu kidogo wanasahau msoto unaozikumba familia zaos.
 
EEEeeenHEEEeeeee!
Mambo haya siyo ya kicheko; lakini wakati mwingine kucheka kwa maumivu inalazimu.

Na Makamba anasemaje? Hujafika huko mkuu 'CRW'!

Sijui CCM safari hii itatumia uchawi gani kujinasua na yote haya? Hao polisi na tume za uchaguzi, kweli watayamudu yote haya?

LOoooh! Hebu ngoja. Huyu Bwana Spika Mume kwani aliteuliwa kushika nafasi hiyo lini?

Isije ikawa ni wakati wa kuweka saini kwenye IGA ya DP World?
Mambo haya wenyewe huyapanga kwa taratibu wazijuazo wao, ati!
Walijua IGA itapelekwa Bungeni ikapate mhuri wa huko, kwa hiyo wakalainisha mambo kungali mapema.

Si ulishuhudia jinsi Spika alivyocheza kama Pele ndani ya Bunge lile na kufunga magoli kedekede kuhusu uridhiaji wa IGA hiyo?
Wote na mkewe waliteuliwa na Magufuli
 
Leo naandika kwa hasira.

Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?

Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!

Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-

Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.

View attachment 2707561

Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.

Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.

(Video)

View attachment 2707562



Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.

B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.

Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!

Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!

Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.

Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.

Huu ni uwendawazimu!


Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.

Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!

Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.


Tuibe lakini tutumie akili kidogo.


Huu ni uwendawazimu!
Eee kumbe MH ... ni .... wa huyu duh! Asante kwa taarifa hii muhimu sikuwa nayajua haya
Aise ...!!!
 
Tumlaumu Nani sasa kuwa Muwazi, Waziri WA Tozo Kwa Kiasi Gani, Waziri WA Dollar Naye Kwa Kiasi Gani, na Kwanza kwanini kuna tatizo la Dollar , au ndio hivyo washauri wetu ni Zembwela. Haya na huyo Pura ndiye aliyechezea Tenda, wasimamizi wake ni Nani Mrisho Mpoto au Mgema Safia
Matatizo ya uhaba wa dollar sio mapya Tanzania ila sidhani kama yamewahi kufikia kiwango hiki hadi kuhatarisha import ya mafuta.

Ndio kuna sababu za msingi za kiuchumi kufanya dollar hii-appreciate in value. Mainly due to higher interest rate set by US Federal Reserve zinazopelekea increase in libor rate kwenye inter-banking lending. But also ndani ya uchumi wa Tanzania kuna increase in demand ya dollar not necessary kwa sababu za biashara za waagizaji ila artificial economic activities za ufisadi na biashara haramu na kusababisha shortage kwenye circulation.

Wakulaumiwa number moja ni serikali kwa kuacha wizi wa hela nyingi ukithiri na kusababisha artificial economy; pamoja na sera mbovu za kusimamia bureau de changes.
 
2C3E1E17-97EF-4986-94F9-1F192780F9B3.jpeg

60F7AB86-A5BF-4A30-A665-B2528C8F2120.jpeg

EADBEE70-9AC2-4C7D-8041-4D6E8E4DA233.jpeg

DEB31C03-5ABA-4FA2-BF34-EBD115E976D8.jpeg

B341DC4F-31B9-42BD-A7D3-26F9DC17FF20.jpeg

A8359ABE-34CD-4761-B2F6-81EDC1919C75.jpeg


Mchakato wote wa ‘bulk procurement’ huo hapo juu, EWURA hawana influence yoyote.

Huyo betina na mumewe ni mafisadi tu na wenyewe; ila kila fisadi abebeshwe mzigo wake hapo kwenye uagizaji wa mafuta hawapo.
 
Back
Top Bottom