Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

Nimefanya kazi,mshahara wangu baada ya kukatwa kodi(PAYE) unaingizwa benki,kwenda kuichukua hiyo hela ambayo tayari Serikali umeshachukua kodi yake ninakatwa kodi nyingine iliyobatizwa jina la tozo. Huu unyang'anyi lazima ukomeshwe
 
Yaani INPUT=OUTPUT.
Kazi iendelee.
 
Aliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia Sana.

Angalieni walivyobadilisha jina na kuita TOZO watasema hawafanyi double taxation... Ila ukweli wanaujua na tushaujua mtumishi ulieongizewa tsh 10000/= sasa unarudisha hela serikalini kwa mgongo wa Tozo.

Waziri mzima unajiita Daktari wa Uchumi kweli kwa ujinga huu, hujui mtumishi analipa kodi kila mshahara anaopata mwisho wa mwezi halafu unakuja kumuwekea tozo, tozo kwa ajiri ya nini?

Na neno lenyewe tozo limekaa kama faini au kitu unachotoa sababu umefanya kitu flani au umetumia kitu fulani.

Mfano nauli ya daladala ni tozo ndiyo maana tunasema amenitoza nauli na ikiwa sio sawa tutasema amenitoza nauli kubwa, ila hizi tozo hazina msingi.
Kila ubaya utalipwa
 
M7 aliulizwa mwananchi wake kwenye ziara mojawapo kuwa "baba sukari mbona inapunja sana wakati inatngenezwa nchini?"baada ya ilo swali kumchanganya, aliamua kumtuma afisa wake ili amuulize yule mwananchi kuwa sukari inauzwa bei gani.Baada ya majibu M7 akasema nilifikiri kilo moja ya sukari inauzwa sh.60,000, kumbe bado inauzwa sh.7,000 tu?
 
Na kila kitu sasa kimepanda kwa ajiri ya tozo, DSTV sasa kifurushi kimeongezeka 51,000-55,000 Tshs, hii ni kutiana full umaskini, Mwigulu akishinda hata ubunge bila wizi nitashangaa sana na tozo itakuwa halali
 
Wewe unaonekana ni mwizi tu hulipi kodi wala tozo, hapa tuachie peleka ufala wako kwa wapuuzi wenzako kina Mwigulu na PHd yake fake ya copy & paste
Ufala,ujinga na upuuzi umekujaa weye unaye lialia kama binti yupo leba.Lipa tozo kenge weye!Kwa teknolojia iliyopo unakwepaje kulipa?Utalipa hata ukinunua kondomu.Changamsha akili.Acha kujiliza kama unabakwa.😂😂😂😂😂
Wewe unaonekana ni mwizi tu hulipi kodi wala tozo, hapa tuachie peleka ufala wako kwa wapuuzi wenzako kina Mwigulu na PHd yake fake ya copy & paste
 
Ni lazima uangalie DsTv?Nenda porini kaangalie pimbi wenzio.Unalalamika halafu ukifika uchaguzi unajilegeza macho kuitetea CCM.Kenge mmoja!
Na kila kitu sasa kimepanda kwa ajiri ya tozo, DSTV sasa kifurushi kimeongezeka 51,000-55,000 Tshs, hii ni kutiana full umaskini, Mwigulu akishinda hata ubunge bila wizi nitashangaa sana na tozo itakuwa halali
 
M7 aliulizwa mwananchi wake kwenye ziara mojawapo kuwa "baba sukari mbona inapunja sana wakati inatngenezwa nchini?"baada ya ilo swali kumchanganya, aliamua kumtuma afisa wake ili amuulize yule mwananchi kuwa sukari inauzwa bei gani.Baada ya majibu M7 akasema nilifikiri kilo moja ya sukari inauzwa sh.60,000, kumbe bado inauzwa sh.7,000 tu?
Kuliwahi kufanyika maandamano makubwa nchini Ufaransa ya wananchi kudai mkate, wananchi walipitia kipindi kigumu sana kiasi kwamba hawakuweza hats kupata mkate.

Baada ya Mke wa mfalme kuona maandamano makubwa nje akamuuliza mume wake yani mfalme, maandamano haya makubwa hawa watu wanadai mini? Mfalme akamjibu Mke wake wanataka mkate na mkate hakuna, Mke akamwambia mfalme kama mkate hakuna si uwape keki?

Ndivyo maisha yalivyo, usimshangae Museven.
 
Mwigulu ni mweupe, uchumi haujui - huwezi kuwa mtoza ushuru mkuu wa nchi huku ukifuata uchumi wa vitabuni ni hatari kwa nchi.
 
Back
Top Bottom