CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kiongozi, kuna herufi zimezidi au?Tactatically
Kila ubaya utalipwaAliyeleta wazo la Tozo za Bank transfer alilenga kila mshahara wa watumishi wa serikali ukatwe kwa sababu mishahara yote inapita benki lakini kasahau kuwa mshahara huo huo umeshakatwa PaYE na kwa sheria za kikodi upaswi kufanya double taxation,Kama ikiendelea wafanyakazi mtaumia Sana.
Angalieni walivyobadilisha jina na kuita TOZO watasema hawafanyi double taxation... Ila ukweli wanaujua na tushaujua mtumishi ulieongizewa tsh 10000/= sasa unarudisha hela serikalini kwa mgongo wa Tozo.
Waziri mzima unajiita Daktari wa Uchumi kweli kwa ujinga huu, hujui mtumishi analipa kodi kila mshahara anaopata mwisho wa mwezi halafu unakuja kumuwekea tozo, tozo kwa ajiri ya nini?
Na neno lenyewe tozo limekaa kama faini au kitu unachotoa sababu umefanya kitu flani au umetumia kitu fulani.
Mfano nauli ya daladala ni tozo ndiyo maana tunasema amenitoza nauli na ikiwa sio sawa tutasema amenitoza nauli kubwa, ila hizi tozo hazina msingi.
Wewe unaonekana ni mwizi tu hulipi kodi wala tozo, hapa tuachie peleka ufala wako kwa wapuuzi wenzako kina Mwigulu na PHd yake fake ya copy & pasteHata ukilia haisaidii.Tulia ule mboko.Ukiletewa changamoto ndiyo akili inafanya kazi uzuri.
Ufala,ujinga na upuuzi umekujaa weye unaye lialia kama binti yupo leba.Lipa tozo kenge weye!Kwa teknolojia iliyopo unakwepaje kulipa?Utalipa hata ukinunua kondomu.Changamsha akili.Acha kujiliza kama unabakwa.πππππWewe unaonekana ni mwizi tu hulipi kodi wala tozo, hapa tuachie peleka ufala wako kwa wapuuzi wenzako kina Mwigulu na PHd yake fake ya copy & paste
Wewe unaonekana ni mwizi tu hulipi kodi wala tozo, hapa tuachie peleka ufala wako kwa wapuuzi wenzako kina Mwigulu na PHd yake fake ya copy & paste
Na kila kitu sasa kimepanda kwa ajiri ya tozo, DSTV sasa kifurushi kimeongezeka 51,000-55,000 Tshs, hii ni kutiana full umaskini, Mwigulu akishinda hata ubunge bila wizi nitashangaa sana na tozo itakuwa halali
Wehu mmeongezeka JFNi lazima uangalie DsTv?Nenda porini kaangalie pimbi wenzio.Unalalamika halafu ukifika uchaguzi unajilegeza macho kuitetea CCM.Kenge mmoja!
Ulitaka nikupe maneno kwa kuanza na "mkuu"?Mbuzi kweli weye!Mkifulia mnamuona kila mtu mwehu.Uza nguo zako ulipe tozo.ππππWehu mmeongezeka JF
Hiyo kauli inaishi mpaka leoJomo Kenyatta alimwambiaga Nyerere kwamba anaongoza kondoo.
Kuliwahi kufanyika maandamano makubwa nchini Ufaransa ya wananchi kudai mkate, wananchi walipitia kipindi kigumu sana kiasi kwamba hawakuweza hats kupata mkate.M7 aliulizwa mwananchi wake kwenye ziara mojawapo kuwa "baba sukari mbona inapunja sana wakati inatngenezwa nchini?"baada ya ilo swali kumchanganya, aliamua kumtuma afisa wake ili amuulize yule mwananchi kuwa sukari inauzwa bei gani.Baada ya majibu M7 akasema nilifikiri kilo moja ya sukari inauzwa sh.60,000, kumbe bado inauzwa sh.7,000 tu?