Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mnyonge mtamnyonga lakini haki yake hupewa.
Rais Magufuli kama angeaamua kucheka na nyani, kama angeaamua kutolipa Uhuru Jeshi la Polisi kwenye kudeal na waalifu, basi Tanzania ingeogopwa Duniani.
Nani asiyekumbuka Yale ya Kibiti? Nani asiyekumbuka Ujambazi ulokithiri wakati wa Uongozi wa JK? Nani asokumbuka Visa na Mauaji yalofanywa na Vijana wa Panya road wakati wa JK? Nani asokumbuka utekaji wa MaBUS? Nani asokumbuka biashara za magendo barabarani zilivyokua zimekithiri?
Taifa Mungu akalipa JPM, naye akasema Polisi msionee huruma Mualifu, mshughulikieni kwelikweli. Akawapa nguvu, akawaongezea POSHO, Polisi wakafurahia kazi, Kazi ikapigwa usiku na Mchana, Wahalifu wakatiwa nguvuni, Wahalifu wakakimbia Nchi, Nchi ikatuliaa kwelikweli.
JPM amerudi Kwa Baba yake, Taifa likapata Mwanamama, yeye anataka Wafungwa wabembelezwe , walishwe Kwa Tozo za Watanzania, yeye anataka watu wawekwe Mahabusu pale tu Uchunguzi utakapokua umekamilika, yeye analitaka "Jeshi la Polisi lijichunguze"? Eti mpaka ameunda Tume ya kulichunguza Jeshi la Polisi? Sahizi wammpelekea SHERIA, Et Wauza Madawa ya Kulevya wawe na Magereza Yao ya Kifahari. Hatujakaa sawa, Makamo Mwenyekiti naye, anawataka Polisi barabarani kupunguzwa, Kisa? Et ni wengi, Kila Mara kusimamisha Magari!
Kwa Teknolojia gani Barabaran tulonayo mpaka uondoe Polisi barabarani? Ukweli ni Kwamba, Wafanyabiashara za magendo Sasa wana uhakika wa kuhonga Mara Moja tu na mizigo Yao ikafika pale inapotakiwa kufika.
Katika kupambana na Uhalifu, Polisi inapaswa kuachwa ifanye kazi zake Kwa weredi bila Maneno ya Wanasiasa.
Oneni sana, Panya road wanamapanga tu ila Sasa Dar yote imetulizwa. Je, Wakianza kutumia Silaha za moto?
Matukio ya Ujambazi yameongezeka,, matukio ya vikundi vya unyang'anyi yameongezeka.
Hii yote ni matokeo ya Rais Samia, baadhi ya Viongozi wa CCM kuliingilia Jeshi la Polisi Et tu "Kutafuta Umaarufu wa Kisiasa, Tena Umaarufu wenyewe mwepesiiiiiiii usomgusa Raia wa chini".
Bahati mbaya pia, JESHI la Polisi Kwa kuhofia Nafasi zao, nao wameingia mkenge na Sasa wanaonekana hawafanyi kazi.
Mwaka 2025, Msituletee Huyu Mama, Apumzike aendelee kula Pensheni yake ya Tozo za Watanzania. Ameshindwa kila Mahali Kila kitu yeye ameshindwa, alichoweza ni kuwafurahisha watu wachache tu, MIKOPO isoonekana inafanya nn, Kuruhusu watu wale sawa na UREFU wa kamba zao!
Rais Magufuli kama angeaamua kucheka na nyani, kama angeaamua kutolipa Uhuru Jeshi la Polisi kwenye kudeal na waalifu, basi Tanzania ingeogopwa Duniani.
Nani asiyekumbuka Yale ya Kibiti? Nani asiyekumbuka Ujambazi ulokithiri wakati wa Uongozi wa JK? Nani asokumbuka Visa na Mauaji yalofanywa na Vijana wa Panya road wakati wa JK? Nani asokumbuka utekaji wa MaBUS? Nani asokumbuka biashara za magendo barabarani zilivyokua zimekithiri?
Taifa Mungu akalipa JPM, naye akasema Polisi msionee huruma Mualifu, mshughulikieni kwelikweli. Akawapa nguvu, akawaongezea POSHO, Polisi wakafurahia kazi, Kazi ikapigwa usiku na Mchana, Wahalifu wakatiwa nguvuni, Wahalifu wakakimbia Nchi, Nchi ikatuliaa kwelikweli.
JPM amerudi Kwa Baba yake, Taifa likapata Mwanamama, yeye anataka Wafungwa wabembelezwe , walishwe Kwa Tozo za Watanzania, yeye anataka watu wawekwe Mahabusu pale tu Uchunguzi utakapokua umekamilika, yeye analitaka "Jeshi la Polisi lijichunguze"? Eti mpaka ameunda Tume ya kulichunguza Jeshi la Polisi? Sahizi wammpelekea SHERIA, Et Wauza Madawa ya Kulevya wawe na Magereza Yao ya Kifahari. Hatujakaa sawa, Makamo Mwenyekiti naye, anawataka Polisi barabarani kupunguzwa, Kisa? Et ni wengi, Kila Mara kusimamisha Magari!
Kwa Teknolojia gani Barabaran tulonayo mpaka uondoe Polisi barabarani? Ukweli ni Kwamba, Wafanyabiashara za magendo Sasa wana uhakika wa kuhonga Mara Moja tu na mizigo Yao ikafika pale inapotakiwa kufika.
Katika kupambana na Uhalifu, Polisi inapaswa kuachwa ifanye kazi zake Kwa weredi bila Maneno ya Wanasiasa.
Oneni sana, Panya road wanamapanga tu ila Sasa Dar yote imetulizwa. Je, Wakianza kutumia Silaha za moto?
Matukio ya Ujambazi yameongezeka,, matukio ya vikundi vya unyang'anyi yameongezeka.
Hii yote ni matokeo ya Rais Samia, baadhi ya Viongozi wa CCM kuliingilia Jeshi la Polisi Et tu "Kutafuta Umaarufu wa Kisiasa, Tena Umaarufu wenyewe mwepesiiiiiiii usomgusa Raia wa chini".
Bahati mbaya pia, JESHI la Polisi Kwa kuhofia Nafasi zao, nao wameingia mkenge na Sasa wanaonekana hawafanyi kazi.
Mwaka 2025, Msituletee Huyu Mama, Apumzike aendelee kula Pensheni yake ya Tozo za Watanzania. Ameshindwa kila Mahali Kila kitu yeye ameshindwa, alichoweza ni kuwafurahisha watu wachache tu, MIKOPO isoonekana inafanya nn, Kuruhusu watu wale sawa na UREFU wa kamba zao!