DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Hata kama angekuwa wewe au mimi ingebidi tuwajibishwe..., issue sio fulani anafanya nini issue ni kama Sheria imevunjwa....,

Hata kama sio kweli tumeaminishwa no one is above the Law... Hio ndio misingi inayoleta peace and harmony (kwamba hakuna anayeonewa)

Tatizo la Wapuuzi wachache kuvunja Sheria waziwazi inafanya kazi ya Watendaji kuwa ngumu sana..., sababu inaweza kutokea mgomo baridi kwamba fulani mbona hafanyi hivi....,

Mambo madogo madogo kama haya ambayo hayana hata umuhimu na ulazima impact yake inaweza kuwa mbaya zaidi....

'Justice should not only be done, but should manifestly and undoubtedly be seen to be done'
Sasa wanangoja nini hao TRA?
 
Mleta uzi una roho mbaya,,, yani mtoto wa rais anafanya kazi ya halali yenye kuonekana lkn bado mnaleta longolongo au mlitaka na yeye auze sembe labda apate miela mingi ili muongee vizuri,, au na yeye labda atiwe kwenye system kama walivyofanya viongozi wengi tu kuwaweka watoto wao kwenye serikali.. nimefurahi sana kusikia mtoto wa mama anauza matairi kariakoo,, hayo mengine nongwa
Bora asifanye kuliko kuifanya ndivyo sivyo inaweza kuwa mfano kwa wengine kuifanya ndivyo sivyo (akiamua kufanya well and good kwanini asifanye kwa ufasaha na kuwa mfano wa kuigwa)?

Kama kweli anafanya faulo bora hizo faulo akazifanyie huko pasipoonekana..., Kila siku narudia haya maneno..., Wapuuzi wengi wa sasa hawajui kula na Vipofu, na hii impact ya upuuzi wao itatu-cost hata sisi watazamaji....
 
Sasa wanangoja nini hao TRA?
According to Mleta Uzi allegedly Maafisa wakitaka kufanya kitu simu zinapigwa kutoka juu kwamba wasifanye..., Pia jamaa anaji-mwambafai kwa kufanya huu upuuzi.... (Ingawa hizi ni allegations binafsi sina uhakika)

Kwahio simuongelei Dogo per-se sababu huenda anasingiziwa naongelea yoyote anayefanya au anataka kufanya huu Upuuzi
 
According to Mleta Uzi allegedly Maafisa wakitaka kufanya kitu simu zinapigwa kutoka juu kwamba wasifanye..., Pia jamaa anaji-mwambafai kwa kufanya huu upuuzi.... (Ingawa hizi ni allegations binafsi sina uhakika)

Kwahio simuongelei Dogo per-se sababu huenda anasingiziwa naongelea yoyote anayefanya au anataka kufanya huu Upuuzi
Hivi Tanzania hii na mimali iliyokuwepo angekuwa huyo si mtoto mwema angekaa kuuza tairi? Saa hizi si angekuwa godfather wa wawekezaji mabilionea.

Mleta nada ni mjinga mmoja aliyekosa cha kuandika, ni katika vibaraka wa sukuma gang.
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Bakhresa anauza lambalamba 500, MO anauza juice za 200.
Wao ni masikini pia?
 
Kuna mambo ya kufanyia utani. Tatizo ni kutojuwa ni yapi yanayohusu utani wakati unapotoa maoni.

Kuna mambo mengi sana sikukubaliana na aliyokuwa akifanya marehemu Magufuli; lakini nadhani nchi hii inahitaji sana uongozi wa aina ile, vinginevyo tutakuwa ni taifa la kipumbavu pumbavu tu, kwa aina ya baadhi ya raia wetu walivyo.
Henchmen wake akina Makonda, Sabaya, Musiba na wengine bado wapo, wanaweza kuendeleza pale walipoishia enzi za Jiwe wapigie tu chapuo wazo linaweza kusikilizwa.
All in all si-support ujinga wa mtu yoyote kukwepa kodi au viongozi kuanzisha companies kwa kutumia majina ya watu wengine huku zikipewa tenders muhimu(kama alivyokuwa akifanya Jiwe).
Tunahitaji nchi inayofuata utawala wa sheria, katiba itakayozipa institutions nguvu na kuwabana viongozi waweze kushitakiwa, viongozi muhimu wasiwe presidential appointees kiasi kwamba wawe na nguvu ya kumuwajibisha au kumsimamisha kizimbani au pawepo mamlaka za kuweza kumsimamisha kwa ajili ya uchunguzi unaomuhusu. Hata hili la mtoto wake alipaswa kuhojiwa na kulazimishwa kutoa public statement kwani linamchafua direct, kwenye civilized countries watoto wa viongozi huogopa sana scandals za aina hiyo(kukwepa kodi) kwani zinamuathiri moja kwa moja mzazi(kiongozi).
TRA nao huonea sana wafanyabiashara wasio na 'connections' ili wapewe rushwa kwa hiyo scandals zao pia ni nyingi mno ndiyo maana wanakuwa waoga kwani wakimbana mtoto wa kiongozi whistleblowers watapayuka na kuuanika uozo wao na wanaweza hata kujikuta wakisimama kizimbani, kwa kifupi maafisa wa TRA ni majambazi wanaofanya ujambazi wao mchana kweupe.
 
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
TRA officer kaamua kua mkuda[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila kwa ishu hizi hata ushindani wa biashara unakua wa mashaka!
 
Hujaja huku Moro uone balaa lake!
Mlio karibu nae mwambieni afanye tu Ibada akiweza aende na Hija

Turiani kwenye mashamba yake ya miteak au Moro sehemu gani?
 
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
Kwahiyo wanamtarget kila siku sababu ni mtoto wa rais? 🤔..
Sisi wabongo ni wanafiki sana,, kama kila mtu angelipa kodi stahiki, hii nchi ingekuwa tjiri kuzidi america,
99.9 ya wabongo wanakwepa kodi, nikiwemo mimi😆😆
 
Ukisoma comment za watu wengi humu ni kwamba nchi hii watu tushazoea uvunjifu wa sheria kiasi kwamba as long as una cheo basi ni haki yako kufanya chochote. Halafu watu hawa hawa baadaye utasikia wanasifia kuheshimu sheria katika nchi za wenzetu. Afrika bwana.

Mimi narudia kusema, shida ya nchi hii sio katiba bali ni utayari wa kuheshimu hata hiyo katiba. Kama mawazo na fikra za wananchi wenyewe ndio kwamba mtoto wa raisi anaweza fanya chochote, au anaweza kupewa exclusive right ya kuagiza hata matairi, hata ije katiba mpya hakuna kitakachobadilika. TRA yenyewe ina mamlaka ya kukusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara ila simu moja tu inawazuia kufanya hivyo.
We ndio umepatia,, tatizo liko kwa wabongo wenyewe, sio katiba mpya, au chama cha siasa,, wabongo wengi ni wezi, wala rushwa na wakwepakodi wazuri,, na hili tatizo halina dawa,, hata chama gani kikishika nchi,
Hivyo bora zimwi likujualo, A known entity is better than unknown entity...
There is known known, and known unknown, what is unknown is not known, and what is known isnt unknown🤷🏽‍♂️
 
We ndio umepatia,, tatizo liko kwa wabongo wenyewe, sio katiba mpya, au chama cha siasa,, wabongo wengi ni wezi, wala rushwa na wakwepakodi wazuri,, na hili tatizo halina dawa,, hata chama gani kikishika nchi,
Hivyo bora zimwi likujualo, A known entity is better than unknown entity...
There is known known, and known unknown, what is unknown is not known, and what is known isnt unknown🤷🏽‍♂️
Hiyo paragraph ya mwisho nikajua Pascal Mayalla aka Njaa, mpaka ikabidi nisome ID hapo juu.
 
Mtoto wa Rais ndo auze matairi tena kariakoo soko la machinga. Acheni fitina wewe una chuki tu na huyo mtu wala hana uhusiano na Rais
 
Hivi Tanzania hii na mimali iliyokuwepo angekuwa huyo si mtoto mwema angekaa kuuza tairi? Saa hizi si angekuwa godfather wa wawekezaji mabilionea.

Mleta nada ni mjinga mmoja aliyekosa cha kuandika, ni katika vibaraka wa sukuma gang.
Leo Sukuma Gang wamekuwa wabaya.!? Mapambio ya Magufuli mmeyasahau siku hizi!? Hii ni bonge la "U turn". Bendera fata upepo hii.
 
Acheni kumsumbua kijana. Mama yake anaupigwa mwingi. Huko ni kumtafutia matatizo na kumgawa mama yake kwenye fikra za watu.
Kama mnajua anaweza nasuka kwanini mumsumbue.
Acheni ujinga na kupoteza muda
Nchi hii uhuru umepitiliza sana. Sasa hapo umeandika nini kwa hiyo unatetea uovu. Aiseeeee.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom