Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

Tulipowaambia wafanyakazi wasishangilie nyongeza ya mishahara wengine mlituita sukuma gang bila kufahami makabila yetu Wacha muisome namba
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mama Hana uchungu na hii nchi na Wala Hawazi Kama Kuna raia ,nadhani hua hajui km ni rais yaani yeye Hawazi na Wala Hana muda na sisi yeye kila kitu kijumbe ndio...maana kila kitu ananunuliwa hajui uchungu na hajali
 
Mwigulu Amos Jigo unahangaika sana kuaminisha kuwa ulilolifanya ni kwa nia njema; ukweli ni kwamba genge lako la urais 2025 mna lengo la kumchonganisha mama na wapiga kura wake ili iwe nafuu kwenu hasa kwenye hatua za awali za michakato.
Kama yeye haoni wala kusikia basi, acha tuone
 
huyu sa100 simwelewi hata kidogo pesa za mkopo zinafanya maendeleo pesa za tozo zinaenda wapi tangu mpige hela ya miamala ya simu hatukuoja zimefanya nini vyoo vya madarasa truon 1.3 za uviko ndiyo zilijenga sasa hizo hela mlizipeleka wapi mbona mnazidi kutukamua ebu muangalie na nyie watu tunafamilia na sisi zinatutegemea kusoma kuwalisha na kufanya mambo mengine ya maendeleo lakini sasa bidhaa zenyewe hazishikiki iwe mafta iwe vyakula iwe vifaa vya ujenzi uje uweke na tozo hatari mtanzania mnataka aishi vipi nyie sawa tu mungu ataamua ugomvi.
 
Hakuna Dr. hapo. Ni Wadhulumaji tu wote
 
Utahira wetu wakutoelewa maana ya vyama vingi umetufikisha hapa, utajengeje vituo vya afya kwenye magonjwq sugu ya karne hii.
 
Mshahara unakatwa PAYE
ukienda bank unakatwa service charge ya bank
Ukitoa fedha unakatwa kodi plus tozo
Ukimtumia baba yako kijijini unakatwa
Baba yako akienda kutoa kwa wakala anakatwa pia!
 
Back
Top Bottom