Rais Samia na busara ya kujua nini cha kuahidi kwa wakati gani

Rais Samia na busara ya kujua nini cha kuahidi kwa wakati gani

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
 
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
Hili nalo la kutungiwa Nyuzi kweli?
 
Hana lolote huyo, anafanya nini sasa vitu vinapanda bei ovyoovyo tu, watu wanawasilisha kero kwake hashughulikii unategemea nini kwa subordintes wake.Anayeumia ni mtu wa chini ambaye kwa sasa hasikilizwi
Nakazia
 
Ameonesha haleweshwi na "mob psychology"
 
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
Muda wa campaign bado subiri kipenga kipulizwe.
 
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
Njoo huku site utoe hayo masifa yako uone feedback itakuwaje!
 
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
Hasemi 'nataka' ambayo ni ishara ya ujuaji na ubinafsi.
 
Napenda namna ambavyo Rais Samia hakurupuki kwenye majibu.

Mara kadhaa ameombwa vitu hadharani, hakujibu kwa mhemko kama wafanyavyo wanasiasa wasiojielewa.

Mfano, watu wa Chato wamewahi kuweka ombi lao la Mkoa mara mbili hadharani. Askofu Shoo wa KKKT aliomba barabara na vitu vingine.

na zipo sehemu nyingi tu ambazo angekuwa mwanasiasa wa kutafuta masifa ya haraka angeweza kutoa majibu ya kuridhisha kelele za watu.

Lakini mara zote Samia anasema "Tumeyachukua, tutafanyia kazi.."

Zingatia sana anavyoonesha kwamba ni mtu wa 'Team Playing'. Anasema ' TUTA' ,

Ni Rais mwenye kutupa matumaini hakika, nchi imejaa furaha, MEMA ZAIDI YANAKUJA MBELE
Hivi unafahamu sababu za watu kudharau nyuzi zako ?

Maana yake ni kwamba umepuuzwa
 
Watu wanakurupuka sana kipindi anaanza walisema ni mcha mungu nikashangaa,wameangalia mavazi au?[emoji848]
 
Back
Top Bottom