DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
We mtu Wakati nazozana na Wewe pale ulisema unajua utaenda kulisema mahali kumbe umekuja huku. 🤔️. Subiri simu nyingine Toka juu.
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Hata mimi nashangaa.
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Really Really?n Eti biashara ya kimasikinimaanayake nini , ikiwa yakimaskini ndio akwepe kodi no way out Ndiomaana wazazi wao wakitoka nadarakaninwanaishimkwa tabu kwa kuzoea kubebwa.Anapaswa kulipa kodimkamammfanyanbiashara mwingine
 
Inashangaza kuona watu wanaona sawa kwa mtoto wa kiongozi kuvunja sheria na kutumia cheo cha mzazi kama ngao.

Cc😀r Mollel.
 
Mtoto wa Rais kufanya dili zinazoonekana kama za kusukuma tairi, naona kama kajishusha sana...

Kuna Rais wanaye ulikuwa hata hujui wanapiga dili gani...

Hata hivyo ni vyema akafuata sheria, sababu inahubiriwa kwamba hakuna aliye juu ya sheria japo kiafrika ni ngumu...

mkuu kwa hiyo ulitaka nayeye auze ngada? Au utumie hela ya Uma kama wanavyofanya wengine?
 
Kama yanayosemwa ni kweli inayochezewa ni serikali na nchi kwa ujumla.kwahiyo usichukulie kirahisi mambo kama hayo.Tra ni chombo chetu sisi wananchi kinakusanya kodi zetu sisi wananchi kwa niaba yetu ili serikali tuliyoichagua izitumie kutuletea maendeleo.sasa ukiona kuna mtu anatumia wadhifa wake au wa mtu kuhujumu kodi zetu inatakiwa tuwe wakali.Taifa la wanaojitambua huwezi kukuta ujinga wa hivyo.
Umenena mkuu kuna wajinga wengi humu, angekuwa hayo kayafanya mtu wa kawaida ungesikia kelele nyingi lakini kwa kuwa ni mtoto wa mkubwa wao wanaona sawa tu, ingekuwa nchiza wenzetu hiyo ilitosha kuwa kashfa, mtoto wa masikini alipe kodi na mtoto wa mkubwa asilipe kodi kweli tutafika?
 
Hayo ni moja ya matatizo sugu yanayowatesa waTZ, Na lakusikitisha zaidi ni kuwa sisi ambao tupo nje ya mfumo tunatamani na sisi tupate fursa kama hiyo ili nasisi tupate nafasi ya kuvunja sheria.
 
Ni ujinga kumshambilia mtoa taarifa inawezekana huyu ni mmoja wa maafisa wa tra lakini ameona sehemu sahihi ya kusemea hili jambo ni hapa jf Sasa unashangaa Kuna wapumbavu humu wanauliza ushahidi wakati hawana ushahidi kama kweli hakwepi Kodi na wengine wanaona ni sawa tu lijamaa kukwepa Kodi wakati hata mmachinga analipa Kodi hii jf imevamiwa Ina mazuzu wengi Sana njaa imepofusha akili za wengu humu wakati mwingine wanatetea mpaka ujinga inasikitisha sana

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Umenena mkuu kuna wajinga wengi humu, angekuwa hayo kayafanya mtu wa kawaida ungesikia kelele nyingi lakini kwa kuwa ni mtoto wa mkubwa wao wanaona sawa tu, ingekuwa nchiza wenzetu hiyo ilitosha kuwa kashfa, mtoto wa masikini alipe kodi na mtoto wa mkubwa asilipe kodi kweli tutafika?
We mgeni wa tawala za kiafrika au

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom