Rais Samia na Waziri Mkuu wanunua tiketi 4000 mchezo wa Tanzania vs Uganda

Hivi wanajua kuwa kuna shule hazina madawati wala vitabu kweli!!!
Siyo vyote ni vya kubeza, lkn najua hiyo ni moral support kwa wananchi na wachezaji.

Mh. Rais ameamua kuwakusanya watanzania pamoja kuwajengea ari ya uzalendo kwenye sports hasa football (kwa case hii), jambo ambalo litaleta hamasa kwa wachezaji na wananchi. ushindi utakaopatikana ni zaidi ya fedha ambazo zimenunua tiketi leo.

Ushindi huo ni sifa na itafanya taifa kuwa katika rank nzuri kimataifa jambo ambalo linatengeneza goodwil na footbal trust hata kwa wengine wanapoamua kuja kuwekeza hapa nchini katika nyanja ya football!

Tusiwaze Mil 12 iliyonunua tiketi tuwaze yale yatakayotokana na ushindi baada ya uzalendo kupadnikizwa kwa wachezaji na wananchi pia!!
 
Simba na Yanga ina make sense kwa sababu kwanza wanaujaza uwanja, pili hawawezi wote kukubaliana kuacha kuutumia wakati anayeenda kufaidika ni mmoja...
Umesema vyema, twende hata Azam Complex
 
Labda !!

Sionipo mtu hapo wa kutuvusha. Simba & Yanga wanafanya vizuri sasa baada ya kugundua kuwa Petre Tino, Gibson Sembuli, Zamoyoni Mogella etc. hawakuwazalisha wanawake wengi Tanzania hii.
Kama tulimpa uraia Kibu tunashindwa nini kwa Mayele
 
Umesema vyema, twende hata Azam Complex
Nadhani wa Azam haujakidhi viwango pia, labda pia kwa sababu ya nyasi bandia ila bila hivyo ungefaa na kutosha kabisa kwa mechi kama hizi.
 
Golini akikaa asha manula tu tufungwa
 
Tukakandwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…