Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Siyo vyote ni vya kubeza, lkn najua hiyo ni moral support kwa wananchi na wachezaji.Hivi wanajua kuwa kuna shule hazina madawati wala vitabu kweli!!!
Mh. Rais ameamua kuwakusanya watanzania pamoja kuwajengea ari ya uzalendo kwenye sports hasa football (kwa case hii), jambo ambalo litaleta hamasa kwa wachezaji na wananchi. ushindi utakaopatikana ni zaidi ya fedha ambazo zimenunua tiketi leo.
Ushindi huo ni sifa na itafanya taifa kuwa katika rank nzuri kimataifa jambo ambalo linatengeneza goodwil na footbal trust hata kwa wengine wanapoamua kuja kuwekeza hapa nchini katika nyanja ya football!
Tusiwaze Mil 12 iliyonunua tiketi tuwaze yale yatakayotokana na ushindi baada ya uzalendo kupadnikizwa kwa wachezaji na wananchi pia!!