Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia Sana.

Angalieni walivyobadilisha jina na kuita TOZO watasema hawafanyi double taxation... Ila ukweli wanaujua na tushaujua mtumishi ulieongizewa tsh 10000/= sasa unarudisha hela serikalini kwa mgongo wa Tozo.

Waziri mzima unajiita Daktari wa Uchumi kweli kwa ujinga huu, hujui mtumishi analipa kodi kila mshahara anaopata mwisho wa mwezi halafu unakuja kumuwekea tozo, tozo kwa ajiri ya nini?

Na neno lenyewe tozo limekaa kama faini au kitu unachotoa sababu umefanya kitu flani au umetumia kitu fulani.

Mfano nauli ya daladala ni tozo ndiyo maana tunasema amenitoza nauli na ikiwa sio sawa tutasema amenitoza nauli kubwa, ila hizi tozo hazina msingi.
 
ongezeni sauti
FB_IMG_1661074236966.jpg
 
 
Hali ngumu mtaani hatari hawa jamaa hawana huruma badala yakupunguza wao matumizi makubwa serikalini kila kitu ameachiwa mwananchi v8 zinapishana dodoma to daresalam haileweki wizara zipo wapi hakuna waziri iwe kiongozi wa nchi anayekaa Dodoma mama anaruka na lindege kila siku. hii inaitwa dying hard.

giphy.gif
 
Umezaliwa ili uongozwe.Sasa hutaki kulipa tozo wakati Yesu mwenyewe alituasa tumpe Kaizari kilicho chake?Goma ufungwe.Goma tu uuone moto!😂😂😂😂
Kwanini hizo changamoto zisianze kwao kama mfano ili akili zao zichangamke nao zaidi?
 
tozo tozo hata sehemu hapastahili tozo wao wanaweja tozo et dr.wauchumi
FB_IMG_1661078745282.jpg
 
Back
Top Bottom