Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
 
Hachelewi Kuja kusema eti sababu ni yule kichaa wa chato Kama alivyomuita yeye ndo aliesababisha kampuni yake kudaiwa madeni makubwa ivo
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba kampuni ya sahara media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya star tv, radio free Africa na KISS FM.Wfanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.
Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Kwani serikali au CCM wana hisa kwenye hiyo Kampuni mpaka waingilie kati mgogoro wa mtu binafsi?
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba kampuni ya sahara media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya star tv, radio free Africa na KISS FM.Wfanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.
Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Katika nchi yenye changamoto lukuki anatokea mpuuzi mmoja anatoa ushauri wa kijinga namna hii!!! Hizo hela za kumsaidia Diallo zinatoka kwenye mfuko upi!? Huko kwenu kuna madarasa ya kutosha? Yana walimu wa kutosha? Vipi umeme na maji vinapatikana kwa wakati na kwa ubora?
 
Mungu saidia kampuni isifirisike na irudi kwenye hali ya kawaida la sivyo familia nyingi zitapata tabu
 
Sikumbuki mara ya mwisho nimesikiliza radio or kuangalia Tv....habari zote zinapatikana kwenye social media. Kama kituo cha bahari hakitawekeza huko the its death is inevitable.
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba kampuni ya sahara media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya star tv, radio free Africa na KISS FM.Wfanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.
Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
wewe sio Diallo!?
 
Kanda ya ziwa wana heraa wapitishe bakuri waichangie maana ni vituo pendwa huko ...kwa ushauri tu wabeba bakuli wawe ni wale waigizaji wa futui maana wana special love toka kwa wanakanda ya ziwa...alafu kuna yule dada anavaa ushungi alishawahi kutujibu vibaya sana kwenye function moja ivii ... yule akahudumie mume tu kama tabia zake ndio hizo 🤔
 
Hii redio inasaidiaga saana CCM kipindi cha uchaguzi
 
Idara ya Marketing ya Sahara media/group na Management ni yakuchunguza no professionals pale. Yaani mpaka dalili za kufilisika zinajitokeza mko tu na hakuna hatua za kuchukua
 
Katika nchi yenye changamoto lukuki anatokea mpuuzi mmoja anatoa ushauri wa kijinga namna hii!!! Hizo hela za kumsaidia Diallo zinatoka kwenye mfuko upi!? Huko kwenu kuna madarasa ya kutosha? Yana walimu wa kutosha? Vipi umeme na maji vinapatikana kwa wakati na kwa ubora?
Akili mbovu za mleta mada na zako zinadhihirisha anguko LA kizazi hiki....INA maana kila mwaka tutakuwa tunajenga madarasa tuu hakuna vitu vingine vya kufanya? Kwa elimu IPI tuliyonayo hadi kila mwaka wimbo ni madarasa?

Kwa mfumo wa elimu tulionao hata guest houses zote nchini zigeuzwe kuwa madarasa....hatutatoboa na bado hayatatosha.
 
Nasikitika sana, StarTv ndiyo kituo changu bora kabisa!
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Huyo mzee ni mmojawapo wa mafisadi wa hii nchi, mwache apate mavuno yake
 
Dunia haiko fair Star Tv mwaka 2015 walizunguka tanzania nzima kumnadi JPM kwa kurusha mikutano yake ya kampeni live kila sehemu,hawakumlipa hela zake
Ccm acheni dhuluma
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
CCM wakikutuma dirtywork hakikisha unayo backup ya kutosha.

Keshafilisika kwa sababu ya mahaba yake kwa chama chake bila kujali kesho yake itakuwaje
 
Back
Top Bottom